mmmmmmmmmmmm haahahahaaaaa ila uzuri ilikuwa mwiko kutukana ........mamako,sio kama siku hizi neno moja matusi matano tena ya wazeee wako aaaa dunia kwishnei
Twende! twende!! Masikio ka Popo!!
Twende!! twende!! Pua ka tonge la ugali!!
Twende!! twende!! Macho ka gololi!!!
Twende!! twende!! Meno ka ya ngiri!!! Fantastic!!!
Twende! twende!! Ndevu ka Misumari!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!! Tumbo ka Muwakilishi wa wananchi mjengoni!!!
mi nilikuwa sijui malani basi siku moja nikajifanya kupambana na mtaalam wa malani mwishi nikabaki kusema "twend twende chungwa kama embe....." watu walicheka hadi wakakaa chini.
Twende twende...Matani si malani!!
Twende twende...
Mkuu Sisi haya tulikuwa tunayapiga kwa kilugha - sasa nikiyarudia kimoyomoyo kweli yananifurahisha sana -- of couse hizo zilikuwa happy days bwana na haziwezi kurudi tena.
kuye vava kuye - nyindo kate itonge lya ugale
kuye vava kuye - minso gako kate ntulantu....
Kuye vava kuye - mino gako kate gi gere....
Kuye vava kuye - migulu zyako kati myanzi
Kuye vava kuye - kilezu kati walumaga ka titi...
etc.....
Tatizo unayemtania akiwa baunsa - utasitukia kichapo cha mbwa mwizi...
ha haha --- those days...
HII KALI!
Tafsiri tafadhali lol
Nimekusikia mkuu.mkuu.....nimeandika malani and i meant MALANI........ndivyo sisi tulivyokuwa tunaita......
Twende! twende!! Ndevu ka Misumari!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!!..............!!
Twende!! Twende!! Tumbo ka Muwakilishi wa wananchi mjengoni!!!
najua badhi yenu ntakuwa nimewakumbusha kitu.
Twende twende kichwa kama boga.
Twende twende ukomaa hadi ukitema mate yanadunda
twende twende mikono kama mchimba makaburi
haha haha haha zama hizo mambo yalikuwa shwari kwelikweli