Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Wazee wa Moshi mnajikumbusha. Yule Alfred Masawe alikuwa wa wapi aliwahi kufungu Hotel moja Dar inaitwa AM Hotel niliwahi kulala siku moja, mapokezi kuna tangazo kubwa pale "Management haitahusika na upotevu wa mali ya mteja, tafadhali kabidhisha mali yako Mapokezi" Ukiweka mzigo tu usiku wanaume hao wanakuja kuuchukua na wanafanya kumkwangua receptionist kidogo, wazambia na Wacongo walilizwa sana pale, kumbe ni mwenye ndio alikuwa anapiga.
Alex Massawe kibosho wa mjini not Alfred Massaww
 
[QUOTMkuu ninhe iron batterfly, post: 28323247, member: 497860"]James Oraa yupo sema kesi ndio zimemfilisi.my father
Vipi ni mzee wako?sorry kwakuuliza lakin[/QUOTE]
Ndio mkuu ni father kabisa.[/QUOTE]James Oraa tumeoa kwao.
 
Kiukweli kwa kipindi hiki hali imekua tete sana kwa wajomba.

Kule Siha RC anajua hata yeye yanayoendelea lkn sababu uwezo wake anajua ulipoishia inabd awe mpole tu,na hivi cuth alimsema pia panone kwny lile Saga lake usikute nae anabatizwa na Moto sasa.

Hapo kwny kuua utalii Kaskazini nadhani wanapoteza Muda tu sababu imechukua zaidi ya miaka 30 na kufanya sekta ya utalii kwa kaskazini kuonekana hivi ilivyo sasa,sijui wao wanategemea itawachukua muda gani kuisimamisha

Inshu ya Masha ilinichanganya kidogo, sababu yule jamaa aliyerudishiwa lile ghorofa anasema yeye alimpa hati Macha ili akakopee CRDB baada ya Macha kumwambia anajuana na Kimei lkn baada ya kumpa hati akashangaa anakuja kuambiwa Ghorofa lile ni la Macha na hati inaonyesha jina la Macha.
Macha is not a saint lakini ili la hati ya ghorofa akutendewa haki.

Mimi hii issue nilikuwa siijui mpaka nilipomsikiza waziri muhusika alipokuwa ana mkabidhi mlalamikaji hati! Maelezo ya Waziri yalinitia huruma na kuona mlalamikaji inawezekana kaonewa.

Waziri aliongelea kuhusu utengenezaji wa hati bandia na kutumia chai ili hati hionekane ya zamani. Na akaelezea pia, wataalamu mbali mbali wamedhibitisha hati ya Macha ni fake.

Waziri pale pale alimkabidhi malalamikaji hati nyingine na kuamuru walinzi wa mlalamikiwa waondolewe pale Jamaa achukue eneo lake na
asibugudhiwe.

Lakini nilipofuatia ili swala zaidi kumbe utata ni kwamba malalamikaji anadai hajauza ghorofa lake na sio hati fake.

Hata kama Waziri amwamini Mke wa mlalamikaji ambaye anadai mume wake aliuza ghorofa kwa Macha na pia jamaa ana history ya uongo(TRA). Lakini ange-acknowledge Macha alimkopea jamaa zaidi ya milioni 899 enzi hizo. Na mlalamikaji apewe muda wa kuzilipa ili arudishiwe hati yake. Kumkabidhi jamaa hati nyngine ni kwamba pesa ya Macha ndio imepotea na Macha akifutilia pesa zake lazima jamaa harudi Kariakoo kuokota makopo tena watu waanze Mchagga anataka kumaliza jamaa kabisa!!

Waziri akamalizia kwa kusema wamehamasisha watu wenye migogoro ya viwanja kwenda wizarani na jina la jamaa limekuwa lina jitokeza tokeza. Ni wazi they are going to take every penny.

Watu ambao waliuza viwanja vyao kwa Macha na kuendelea na mambo yao. Lakini vyuma vimekaza sasa au wale wenye tamaa. Watarudi na debe la machozi na kupewa majumba ya Macha!

Zamu ya Macha kuokota makopo Kariakoo naona inakuja!!!
 
Ukweli ni kwamba hau jamaa wana risishana akili Za maisha Hata Kama ukimchukua ukimuweka china atatoboa tu
Hahahah hata ukinimock
Nimeishi huko nimesoma vizuri tu
Na kazi nimepata nzuri tu, Mungu ni mwema
Lamuhimu uwe bwashee ama nani kama zimo utatoboa tu
Maisha ni kupanga
Nimejenga, nina plots kibao huko kwenu na dsm,haohao wananipa michongo mingi huku Dsm,mimi bwashee kwani niliamua kuwafanya rafiki nifikie malengo yangu
Peace and love
 
Uzuri hivi vyeo vya u-DC/RC etc hua sio vya kudumu(Magesa Mulongo Arusha alikua Mungu mtu ila kwa sasahakuna hata mtu ana habari nae na mikwara yake yote).

Siku utawala ukibadilika Swai anarudisha acre zake 14.
Ni kweli lakini hapo unaongelea baada 2025. Tena kama anayekuja hatakuwa ajawekwa kulinda makosa yaliyofanyika!
 
Ulishawahi kupiga hesabu la hii biashara ya mabasi ukaona ina faida?gari inanunuliwa 600ml capacity 50 seat kwenda moshi @30,000 akipakia level seat 1.5 toa mafuta posho ya dereva,konda,ofisi,bima tairi michelin moja ni million plus, sumatra,toch za barabarani etc.hiyo 600ml itarudi lini na apige hela?hii ni biashara kichaa muda wote ambae hajawahifanya hii kazi atabisha ila ukweli ndio huo,unapata jina kubwa tu ila mfukoni empty

Ingekuwa kama unavyosema nadhani kila mtu angeacha!!

Achana na hizo hesabu zako za kubumba ambazo maselfish wa knowledge ya biashara hutoa!! Wewe ukiangalia status ya Kilimanjaro bus miaka ya nyuma na sasa huoni hatua za mafanikio katika biashara yake kama nilivyoeleza!!?
 
Ingekuwa kama unavyosema nadhani kila mtu angeacha!!

Achana na hizo hesabu zako za kubumba ambazo maselfish wa knowledge ya biashara hutoa!! Wewe ukiangalia status ya Kilimanjaro bus miaka ya nyuma na sasa huoni hatua za mafanikio katika biashara yake kama nilivyoeleza!!?
Kilimanjaro anazungusha pesa kupitia biashara zake (mabus-hotel-malori-gereji)
 
Macha is not a saint lakini ili la hati ya ghorofa akutendewa haki.

Mimi hii issue nilikuwa siijui mpaka nilipomsikiza waziri muhusika alipokuwa ana mkabidhi mlalamikaji hati! Maelezo ya Waziri yalinitia huruma na kuona mlalamikaji inawezekana kaonewa.

Waziri aliongelea kuhusu utengenezaji wa hati bandia na kutumia chai ili hati hionekane ya zamani. Na akaelezea pia, wataalamu mbali mbali wamedhibitisha hati ya Macha ni fake.

Waziri pale pale alimkabidhi malalamikaji hati nyingine na kuamuru walinzi wa mlalamikiwa waondolewe pale Jamaa achukue eneo lake na
asibugudhiwe.

Lakini nilipofuatia ili swala zaidi kumbe utata ni kwamba malalamikaji anadai hajauza ghorofa lake na sio hati fake.

Hata kama Waziri amwamini Mke wa mlalamikaji ambaye anadai mume wake aliuza ghorofa kwa Macha na pia jamaa ana history ya uongo(TRA). Lakini ange-acknowledge Macha alimkopea jamaa zaidi ya milioni 899 enzi hizo. Na mlalamikaji apewe muda wa kuzilipa ili arudishiwe hati yake. Kumkabidhi jamaa hati nyngine ni kwamba pesa ya Macha ndio imepotea na Macha akifutilia pesa zake lazima jamaa harudi Kariakoo kuokota makopo tena watu waanze Mchagga anataka kumaliza jamaa kabisa!!

Waziri akamalizia kwa kusema wamehamasisha watu wenye migogoro ya viwanja kwenda wizarani na jina la jamaa limekuwa lina jitokeza tokeza. Ni wazi they are going to take every penny.

Watu ambao waliuza viwanja vyao kwa Macha na kuendelea na mambo yao. Lakini vyuma vimekaza sasa au wale wenye tamaa. Watarudi na debe la machozi na kupewa majumba ya Macha!

Zamu ya Macha kuokota makopo Kariakoo naona inakuja!!!
Macha mnae mzungumzia ni huyu Hansi Elingaya Macha wa hotel ya Kitalii Arusha or
 
Back
Top Bottom