Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Sio Babu anaitwa "Bob Sambeke" Huyu Jamaa nilifahamiana nae Mwaka 2012 Nakumbuka nilikuwa Kidato cha Nne, Nilifahamiana nae Baada ya Kukatiza uwanja Mdogo wa Ndege wa soweto (Nikiwa natoka TPC,Kupitia Dar es Salaam Street), Kukatiza Pale tukakamatwa na walinzi wa Airport pale, wakatuonesha Sheria na ibara kibao za Uchukuzi wa Anga wakidai tulipe Dola 200 wakati ule kama 400K, tulikuwa wanne.. Ndipo akatokea Huyo mtu anaitwa Bob Sambeke Wakati ule Bob alikuwa mtu wa makamo na alikuwa akimiliki ndege Mbili zilizokuwa zikipaki Pale uwanja wa Ndege SOweto.. Bob alikuwa mtu Mkorofi.. Katika Hali yake akaanza kutupigisha story (Bob Hadi walinzi walikuwa Wakimwogopa).. Kilatini kuna Msemo unasema "In Vino Veritas" yaani katika Pombe/Kilevi kuna ukweli..Muhusika lazima Aongee ukweli Fulani!
Bob akasema yeye hawezi kufa kwa ugonjwa, Kifo chake kinatakiwa kiwe cha Risasi au Ajali ya Ndege!
Baada ya Bob kuondoka Ndipo Yule Mlinzi akafunguka kuwa Bob alishawahi kuwa Jambazi na Mali zake alizichuma kwa Njia hiyo hasa hasa, pia ikumbukwe Bob alishawahi Kuwa Mwanajeshi...Alikuwa Tajiri Mkubwa Mno!
Muda Mchache Baadaye Nahani 2012/2013 Bob alipata crash ya Ndege Uwanja wa Ndege Arusha Pale..Bob Alifariki (Mungu Amrehemu)
Alikuja Kuzikwa Pale Parokia ya Karanga Moshi..Kanisa lililokuwa karibu sana na Bweni letu... Sikuhudhuria Misa ila niliona Barabara yote inayoelekea Kanisani kama 1 KM ilijazwa na Magari... Nasikia Kanisani hawakuficha kusema Kuwa Bob aliwahi kuwa Jambazi!

Kwako Mtoa Mada!
Umechanganya na uongo mwingi. Hajawahi kuwa mwanajeshi, mwanawe Jamal Sambeke ndo mwanajeshi.

And yes, ni Babu Sambeke vilevile, ndo jina lake toka home, ila wengine walikuwa wakimuita hivyo "Bob Sambeke".

Kumbuka "Bob" ni jina linalotokana na Robert. Yeye alikuwa akiitwa Ernest Sambeke Mallya.

Kule uchaggani ilikuwa kawaida kwa watoto kupewa jina la “Babu”
 
puuzia bhana, hupendezi kugombana mpendwa
Anisamehe nini?
Hebu state with facts
Kama nitaona kuna sehemu nimemuharass nitaanzisha thread ya apology kwa ajil yake
Mfunze kupambana na hali yake
Si kila mwanamke ni zero brain
Sichezi upatu, sifundishi japo naweza
,siwazi mshahara
Rudia thread hii from the beggining halafu then judge with an open mind
Asipanic
 
Unaongelea matokeo ya form four? Nilijua utataka hata ya undergraduate jamani? Nimezaliwa Tanga mapenzi yalikozaliwa na kichwani inachaji kuliko wewe unajiona umesoma peke yake. Kasome PhD ndo uje uniombe cheti hapo utanishinda kwingine peleka mbele utahira wako.
Kimya cha mmoja wenu ndiyo kitatatua mzozo huu, tafadhalini kinadada wenye umri mkubwa na wa kuheshimika humu JF. Nawaombeni mlimalize hata kama nafsi zenu bado zamoto kwa jazba, basi walau mmoja wenu atulie kimya. Naamini utakuwa mwisho wa mzozo huu.
 
Anisamehe nini?
Hebu state with facts
Kama nitaona kuna sehemu nimemuharass nitaanzisha thread ya apology kwa ajil yake
Mfunze kupambana na hali yake
Si kila mwanamke ni zero brain
Sichezi upatu, sifundishi japo naweza
,siwazi mshahara
Rudia thread hii from the beggining halafu then judge with an open mind
Asipanic
Naomba nikujibu ya mwisho nikutoe tongotongo kwenye bongo lala yako. Institute of Finance Management hawana course za BAED. Nikukumbushe hilo. So mi sio mwalimu wala sina hiyo karama.
 
Kuna Kipindi nadhani Mwezi Julai 2012, tulikuwa tunacheza uwanja wa shule mida ya saa 10, Bob alipitisha Ndege yake mita chache saana juu ya uwanja, Kila Mtu alitawanyika, ilionekana Bob ni mtu asiyejali hata kidogo, wanasema pale soweto alikuwa anakodisha ndege zake yaani ukae nayo hewani nususaa/Lisaa.. ila watu hawakutaka yeye awe Pilot..kwa maana anavofly sio kawaida.. Pia ikumbukwe inadaiwa Bob hajawahi kusomea Urubani
aLIKUWA
Unakuwa Mbishi na Nilikuwepo eneo la tukio?, Bob mimi nimezungumza nae Mwenyewe.. im sure of this
Babu Sambeke hajawahi kuwa mwanajeshi, period. Mwanae anayeitwa Jamal ndo mwanajeshi
 
Bob Sambeke
images%20(13).jpeg
 
Una uhakika mnamzungumiza mtu mmoja? Kuna jamaa mwenye kiwanda Nigeria ambaye yeye mjengo wake wa nguvu sana upo kwenye ile njia panda ya kuelekea KCMC kama unatokea YMCA
ndio huyo
 
kuna kipindi alipoteza familia nzima kumbe ilikuwa mwendelezo wa utajiri uliotukuka.usimsahau James Oraa HUYU NASIKIA ALIHASIWA.
Hapana alipoteza familia nzima kwenye ajali iliyomuhusisha na yeye mwenyewe. Ilikua almanusura nayeye arudishe namba

Alikaa muda mrefu KCMC akipata matibabu wakati huo hoteli yake ya New Castle ikiwa mpyaa

Kwahiyo siamini kama ajali ile ilikua ni makafara ya kishirikina
 
Back
Top Bottom