Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Wazee wa Moshi mnajikumbusha. Yule Alfred Masawe alikuwa wa wapi aliwahi kufungu Hotel moja Dar inaitwa AM Hotel niliwahi kulala siku moja, mapokezi kuna tangazo kubwa pale "Management haitahusika na upotevu wa mali ya mteja, tafadhali kabidhisha mali yako Mapokezi" Ukiweka mzigo tu usiku wanaume hao wanakuja kuuchukua na wanafanya kumkwangua receptionist kidogo, wazambia na Wacongo walilizwa sana pale, kumbe ni mwenye ndio alikuwa anapiga.
 
Wazee wa Moshi mnajikumbusha. Yule Alfred Masawe alikuwa wa wapi aliwahi kufungu Hotel moja Dar inaitwa AM Hotel niliwahi kulala siku moja, mapokezi kuna tangazo kubwa pale "Management haitahusika na upotevu wa mali ya mteja, tafadhali kabidhisha mali yako Mapokezi" Ukiweka mzigo tu usiku wanaume hao wanakuja kuuchukua na wanafanya kumkwangua receptionist kidogo, wazambia na Wacongo walilizwa sana pale, kumbe ni mwenye ndio alikuwa anapiga.
Alfred au Alex?
 
kumbe mchuchu fighter..

aina ya uandishi wako,imeniingiza chaka Madame.

Najaribu Ku imagine jinsi ulivyo strong woman...sipati picha aidha unafanana na Queen Darleen au Sister Fey ama Zari wa Chibu.?
Halafu wewe nikajua ni Ke.
 
Ila anaepata utajiri wa kuua wanyama naona sawa tu kuliko anaeua binadamu wenzie.

Achana na hisia za ukatili Mzigua.

Kwani wanyama wao hawapendi kuishi? Unadhani na wao huwa hawasikii maumivu hususan wanapouawa kikatili?

Nyama nakula na nazipenda sana ila pia huwa nawaonea huruma wanyama jinsi wanavyouawa.

Naamini kabisa hata wao hupenda kuishi maisha marefu yenye furaha tele.

Sisi binadamu ni makatili sana kiasili.
 
Achana na hisia za ukatili Mzigua.

Kwani wanyama wao hawapendi kuishi? Unadhani na wao huwa hawasikii maumivu hususan wanapouawa kikatili?

Nyama nakula na nazipenda sana ila pia huwa nawaonea huruma wanyama jinsi wanavyouawa.

Naamini kabisa hata wao hupenda kuishi maisha marefu yenye furaha tele.

Sisi binadamu ni makatili sana kiasili.
Lakini wanyama kama tembo si huwa kuna watu wanapewa vibali wawawinde? Sasa hao wengine wanawinda bila vibali tu lakini sio kwamba walitakiwa wawaache hao wanyama waishi. Ni sawa na mtu anaeingiza sukari bila kulipa kodi
 
Lakini wanyama kama tembo si huwa kuna watu wanapewa vibali wawawinde? Sasa hao wengine wanawinda bila vibali tu lakini sio kwamba walitakiwa wawaache hao wanyama waishi. Ni sawa na mtu anaeingiza sukari bila kulipa kodi

Hata kama....bado naamini hata hao tembo wanaowindwa nao hupenda waishi maisha marefu!

Sisi binadamu ni wabinafsi sana.

Mtu unaenda kumwinda tembo ili iweje? Ukatishe maisha yake kwa manufaa yako?

Inasikitisha.
 
Hata kama....bado naamini hata hao tembo wanaowindwa nao hupenda waishi maisha marefu!

Sisi binadamu ni wabinafsi sana.

Mtu unaenda kumwinda tembo ili iweje? Ukatishe maisha yake kwa manufaa yako?

Inasikitisha.
NN utasema tuwaache na kuku na ng'ombe sasa waishi. Sisi wabinafsi kweli lakini tutafanyaje sasa ndo utashi tulopewa kula wanyama wenzetu.
 
Back
Top Bottom