Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Ingekuwa kama unavyosema nadhani kila mtu angeacha!!

Achana na hizo hesabu zako za kubumba ambazo maselfish wa knowledge ya biashara hutoa!! Wewe ukiangalia status ya Kilimanjaro bus miaka ya nyuma na sasa huoni hatua za mafanikio katika biashara yake kama nilivyoeleza!!?
Mtu akiwa hana hela, akiona wenye nazo wanatumia anaona kama wanaharibu pesa zao kwa kudai wanafanya manunuzi ya vitu vibaya visivyo na faida
 
Acha kufananisha Wakinga na wachuuzi toka Kibosho
Hahaha unajifurahisha mkuu
Yaan ufananishe maskini wakutupwa wakinga na ma Don wachaga?
Ukinga hko kumechakaa haswa watu wanaishi Kama manyani Hakuna hata miundombn maskini wakubwa
Uchagani ndio matajiri wakubwa na hawana shida vijin kwao pia wana elimu,wakinga 60% hawajui kusoma wala kuandika
ONA KWA WAKINGA KULIVYO POOR SANA
158314952.jpeg
 
Macha is not a saint lakini ili la hati ya ghorofa akutendewa haki.

Mimi hii issue nilikuwa siijui mpaka nilipomsikiza waziri muhusika alipokuwa ana mkabidhi mlalamikaji hati! Maelezo ya Waziri yalinitia huruma na kuona mlalamikaji inawezekana kaonewa.

Waziri aliongelea kuhusu utengenezaji wa hati bandia na kutumia chai ili hati hionekane ya zamani. Na akaelezea pia, wataalamu mbali mbali wamedhibitisha hati ya Macha ni fake.

Waziri pale pale alimkabidhi malalamikaji hati nyingine na kuamuru walinzi wa mlalamikiwa waondolewe pale Jamaa achukue eneo lake na
asibugudhiwe.

Lakini nilipofuatia ili swala zaidi kumbe utata ni kwamba malalamikaji anadai hajauza ghorofa lake na sio hati fake.

Hata kama Waziri amwamini Mke wa mlalamikaji ambaye anadai mume wake aliuza ghorofa kwa Macha na pia jamaa ana history ya uongo(TRA). Lakini ange-acknowledge Macha alimkopea jamaa zaidi ya milioni 899 enzi hizo. Na mlalamikaji apewe muda wa kuzilipa ili arudishiwe hati yake. Kumkabidhi jamaa hati nyngine ni kwamba pesa ya Macha ndio imepotea na Macha akifutilia pesa zake lazima jamaa harudi Kariakoo kuokota makopo tena watu waanze Mchagga anataka kumaliza jamaa kabisa!!

Waziri akamalizia kwa kusema wamehamasisha watu wenye migogoro ya viwanja kwenda wizarani na jina la jamaa limekuwa lina jitokeza tokeza. Ni wazi they are going to take every penny.

Watu ambao waliuza viwanja vyao kwa Macha na kuendelea na mambo yao. Lakini vyuma vimekaza sasa au wale wenye tamaa. Watarudi na debe la machozi na kupewa majumba ya Macha!

Zamu ya Macha kuokota makopo Kariakoo naona inakuja!!!
Macha afungue kesi ya madai kulipwa hizo mil 899 zake.yeye si taasisi ya kutoa mkopo iliyosajiliwa aseme ati alimkopesha mdaiwa akaweka collateral hati ya kiwanja .Hata sheria za nchi haziruhusu .Kama anaushahidi wa huo mkopo aende mahakamani atapata haki yake,iwe ni mahakama kuamuru Mali za mdaiwa ikiwemo hiko kiwanja liliko hilo ghorofa kupigwa mnada ili alipwe stahiki yake.
That's y waziri amemrejeshea mwenye kiwanja hati yake kwakuwa macha hakufata utaratibu,hivyo kuonyesha kulikuwa na figisu katika kupata hati ya mdaiwa.Katika kutafuta suluhisho la migogoro ya ardhi waziri kafata taratibu,sheria na kanuni na yuko sahihi kwa asilimia zote.
 
Hahaha unajifurahisha mkuu
Yaan ufananishe maskini wakutupwa wakinga na ma Don wachaga?
Ukinga hko kumechakaa haswa watu wanaishi Kama manyani Hakuna hata miundombn maskini wakubwa
Uchagani ndio matajiri wakubwa na hawana shida vijin kwao pia wana elimu,wakinga 60% hawajui kusoma wala kuandika
ONA KWA WAKINGA KULIVYO POOR SANAView attachment 1172908
Mkuu nakuona unavyotataradi
 
Mtazamo wangu tutawaona wengi sana biashara zao zikiyumba. Huu ni muendelezo wa mikakati ya awamu iliyopita. Lakini awa wa sasa hivi hawapo patient na wameamua kufanya wazi wazi.

Ulimsikia juzi Cathebert Swai juzi akilia lia. Halafu nilisoma Yule Mama mkubwa hapo Moshi baada ya kufungua kikao akasepa. Hii inaonyesha anajua aliyofanyiwa ni uonevu lakini hana nguvu ya kumfanya chochote.

Week iliyopita Macha naye kanyanganywa Gorofa lake hapa Dar. Mke wa malalamikaji mpaka katoa ushahidi mahakamani against Mume wake . Kadai mumewe alikopa pesa nyingi kwa mlalamikiwa na hatimaye kumuuzia ghorofa Macha. Sijui walitaka ushahidi gani zaidi?!

Wanajua Kaskazini inapata kipato kizuri kwenye utalii. Wameanzisha mkakati wa mbuga nyingine kwao wakiamini itaimaliza Kaskazinj...ni mission impossible.

I’m really confused kwasababu kuna wanayofanya awamu hii ambayo Nina unga mkono lakini wanayofanya dhidi ya Kaskazini sio mazuri!!
Yule aliyetrend imekuaje tena kumbe amefanyiwa visa
 
Yule aliyetrend imekuaje tena kumbe amefanyiwa visa
Mkuu kaskazn hata waifanyeje hawataweza kuibomoa kiuchumi,watu wenye akili ni ngumu kuwafilisi uchumi,watahangaika mwshowe wataona aibu tu
Mtu anaweza kujiuliza kilimanjaro ka mkoa kadogo lakin kanazid uchumi ma mikoa makuubwa tangu uhuru hiyo ni akili ya kuzaliwa
 
Naona juzi kwny wale machangu waliopigishwa paredi out of 15 wahaya walikua 7 wakitaradadi wenyeweee.
Kabisa waliandika wahaya .

Lakini wahaya halisi wa Bukoba walichukulia poa Sana.

Maana hakuna majina ya kihaya ya bongezi au masoua tena Kwa wasichana ndo kabisa.


Muhaya msichana aliyekubalika hata Bukoba kwa makosa yake ni Yule mwizi wa tigo mlimani city anayeitwa kokuberwa huyo ndo muhaya
 
Back
Top Bottom