kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,234
- 9,506
Ni fresh coachMwenye ile Hotel opposite ma Jengo la TTCL ni Ibra aka Ibra Coach
Ni fresh coachMwenye ile Hotel opposite ma Jengo la TTCL ni Ibra aka Ibra Coach
Sawa kabisa palikuwa pana garden nzuri sana ila kipindi cha masika maji yanakatiza hapo yanaharibu.
Ni fresh coach
Ameachana na biashara ya mabasi Hilo gorofa linalojengwa opposite na Kilimanjaro community bank ni lake, na hiyo restaurant hpo zaman central gardenHuyu jamaa kafilisika au? Nakumbuka siku moja nımekaa na kıgogo mmoja pamoja na huyo fresh tunakula kuku wa kuoka ıkawa anahadithia kwamba pıa anafuga kuku na bıashara ınalıpa sana. Mabası sıyaonı sıku hızı
Asante nilimchanganya DaaahNi fresh coach
Hahaha ni checheUkiona biashara inaitwa ni haramu basi hiyo ndiyo biashara ya kufanya na kutoka haraka. Kimsingi biashara zote haramu zinalipa sana .
Na huezi kupata utajiri kwa kuziogopa njia za kukufanya ww kuwa tajiri lazima uwe na roho ngumu tena roho mbaya.pesa haitaki mtu nyoronyoro ndiyo maana tajiri ana bilion 200 lkn anamzulumu mtu buku kumi. Utajiri una siri nzito jasho na damu.Otherwise kauze matembele gengeni ubaki mjini ukiwasalimia wadogo zako shikamoo mzee na kuwapa baraka kila siku. Masikini hana baraka. Ukimpa elfu kumi anakuambia mungu akuongezee mara mia. Na mungu anazid kukuongezea.masikini anapata baraka kutoka wapi. TENGENEZA HELA NDUGU.
Kweli kabisa mkuuMiaka hiyo kulikuwa na watu wanaojua kutake risk kwelikweli....get rich or die trying. Huwa siwalaumu watu wa aina hii. Dunia nzima wapo. By the way katika generation ninayoiheshimu ni generation ya 60s na 70s hao ndio walikuwa WANAUME. Ni kama unavyosoma stories za kina Godfather n.k. Kizazi chetu lonyalonya hatuwezi hata kujaribu michongo migumu, waoooga kama kuku.
In every fortune there is crime.
I seeNimesema mmezoea wasichana wenye akil mbovu kama kina wema aka makamas
Avumaye baharin papa na wengine wapo
Tuko wanawake kibao smart tulikwenda shule na tunapiga kazi vibaya mno
Pale Central Garden alipapata kwa dhuluma sanaAmeachana na biashara ya mabasi Hilo gorofa linalojengwa opposite na Kilimanjaro community bank ni lake, na hiyo restaurant hpo zaman central garden
Lile Ghorofa la Siku nyingi sana lipo eneo la Msasani (maili Sita) linamilikiwa na Jamaa mmoja kwa Jina la Mushisa... Sijui yupo. Alikuwa na duka enzi hizo liitwalo MUSHISA STORENdio huyu mwenye ghorofa flani hivi barabara ya moshi arusha.??
Ukiwa unaenda Arusha liko mkono wa kulia.
Bahati mbaya yale maeneo nimesahau jina lake
Iongeze mkuu
Tunakumbushana enzi tu
Moshi ilikuwa moto sana
Ilikuwaje hiyo ishuPale Central Garden alipapata kwa dhuluma sana
Ilikuaje mkuu,Pale Central Garden alipapata kwa dhuluma sana
Yupo mkuu alihamia kwenye Trucks na kituo cha mafuta stand ya mboya.. Nimekimbizana sana kwenye gorofa lile na bintiye enzi hizoo aiseeLile Ghorofa la Siku nyingi sana lipo eneo la Msasani (maili Sita) linamilikiwa na Jamaa mmoja kwa Jina la Mushisa... Sijui yupo. Alikuwa na duka enzi hizo liitwalo MUSHISA STORE
Kuna story za jerad alotokewa na mama bikira Maria
Mji ulizizima
Watu wazima walienda kibosho kushuhudia muujiza ule
Bibi yangu alikwenda,na alinihakikishia alimwona mama bikira Maria.
Kuna habari za baba mtakatifu yohane paulo wa pili miaka ya 90 alikuja Tanzania
Nadhan alifika kristu mfalme pale,sina uhakika kwakuwa nilikuwa mdogo
Alituachia baraka watanzania
Babu yangu alinambia alivofika airport aliibusu ardhi ya Tanzania,akimaanisha baraka na amani hivyo haitokaa itokee vita Tanzania.
Stori za Bikra maria zipo kule kibosho na aliko onekana... Kuhusu Baba Mtakatifu Yohane Paul wa pili ilikuwa mwenzi kama huu alipita pia Memorial daaah umenikumbusha mbaliiiiiii.
H
Awez ng'o ukija kweny mapresenter bora kabisa apa bongo utakuta wanatokea moshi na a city