Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Old is Gold,hakuna graduation ya shule za girls zingefanyika bila sisi watoto wa Old kua na ratiba na lazima tuhudhurie,ilikua kama sheria,kila alhamis na jumamosi kwenye harusi YMCA pale,
Dar umenikumbusha kuzamia nusu fainali/send off na fainali/Harusi pale YMCA,tumefanya sana hiyo Biashara.
 
Hakulogwa
Alilwenda vunja madhabau ya mila

miungu ya wakilema ika tibuka

Kuvunja mbuo si jambo dogo msipo jiandaa mmoja mmoja mnatoweka
Familia itabakiwa na wanawake tuu
Haya bana
Ila hawakumtendea haki askofu wetu
Sasa wewe unasali huku una miungu kweli?alitimiza jukumu lake kama Mtumishi wa Mungu
Walitakiwa wamchague kristo ama madhabahu yao
 
Mawalla alikua anatumiwa na wakenya na wasomali enzi ya utekaji wa meli coast ya somalia mpaka yemeni 2009-2013
Zile pesa jamaa ndio alikua anazitakatisha

Wapo wasomali walishusha majengo arusha na dar hasa kko ila wengi wamekimbia baada ya CIA kuanza kula vichwa mmoja mmoja

Wamesogea kusini

Sambeke alikua ni transporter akitumia ndege zake

--Eyes Only--
Exactly
Naona vijana wao wananiparamia kwa kasi
Jamen yashapita hayo
Tunakumbushana enzi tu
 
Haya bana
Ila hawakumtendea haki askofu wetu
Sasa wewe unasali huku una miungu kweli?alitimiza jukumu lake kama Mtumishi wa Mungu
Walitakiwa wamchague kristo ama madhabahu yao
Kuna kitu kinaitwa maagano
Wachagga wanajua hili vizuri

Tokea mdogo,kitovu,kutahiri kila jambo linakwenda na uchinjaji huo ni mkataba wewe ni wa huko

Sasa ukibadil upepo bila kuja kubatisha viapo na maagano stil unatambulika huko kwenye mbuo

Ni mada ndefu maana hii ndio imesababisha wachaga kuanza sambaratika
 
Kuna kitu kinaitwa maagano
Wachagga wanajua hili vizuri

Tokea mdogo,kitovu,kutahiri kila jambo linakwenda na uchinjaji huo ni mkataba wewe ni wa huko

Sasa ukibadil upepo bila kuja kubatisha viapo na maagano stil unatambulika huko kwenye mbuo

Ni mada ndefu maana hii ndio imesababisha wachaga kuanza sambaratika
Sema baba askofu Mwendo aliumaliza na safari akaihitimisha
Kazi kwao
RIP Msarikie
 
Watu mna habari za ndani balaa,
Mzee TD maarufu kwa mtei
TD alifarik nadhan 2005 alipigwa risasi na vijana wa kazi
Alikua na mabasi ya confort yanakwenda mombasa,kitobo kabla ya kuzidiwa nguv na mhamiko akiwa layland CD na Lang'ata jino moja mswaki wa nini
kabla ya tukio lilimuua kwanza alivamiwa akapigwa kisu cha tumbo aliporudi anaponapona akapasuliwa mazima ulikuwa ni ugomvi wa mali na watoto wake tumbo moja.
 
Sasa kwann agombee moshi mjini?
Alipokulia,why moshi mjini?si ndomana wakamwita yahaya

Jina la yahaya lilikuja kwenye siasa 2015. Na sababu kubwa zilikuwa 2

1. Jamaa kwenye kampeni alitumia rasi mali watu wageni sana. So ikabidi watoto wa mjini wampachike hlo jina

2. Kuna watu walikua identified as 'chasaka'. Wakakasirika watoto wa mjini. Jina Yahaya likazaliwa
 
kabla ya tukio lilimuua kwanza alivamiwa akapigwa kisu cha tumbo aliporudi anaponapona akapasuliwa mazima ulikuwa ni ugomvi wa mali na watoto wake tumbo moja.
Kati ya Samwel na Patrick?
Emma yuko huko Dar kwenu
 
Back
Top Bottom