Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

nyie mnaotukana watu wengine eti ni wagonjwa mtatangulia nyie maana mnajiona wenye afya na dhamana ya kuishi kuliko wengine. wanaochechemea wanajua namna ya kutunza afya zao mliojazia miili yenu mkajiona mna haki kuliko wengine shauri yenu

ina Maana unamsema mwigulu au kibajaji au ze comedy? au?
 
Mtoa mada lengo la maswali yako ni nini hasa. Ni wapi ulipoambiwa ili ithibitike mtu amekufa kwa ajali ni lazima apate jeraha.

Ni wapi ulipoambiwa ili ithibitike mtu amekufa kwa ajali ni lazima nguo alizovaa zichanike.

Ni wapi ulipoambiwa ili ithibitike gari imepinduka ni lazima gurudumu lipasuke na si sababu nyingine.

Ni wapi ulipoambiwa ktk ajali abiria akifa ni budi na dereva pia afariki.

Mnapoingia kwenye mitandao humu acheni uchochezi na mihemuko ya ushabiki.

Hiyo ni ajali na Kamanda wa Polisi wa mkoa husika au Mganga mkuu wa hospitali husika ndiyo watakaotueleza chanzo cha ajali kilichopelekea kuchukua uhai wa mwenzetu. Kwa sasa tuliachie Jeshi la polisi wakati tukisubili taarifa ya uchunguzi wa mwili wa marehemu kama itatolewa na serikali au familia.

Wengine wote hatuna haki ya kusema chochote, bali kutoa pole
 
Apumzike,kwa amani. Nilichojifunza mimi ni kwamba usimsemee mtu kwa kuwa huwezi kujua wewe ukoje na unaguarantee ya muda gani hapa duniani. Usimseme mwenzio hata kidogo.
Lowassa anaumia sana moyo na wakumlipa ni Mungu mwenyewe. Pengine,Mungu amemwita ili amwelekeze mambo yampasayo chini ya jua.
Apumzike,kwa,amani
 
Wewe unaandika vitu gani? Watu wamekufa wakiwa wamelala usingizi, tuache mambo hayo. Tumuogope Mwenye ez Mungu. Tumuombee huko aendako kwani hakuna anaejua siku wala saa
 
Mtikila alikuwa mbioni kuwaburuza Edward Lowassa na Freeman Mbowe mahakamani. Likiwemo suala la mauaji ya Chacha Wangwe. Mtakumbuka Wangwe naye alikufa kwa staili hiyo hiyo pale alipopingana na Mbowe
 
chungeni midomo yenu kina nape,jamaa atawamaliza asee,,,miaka 30 anajiandaa kushika madaraka na pesa anazo,mnadhani nini kinamshinda kufanya?....
ulizeni makyembe,siku hizi kashika adabu kwelikweli.....mungu hadhihakiwi
 
Something wrong somewhere ukitulia na kufikiri na kutazama kwa jicho la tatu utakiri na Mimi sio ajali ya kawaida., huo ndio ukweli

Kunahitajika uchunguzi fulani hususani wale ambao alikuwa nao kwenye Gari ndio wanapaswa wahojiwe sana.
 
Hao wengine aliokuwa nao ndani ya gari ni kina nani?

Majina yao tuyajue pia.
 
maswali yote sijaona logic ya kuoanisha Na unachokiwaza. kama Mwalimu wako wa driving school alikuambia gari kuacha njia lazima tyre lipasuke naomba urudi chuo kingine ukalisiti driving. muda wa ajali na picha nalo sio ksb kama ajali imetokea saa kumi na moja unataka kutuambia kuwa ilikuwa lazima kuwa watu wa kwanza kufika eneo la tukio wasisaidie majeruhi wapige picha kwanza na kuzituma kwenye mitandao na hata kama hawakuwa na camera. mwisho daktari wako alikuambia kuwa kifo cha ajali ya gari lazima uwe na external wound na nguo zichanikane kana kwamba ilikuwa vita . ya mungu mengi .

you are genius. unaweza ku-reason
 
Mtikila alikuwa mbioni kuwaburuza Edward Lowassa na Freeman Mbowe mahakamani. Likiwemo suala la mauaji ya Chacha Wangwe. Mtakumbuka Wangwe naye alikufa kwa staili hiyo hiyo pale alipopingana na Mbowe

ina Maana alikuwa kafungua kesi tayari? au alikuwa mbioni kufungua kesi?
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Kitambaa
 
Kachomekewa huyu si hasha, kufa amekufa kwa ahdi yake, huyu jamaa kaipa tabu serikali na mahakama.
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Na wahutu uwapendi ???? Dhambi ya ubaguzi haitaacha kuwatafuna
 
Hii gar haikuwa na wheel balance kwajinsi inavyo onekana ni gari ambayo inasifa za kugogwa zaidi ya mara 3 ilishapata ajali jingi kifo ni lazima wala siyo hiyari ila kusafiri na gari kama hiyo yataka uwe fundi na dereva mzee ambaye amezowea kuendesha magari vimeo kama hilo !!
!
 
Back
Top Bottom