Asee mnajua watu hapa ndani uNaweza kuvuliwa nguo zote ukabaki uchi.anyway mind your own business
Wakuu wa JF poleni na majukumu ya kila kukicha katika kuhakikisha taifa hili linasonga mbele hususani katika masuala ya uwazi na uwajibikaji.
Leo ninaleta taarifa mpya kabisa kutoka mamlaka ya mapato(TRA) mkoani Arusha nahii si nyingine ni kuhusu wasichana wawili ambao ni mapacha na watumishi wa mamlaka hii mkoani hapa.
Mapacha hawa wa kike mmoja anaitwa Carolight Ntinku na mwingine anaitwa Caroline Ntinku,hawa kwa taarifa tulizonazo hawana muda mrefu tangu wapate ajira ndani ya ofisi hii.
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya chini kwa chini kutoka kwa baadhi ya watumishi wa TRA Arusha kuhusu wasichana hawa na miongoni mwao ni kuhusu suala la upendeleo unaofanyika kwa watu hawa.
Baadhi ya watumishi wanalalamika chini kwa chini sisi tumeamua kuanika wazi sasa kwamba wanapendelewa nafasi za mafunzo kupitia TRA nje ya nchi na taarifa za ndani ni kwamba hivi karibuni wamepata scholarship nje ya nchi kupitia mgongo wa TRA kwenda kusoma .
Baadhi ya watumishi wanadai kwamba wao wana muda mrefu ndani ya ofisi hii na walishajaribu mara kadhaa kuomba nafasi ya kwenda kimasomo nje ya nchi kupitia TRA lakini hawajapata nafasi hizo lakini kwa muda mchache wasichana hawa wamepata nafasi ghafla hali ambayo inaibua mzozo mkubwa.
Kuna taarifa ambazo si rasmi kwamba kuna kigogo wa TRA makao makuu kwenye nafasi ya Human Resource wana undugu naye wa karibu na yeye ndiye amekuwa akihusishwa na mpango wa kuwatengenezea mchongo wasichana hawa.
Kingine ni kuhusu malalamiko kwamba wasichana hawa wamekuwa na kiburi na jeuri ndani ya TRA katika majukumu yao ya kikazi,kwa kuwa wanalindwa na baadhi ya vigogo ndani ya TRA H.Q mwenye ukweli juu ya hili atuletee tuwajue.
Lakini kuna taarifa nyingine zilizozagaa hapa mjini Arusha kuwa wasichana hawa mapacha wamekuwa wanadaiwa kwamba wamekuwa wakitumia vyeo vyao kuwatishia baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao, na madai ya kuomba na kupokea rushwa tunaomba TAKUKURU Arusha sasa waingilie kati hili.
Wadau tunaomba mtu yoyote mwenye mapenzi mema na nchi yetu atumwagie data za wasichana hawa kama ni kweli au la ili tuujue ukweli wa ndani,naamini tutachangia bila jazba kwa lengo la kujenga na si kubomoa,asante tumeweka na picha ya mmoja wa wasichana hao aitwaye caroline
Wadau
Mapacha hawa wana juhudi sana na mtazamo chanya na kifupi ni wadada wanaoelewa wanataka nini kwenye maisha yao tofauti na vijana wengi wa kitanzania, wako very smart hata kwa kufuatilia matokeo yao na wanajiongeza sana, kwa mfano miaka ya A- level pale Arusha sec kulikuwa hakuna mwalimu wa geography wadada hawa walikuwa wakisoma masomo ya jioni na sisi pale Bishop danial kulikokuwa na mwalimu mzuri wa geo Mr. Kimario na muda mwingine Iliboru so wana effort kubwa wanastahili hata kama wamebebwa ila wanastahili kwa tabia zao binafsi wako poa tu normally.
You have a point! Ngumu kumesa eti.Ni coincidence ya namna gani, ndugu kupata ajira sehemu moja na kwa wakati mmoja! Na kupata scholarship kwa wakati mmoja!
hata ukisemaa kwan kuna mtu atakusaidia ???inaitwa kufa na tai shingoniOfisini kwetu:
Head of finance dept - Mchaga!
Head of eco & planning dept - Mchaga!
Head of hr dept - Mchaga!
Head wa naniii - Mchaga
Head of legal affairs - Mchaga!
Nanii nae - Mchaga
Nusu ya staff wa kada za kawaida - wachaga!
Na wala silalamiki, na sisemi!
roho mbaya roho za husda ufitini uzandiki ufukunyuku ushiranga tu hakuna kingine tupia kule kwenye kapu
Wazazi wao wanaishi nyuma ya Galaxy Bar pale maeneo ya florida. Wao wamepanga njiro!
Wanatumia Rav4 new model ya silver. Wanapenda kutembelea New arusha hotel, mountmeru hotel, arusha city park, fifi, africafe n.k
Utulivu zeroooooo.....hela yako tu baba!!!!
TRA wote waovu, pamoja na wewe mleta mada. Kwa hiyo mwache naye afanye uovu kwa nafasi yake...japo hatupendi maouvu hayo lakini TRA hilo ni jambo la kawaida. Kabla ya kuwarushia tuhuma hawa tuambie: wewe hujawahi pokea rushwa TRA?
Thread za namna hii huwa zinapata mahudhurio na hii ndo inatuonyesha jinsi tulivyo though tukiwa mtaani kila mtu ana uso wa bashasha na tabasamu neno kumbe moyoni ana lake.Najaribu kuwaza kwa sauti, kwa mfano wangeajirwa ofisi ya mkurugenzi wa jiji la Arusha kama watendaji wa kata sidhani kama watu wangehoji kwanini wameajiriwa sehemu moja ila TRA ambapo wengi wanaamini kuna mshiko kila mtu anawatolea macho. Nadhani kuajiriwa sehemu moja sioni shida kama taratibu zinafuatwa kikubwa ni taratibu za ajira zinasemaje endapo ndugu wakiajiriwa sehemu maana kwenye taasisi binafsi hasa zile za kimataifa kama watu ni ndugu mmoja anaweza akahamishiwa sehemu nyingine unless kama wote ni junior staff hawana maamuzi ya kiongozi wanaweza wakaachwa pamoja.
Hivi na wenyewe hawaini aibu?
Baba mmoja
Mama mmoja
Yai moja
Kuzaliwa siku moja
Na kazi ofisi moja
Hata nje wanaenda pamoja?
Bade is in next level,achana naye
vichwa havisomi muccobs