Maswali magumu kuhusu mapacha hawa TRA Arusha

Maswali magumu kuhusu mapacha hawa TRA Arusha

eti wanapokea rushwa...saa wataka data za nn badala ya kuwakamatisha ka ni kweli! unaponza kizazi chako cha kuwa na mzazi mnafiki! mmetuchosha kulalamika...ulibahatika shukuru Mungu...maskin maskini tu!
 
mkuu wanaenda nchi gani nikawatafute huko huko, maana hapa watakuwa wanawenyewe hao,..ila atakayewaoa nao, hana bahati..not wife material kabisa..
 
Hawa kina Caro's wahuni sana!

Vitoto vidogo lakin vina tamaa kama fisi. Hawa WAMACHAME, wana tamaa ya wanaume na hela beyond their age!!

Vitoto vina kula rushwa sana. Wanamejitengenezea enemies kubao hapa mjini arusha kwa kwa tamaa zao. Wameumiza wafanyabiashara kibao arusha!!
 
Hawa mabinti walisoma Levolosi Primary school....

Wazazi wao wanaishi nyuma ya Galaxy Bar pale maeneo ya florida. Wao wamepanga njiro!

Wanatumia Rav4 new model ya silver. Wanapenda kutembelea New arusha hotel, mountmeru hotel, arusha city park, fifi, africafe n.k

Utulivu zeroooooo.....hela yako tu baba!!!!
 
nilivyosoma mapacha wote tra maswali yamekuja kichwan mengi tu kuhusu ajira zao..

pili kuna mtu kawasifia vichwa sana. but maswali bado yamekuja kuhusu vichwa vya nchi kusoma muccobs undergraduate.. nalo jibu limesema hapana sio kweli?

hawa wapo smart kuliko vichwa vya b com udsm, baf mzumbe etc etc hadi wote washinde interview sehem moja nyeti tra arusha.

je huko arusha wakat wa usaili vichwa kutoka vyuo vingine hawakuomba nafasi?
 
nilivyosoma mapacha wote tra maswali yamekuja kichwan mengi tu kuhusu ajira zao..

pili kuna mtu kawasifia vichwa sana. but maswali bado yamekuja kuhusu vichwa vya nchi kusoma muccobs undergraduate.. nalo jibu limesema hapana sio kweli?

hawa wapo smart kuliko vichwa vya b con udsm, baf mzumbe etc etc hadi wote washinde interview sehem moja nyeti tra arusha.

je huko arusha wakat wa usaili vichwa kutoka vyuo vingine hawakuomba nafasi?

ingawa siwajui lakini kuna walakini katika ajira zao.
 
The way a manner their employment is questionable!!! How come both of them applied the same office/company/institution, same position and same town and they got it???!!!!....
 
hii nchi kuna mijutu ina wivu sana
jilaumuni nyie wenyewe kwa kushindwa kujiongezaa kielimu
chuki kama hizi ndio ziliwaondoa wakina kagasheki,nahodha,mathayo na nchimbi bungeni hebu tuache majungu hayatufikishi popote inawezekana baada ya hii post TRA management watawahamisha then atapelrkwa hapo mtu ambaye sio CPA holder si ufanisi wa makusanyo utashuka
 
hii nchi kuna mijutu ina wivu sana
jilaumuni nyie wenyewe kwa kushindwa kujiongezaa kielimu
chuki kama hizi ndio ziliwaondoa wakina kagasheki,nahodha,mathayo na nchimbi bungeni hebu tuache majungu hayatufikishi popote inawezekana baada ya hii post TRA management watawahamisha then atapelrkwa hapo mtu ambaye sio CPA holder si ufanisi wa makusanyo utashuka

Aaah! Kumbe ni mchumba wake?!
 
TRA wote mmeoza ukiwemo na wewe mleta mada usituzingue Kwa chuki zenu huko ndani but in general say..wote hamfai
 
Duh! Hii kali! Ndugu wawili pacha, wote wamepata kazi kwenye taasisi moja ya umma, kwa mujibu wa uzi, wote wana madaraka katika hiyo taasisi, wote wamepata scholarship kwenda kusoma nje!
Kama hawajaolewa bora waolewe na mume mmoja!
Hata Asha Rose Migiro na Mwantum Malale ilipogundulika makosa yamefanyika kuwaweka wizara moja wakiwa waziri na katibu mkuu walihamishwa!
Kijuram Hebu fafanua hapa, ni ndugu? wa aina gani? i.e nao ni mapacha au? sorry kwa kutoka kwenye maada
 
Last edited by a moderator:

Wakuu wa JF poleni na majukumu ya kila kukicha katika kuhakikisha taifa hili linasonga mbele hususani katika masuala ya uwazi na uwajibikaji.
Leo ninaleta taarifa mpya kabisa kutoka mamlaka ya mapato(TRA) mkoani Arusha nah ii si nyingine ni kuhusu wasichana wawili ambao ni mapacha na watumishi wa mamlaka hii mkoani hapa.

Mapacha hawa wa kike mmoja anaitwa Carolight Ntinku na mwingine anaitwa Caroline Ntinku,hawa kwa taarifa tulizonazo hawana muda mrefu tangu wapate ajira ndani ya ofisi hii.

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya chini kwa chini kutoka kwa baadhi ya watumishi wa TRA Arusha kuhusu wasichana hawa na miongoni mwao ni kuhusu suala la upendeleo unaofanyika kwa watu hawa.

Baadhi ya watumishi wanalalamika chini kwa chini sisi tumeamua kuanika wazi sasa kwamba wanapendelewa nafasi za mafunzo kupitia TRA nje ya nchi na taarifa za ndani ni kwamba hivi karibuni wamepata scholarship nje ya nchi kupitia mgongo wa TRA kwenda kusoma .

Baadhi ya watumishi wanadai kwamba wao wana muda mrefu ndani ya ofisi hii na walishajaribu mara kadhaa kuomba nafasi ya kwenda kimasomo nje ya nchi kupitia TRA lakini hawajapata nafasi hizo lakini kwa muda mchache wasichana hawa wamepata nafasi ghafla hali ambayo inaibua mzozo mkubwa.

Kuna taarifa ambazo si rasmi kwamba kuna kigogo wa TRA makao makuu kwenye nafasi ya Human Resource wana undugu naye wa karibu na yeye ndiye amekuwa akihusishwa na mpango wa kuwatengenezea mchongo wasichana hawa.

Kingine ni kuhusu malalamiko kwamba wasichana hawa wamekuwa na kiburi na jeuri ndani ya TRA katika majukumu yao ya kikazi,kwa kuwa wanalindwa na baadhi ya vigogo ndani ya TRA H.Q mwenye ukweli juu ya hili atuletee tuwajue.

Lakini kuna taarifa nyingine zilizozagaa hapa mjini Arusha kuwa wasichana hawa mapacha wamekuwa wanadaiwa kwamba wamekuwa wakitumia vyeo vyao kuwatishia baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao,na madai ya kuomba na kupokea rushwa tunaomba TAKUKURU Arusha sasa waingilie kati hili.

Wadau tunaomba mtu yoyote mwenye mapenzi mema na nchi yetu atumwagie data za wasichana hawa kama ni kweli au la ili tuujue ukweli wa ndani,naamini tutachangia bila jazba kwa lengo la kujenga na si kubomoa,asante tumeweka na picha ya mmoja wa wasichana hao aitwaye caroline

wadau
mdau usikute ulikua unamfukuzia akakukataa sasa unampiga fitina huku ili kumharibia,huku jf si kila kitu cha kuamini,nyingine ni kupigana fitina tu,labda una lako jambo nyuma ya pazia.daah,ila dada mzuri si muchezo
 
Juzi nilikua nao brunch Naaz hotel. Wana very positive aura around them. You fall in love at first instance. Wako smart pia. Nahisi ndo kinachoumiza wengine hapo ofsn kwao.

Nevertheless, kama Serikali inaruhusu ndugu kufanya ofs moja, acha wafanye. Kama wana makosa, washughulikiwe kwa taratibu zilizopo.

Kwa huu uzi nafasi yangu kukamata mmoja, kama ilikuepo, inafifia kwa kasi ya ajabu! Ngoja niwahi huko nikaweke mambo flani sawa. Mashallah TRA Arusha ina totoz bomba CRDB cha mtoto!!
 
The way a manner their employment is questionable!!! How come both of them applied the same office/company/institution, same position and same town and they got it???!!!!....

nina rafiki zangu waliomba kazi tra walikuwa 9 na walio fanikiwa kupata walikuwa 3, mnoja alipangiwa Bukoba, mwingine Kigoma na mwngine dodoma.
iweje watu wa familia moja wapangiwe mkoa mmoja na office moja?!....
 
Unazungumzia TRA Makao Makuu Arusha au ni ipi?zipo nyingi hapo Arusha, tulia ili utujuze kitu kinachoeleweka, hujasema wanamda gani tangu waaajiriwe hao mapacha, (Isije ikawa na wewe umesikia tu ukaamua uje JF) pi utafiti/uchunguzi wa awali upendeleo wanaoupata ukoje?.


Wakuu wa JF poleni na majukumu ya kila kukicha katika kuhakikisha taifa hili linasonga mbele hususani katika masuala ya uwazi na uwajibikaji.
Leo ninaleta taarifa mpya kabisa kutoka mamlaka ya mapato(TRA) mkoani Arusha nah ii si nyingine ni kuhusu wasichana wawili ambao ni mapacha na watumishi wa mamlaka hii mkoani hapa.

Mapacha hawa wa kike mmoja anaitwa Carolight Ntinku na mwingine anaitwa Caroline Ntinku,hawa kwa taarifa tulizonazo hawana muda mrefu tangu wapate ajira ndani ya ofisi hii.

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya chini kwa chini kutoka kwa baadhi ya watumishi wa TRA Arusha kuhusu wasichana hawa na miongoni mwao ni kuhusu suala la upendeleo unaofanyika kwa watu hawa.

Baadhi ya watumishi wanalalamika chini kwa chini sisi tumeamua kuanika wazi sasa kwamba wanapendelewa nafasi za mafunzo kupitia TRA nje ya nchi na taarifa za ndani ni kwamba hivi karibuni wamepata scholarship nje ya nchi kupitia mgongo wa TRA kwenda kusoma .

Baadhi ya watumishi wanadai kwamba wao wana muda mrefu ndani ya ofisi hii na walishajaribu mara kadhaa kuomba nafasi ya kwenda kimasomo nje ya nchi kupitia TRA lakini hawajapata nafasi hizo lakini kwa muda mchache wasichana hawa wamepata nafasi ghafla hali ambayo inaibua mzozo mkubwa.

Kuna taarifa ambazo si rasmi kwamba kuna kigogo wa TRA makao makuu kwenye nafasi ya Human Resource wana undugu naye wa karibu na yeye ndiye amekuwa akihusishwa na mpango wa kuwatengenezea mchongo wasichana hawa.

Kingine ni kuhusu malalamiko kwamba wasichana hawa wamekuwa na kiburi na jeuri ndani ya TRA katika majukumu yao ya kikazi,kwa kuwa wanalindwa na baadhi ya vigogo ndani ya TRA H.Q mwenye ukweli juu ya hili atuletee tuwajue.

Lakini kuna taarifa nyingine zilizozagaa hapa mjini Arusha kuwa wasichana hawa mapacha wamekuwa wanadaiwa kwamba wamekuwa wakitumia vyeo vyao kuwatishia baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao,na madai ya kuomba na kupokea rushwa tunaomba TAKUKURU Arusha sasa waingilie kati hili.

Wadau tunaomba mtu yoyote mwenye mapenzi mema na nchi yetu atumwagie data za wasichana hawa kama ni kweli au la ili tuujue ukweli wa ndani,naamini tutachangia bila jazba kwa lengo la kujenga na si kubomoa,asante tumeweka na picha ya mmoja wa wasichana hao aitwaye caroline

wadau
 
Back
Top Bottom