Maswali kuhusu elimu ya awali ya Dr. Joseph Magufuli

Maswali kuhusu elimu ya awali ya Dr. Joseph Magufuli

Lakini hata kuingia Seminari ilibidi mtihani ufanyike, na aliufaulu so yaonekana alikuwa bright, kuna mtu alisema Magu alikuwa mlaji wa mboga ya Msukuma, ndo akatimuliwa.
 
Lakini hata kuingia Seminari ilibidi mtihani ufanyike, na aliufaulu so yaonekana alikuwa bright, kuna mtu alisema Magu alikuwa mlaji wa mboga ya Msukuma, ndo akatimuliwa.
 
It doesn't matter because hawezi kuwa KilAza. Itakuwa ni aibu ya wanaCCM kuwa na Cheamani KilazA
Nachelea amini umetumia kichwa(ubongo) kufikiri ulichoandika!..hivo tu!
 
Duuh...jf balaa..hii thread ya toka mwaka jana lakini sababu ya bashite imebidi watu waifukunyue ili waangalie ni mapito ya mkulu ya kielimu...kazi kwelikweli. Sijui kws nini classmates wake hawajitokezi kusema kikichojiri wakati huo?
 
Wewe ulifeli nini la saba kama le profeseli na ukarudia.kuna nafasi mia mbili na mnagombea watu elfu moja anachukuliwa aliyeongoza mpaka wa miambili walioshindwa wamefeli.lugha hiyo ilikuwa ya kisiasa kama unavyojua mabingwa wa uongo
Hiyo lugha yako unayoisemea ni kwa kipindi cha sasa sio kwa kipindi chao!..
Kuhusu kuhama seminary kwenda private kufeli sio sababu tosha kuisemea, mimi ni mfano tosha.
Nilisoma seminary fulani ufaulu wao ulikua mkubwa sana lakini niliweza mudu masomo nikaja kufukuzwa shule kwa kutofata misingi/ratiba waitakayo (kuwahi shule wakati wa kufungua, kutumikia misa/kanisa kipindi cha likizo, muda wa kusali na kazi).
so kumuita mtu kilaza kwa kufukuzwa seminary bila jua sababu ni UJUHA!..
 
Umejuaje mleta mada ana hoja ya kitoto wakati huna majibu ya hio mada ya kitoto???

Tatizo wewe ndio mwenye kukurupuka na maelezo ya kitoto yasiyo majibu ya utu uzima kwa Mada hii.

Halafu unatuomba sisi tumjibu jibu la kitoto wakati wenye kubaini mada ni ya kitoto ni wewe.
Aaaa banaa acha utoto beba hilo li mzigo wewe mwenyewe.
Du mkuu, "cowards live longer"! Ndio maana tz death rate iko chini maana wanaishi muda mrefu 😉
 
SEMINARY wanautaratibu kuwa mtu ambaye performance yake darasani inakuwa poor huwa hawataki kuendelea naye na humfukuza shule mhusika,

Sababu ya pili ni discipline - ukikosea tu ratiba iliyopangwa, mfano, muda wa kulala saa nne wewe unaendelea ujue kesho yake unadandia usafiri kurejea kwenu.

Sababu ya tatu ni kuwa baadhi ya watu wanaacha wenyewe na kuelekea kwenye shule za kawaida bila kufukuzwa.
 
Pombe alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1959 katika kijiji cha Chato, Wilayani Biharamulo katika Mkoa wa Kagera.

Alianza elimu ya msingi katika Shule ya msingi Chato mwaka 1967 na kumaliza mwaka 1974. Mwaka 1975 alianza masomo ya sekondari katika Shule ya Seminari ya Katoke Mkoani Kagera. Mwaka 1977 alihamia shule ya sekondari ya Lake iliyopo Mkoani Mwanza na kuhitimu kidato cha Nne mwaka 1978.

Je, kwanini alisoma shule ya msingi miaka 8?
Au kipindi hicho system ya kurudia darasa la nne ilikuwepo?
Na ilikuwaje kuacha seminary na kwenda kumalizia kitaa?

Maneno ya Mh Rais DK Pombe
“Nataka nizungumze hapa hadharani. Unajua pamekuwa na wanasiasa wengine wana maneno. Wanataka tupeleke watu, wakachukue Digrii, mafelia. Sijui kwa sababu wanasiasa hawa ni mafelia?" —
Unachokitafuta Utakipata Tu Ndugu Yangu. Ngoja Nikae Zangu Kimya Ninywe Chai na Mke wangu na watoto hapa.
 
sijaelewa maana halisi ya huu uzi ni nini..!!!!
unaweza kuleta shida mkuu em chunguza vizuri thread zako!!!
 
Sina uhakika sana, lakini kwa kufanya reference ya ndugu zangu wawili, mmoja alimaliza darasa la 8 mwaka 1967, na mwingine alimaliza darasa la saba 1970, kwa vyovyote mfumo wa darasa la 8 ulikoma kabla ya 1970.
Mwaka 1965 kulikuwa na mikoa ya majaribio 4-mmoja wapo ukiwa Mkoa wa Tanga. Tulikuwa watu wa kwanza kufanya mtihani wa darasa la 7 na kuingia Form1 1966 (of course darasa la nane walitutandika sana darasani hiyo haina swali,tulipofika F3 ndio mambo yakawa sawa tukawa tunaushindani). Mikoa mingine nafikiri ilifutiwa mtihani wa Darasa la 8 around 1968 baada ya kuona inawezekana kufuta mwaka mmoja wa elimu (naweza nikawa nimekosea hii ya 1968).
 
Msijitaftie matatizo naona mnapoelekea mnaanza kusema bila utaratibu , magufuli kutolewa seminary haikuwa kwasababu ya performance, sababu naijua Na alikuwa Na Mdogo wake Benjamin mkapa, pale katoke seminary, sababu iliyowatoa si vyema kuisema,

Keep in mind familia ya mkapa Na magufuli hawajakutana barabarani
 
sijaelewa maana halisi ya huu uzi ni nini..!!!!
unaweza kuleta shida mkuu em chunguza vizuri thread zako!!!
Mkuu wapo watu ambao huwa wanajifanya wajasiri na wajuaji, wanasahau kwamba mwisho wa siku kila mtu husimama as an individual katika kila tunayofanya. Mimi Mada Kama Hizo Sizitaki Kwakweli Maana Ninawaza familia yangu kwanza kwa kila nifanyalo. Sasa Ukiingiza Mikono Kwenye Mashine ni LAZIMA UTASAGIKA TU.
 
Msijitaftie matatizo naona mnapoelekea mnaanza kusema bila utaratibu , magufuli kutolewa seminary haikuwa kwasababu ya performance, sababu naijua Na alikuwa Na Mdogo wake Benjamin mkapa, pale katoke seminary, sababu iliyowatoa si vyema kuisema,

Keep in mind familia ya mkapa Na magufuli hawajakutana barabarani
Mkuu Kuna Watu Kila Kukicha Huenda Sokoni na KUJINUNULIA MATATIZO Badala ya Kununua Chakula Kwa Ajili ya Familia Zao. Mimi Siwezi Ku Post Mada za Kizandiki Kama Hizi, Ni afadhali niitwe muoga, kunguru au kibaraka. Moto Huunguza, Moto HAUJARIBIWI - UKI BEEP UNAKUUNGUZA KWELI KWELI : MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Mnasahau seminary unasoma miaka mitano, unaanza Na pre form one mwaka mzima, je hiyo umeifanyia considerations?
 
Mimi binafsi nmesoma katoke seminary,nmekuta story sake nyingi tu..kikubwa nliambuwa kufukuzwa kwake,alikosa wastani..

Nakumbuka kuna kipindi alikuja shule pale kutembea akakuta barabara in mbovu akaamrisha kesho yake wqweke mkandarasi...sikuwai kuona kama anakinyongo chochote..
 
hii ni hoja hojaji ingawa haina mashiko. Kuhoji mchakato wa elimu ya mtu shule ya msingi au sekondari leo miaka 40 iliyopita ni kupoteza muda.
 
Back
Top Bottom