It doesn't matter because hawezi kuwa KilAza. Itakuwa ni aibu ya wanaCCM kuwa na Cheamani KilazADoes it matter?
Mwenyewe ni mtt na majib ya kumpa ni ya kitt, kwani shule bado zimefungwa?mleta mada ana hoja ndogo sana na tunaweza kuiita 'hoja ya kitoto' lakini hana budi kujibiwa jibu hilo hilo dogo na la 'kitoto' kama yupo mwenye nalo.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mtoa mada jiandaye kutumbuliwa. Jamaa hata jana alsema hana uvumilivu
umesema kweli mkuu.Utakuwa kizazi cha sasa kisichofanya utafiti kabla ya kuamini jambo. Kwa ufupi kuna kipindi elimu ilikuwa tofauti na iliyopo sasa. Fanya utafiti.
Yeyote ambaye ameshindwa kuvifikia viwango vilivyowekwa vya ufaulu katika shule za seminary, huondolewa. Kwa siku za huko nyuma, ukiondolewa seminary, mahali pekee pa kwenda ilikuwa ni private schools. Ni rahisi sana kupoteza mwaka wakati wa kutafuta shule.umesema kweli mkuu.
Mimi nilianza primary mwaka 1974 Oktoba halafu tukaenda likizo ya krisma. tuliporudi january 1975 tukaambiwa utaratibu umebadilishwa na serikali kwamba kuanzia 1975 shule za msingi zitaanza mwaka wa shule mwezi January na kumaliza oktoba na ndiyo iliyobaki mpaka hawa watoto waliozaliwa wakati huu ww kuku wa kisasa mnapata vipara kabla ya muda wenu. Kwangu mimi ninaweza kusema nilianza primary mwaka 1974 na kumaliza 1982 ama 1975 hivyo ni bora kufanya research kabla kuanza kutoa kashfa. Ni bora huyu mtoa mada akafanya utafiti.
Issue ya kutoka Seminary na kwenda Lake Secondary iko wazi kabisa kwamba SEMINARY wanautaratibu kuwa mtu ambaye performance yake darasani inakuwa poor huwa hawataki kuendelea naye na humfukuza shule mhusika, the same thing happened to MAGU, Baada ya kuwa ametimuliwa ilibidi MZAZI wake amtafutie nafasi pale LAKE Sec ili aendelee na masomo ya SECONDARY. Kipindi hicho most of private schools zilikuwa zinachukuwa wanafunzi waliokosa nafasi kwenye shule za serikali( failures wa mtihani wa Std 7).Kwa hiyo kipindi kile mtu anayesoma private school ni mtu ambaye alifeli Mtihani wa Darasa la Saba ila kwa sasa hivi imekuwa tofauti sana.
..
Je, kwanini alisoma shule ya msingi miaka 8?
Au kipindi hicho system ya kurudia darasa la nne ilikuwepo?
Na ilikuwaje kuacha seminary na kwenda kumalizia kitaa?