Maswali kuhusu elimu ya awali ya Dr. Joseph Magufuli

Maswali kuhusu elimu ya awali ya Dr. Joseph Magufuli

Azim Sokoine

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
1,486
Reaction score
2,755
Pombe alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1959 katika kijiji cha Chato, Wilayani Biharamulo katika Mkoa wa Kagera.

Alianza elimu ya msingi katika Shule ya msingi Chato mwaka 1967 na kumaliza mwaka 1974. Mwaka 1975 alianza masomo ya sekondari katika Shule ya Seminari ya Katoke Mkoani Kagera. Mwaka 1977 alihamia shule ya sekondari ya Lake iliyopo Mkoani Mwanza na kuhitimu kidato cha Nne mwaka 1978.

Je, kwanini alisoma shule ya msingi miaka 8?
Au kipindi hicho system ya kurudia darasa la nne ilikuwepo?
Na ilikuwaje kuacha seminary na kwenda kumalizia kitaa?

Maneno ya Mh Rais DK Pombe
“Nataka nizungumze hapa hadharani. Unajua pamekuwa na wanasiasa wengine wana maneno. Wanataka tupeleke watu, wakachukue Digrii, mafelia. Sijui kwa sababu wanasiasa hawa ni mafelia?" —
 
Pombe alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1959 katika kijiji cha Chato, Wilayani Biharamulo katika Mkoa wa Kagera.
Alianza elimu ya msingi katika Shule ya msingi Chato mwaka 1967 na kumaliza mwaka 1974. Mwaka 1975 alianza masomo ya sekondari katika Shule ya Seminari ya Katoke Mkoani Kagera. Mwaka 1977 alihamia shule ya sekondari ya Lake iliyopo Mkoani Mwanza na kuhitimu kidato cha Nne mwaka 1978.
Je Kwa nini alisoma shule ya msingi miaka 8
au kipindi hicho system ya kurudia darasa la nne ilikuwepo?
Na ilikuwaje kuacha seminary na kwenda kumalizia kitaa?
Maneno ya Mh Rais DK Pombe
“Nataka nizungumze hapa hadharani. Unajua pamekuwa na wanasiasa wengine wana maneno. Wanataka tupeleke watu, wakachukue Digrii, mafelia. Sijui kwa sababu wanasiasa hawa ni mafelia?" —


Hakuna anayefeli la saba bali hukosa nafasi ya Sekondari na ndiyo maana husema amechaguliwa kujiunga na Sekondari!
 
Utaambiwa unamtusi mtukufu mwenyekiti mpya.
 
Ninyi wtt mnatusumbua hum ndani na mabandoko yasiyo na msingi, elim ya mwal ilikuwa inaanzia darasa la kwanza hadi la 8, japo iligawanyika ktk sehem 2. Miaka 4 ya mwanzo na baadae miaka 4..

Kwa hyo ukitoka std 8 unaingia std 9 mpka 12. Leo vijana hawajui kwa nm inaitwa kidato cha nn!!

Magu kasoma madarasa 8...
 
Ninyi wtt mnatusumbua hum ndani na mabandoko yasiyo na msingi, elim ya mwal ilikuwa inaanzia darasa la kwanza hadi la 8, japo iligawanyika ktk sehem 2. Miaka 4 ya mwanzo na baadae miaka 4..

Kwa hyo ukitoka std 8 unaingia std 9 mpka 12. Leo vijana hawajui kwa nm inaitwa kidato cha nn!!

Magu kasoma madarasa 8...
Kwani darasa la nane lilifutwa mwaka gani? Halafu chukua umri wa mhusika linganisha utapata jibu.
 
mleta mada ana hoja ndogo sana na tunaweza kuiita 'hoja ya kitoto' lakini hana budi kujibiwa jibu hilo hilo dogo na la 'kitoto' kama yupo mwenye nalo.
Kama umejua hoja ni ya kitoto huku ukiwa hufahamu alichouliza mleta mada maana yake wewe ndiye mwenye hoja ya kitoto, vinginevyo toa sababu ya kwanini hoja ya mleta mada iwe ya kitoto?
 
Vijana tulete thread za maana kuliko kufuatilia mtu kupita kiasi, siyo vibaya kuuliza lakini kikawaida ilipaswa ujiulize na kujaribu kujijibu, usiwe mvivu wa kufikiri, kutoka mwaka 1959-1967=8,
Kumbuka kuwa alizaliwa October hivyo ni sawa na kuwa alianza shule akiwa na miaka 7 na miezi 2,
Akamaliza mwaka 1974, elewa hapo kuwa alimaliza akiwa na umri wa miaka 15 na miezi 2,
Mbona leo hii kuna watoto wanamaliza darasa la saba wakiwa na miaka zaidi ya hiyo? Unataka kuleta hoja ya kuwa alifeli hatua fulani kitu ambacho sio kweli.
Je, hapo utahukumu kuwa alichelewa shule,?
LETS BE MORAL AND ETHICAL AGENTS, DOUBTING ON SUCH MINOR CASE IS AN INDICATION OF LOW THINKING AND REASONING CAPACITY.
 
Pombe alizaliwa Oktoba 29, mwaka 1959 katika kijiji cha Chato, Wilayani Biharamulo katika Mkoa wa Kagera.
Alianza elimu ya msingi katika Shule ya msingi Chato mwaka 1967 na kumaliza mwaka 1974. Mwaka 1975 alianza masomo ya sekondari katika Shule ya Seminari ya Katoke Mkoani Kagera. Mwaka 1977 alihamia shule ya sekondari ya Lake iliyopo Mkoani Mwanza na kuhitimu kidato cha Nne mwaka 1978.
Je Kwa nini alisoma shule ya msingi miaka 8
au kipindi hicho system ya kurudia darasa la nne ilikuwepo?
Na ilikuwaje kuacha seminary na kwenda kumalizia kitaa?
Maneno ya Mh Rais DK Pombe
“Nataka nizungumze hapa hadharani. Unajua pamekuwa na wanasiasa wengine wana maneno. Wanataka tupeleke watu, wakachukue Digrii, mafelia. Sijui kwa sababu wanasiasa hawa ni mafelia?" —
Utakuwa kizazi cha sasa kisichofanya utafiti kabla ya kuamini jambo. Kwa ufupi kuna kipindi elimu ilikuwa tofauti na iliyopo sasa. Fanya utafiti.
 
Issue ya kutoka Seminary na kwenda Lake Secondary iko wazi kabisa kwamba SEMINARY wanautaratibu kuwa mtu ambaye performance yake darasani inakuwa poor huwa hawataki kuendelea naye na humfukuza shule mhusika, the same thing happened to MAGU, Baada ya kuwa ametimuliwa ilibidi MZAZI wake amtafutie nafasi pale LAKE Sec ili aendelee na masomo ya SECONDARY. Kipindi hicho most of private schools zilikuwa zinachukuwa wanafunzi waliokosa nafasi kwenye shule za serikali( failures wa mtihani wa Std 7).Kwa hiyo kipindi kile mtu anayesoma private school ni mtu ambaye alifeli Mtihani wa Darasa la Saba ila kwa sasa hivi imekuwa tofauti sana.
 
Back
Top Bottom