Maswali kibao kuhusu taarifa ya Joanah

Maswali kibao kuhusu taarifa ya Joanah

Status
Not open for further replies.
Ila kuna maajabu na watu wa maajabu kama wewe... Nini kaandika hakijaeleweka? Fikiria kapata habari unataka hapo hapo aandike yoteeeee.. Akiamua si ataandika akinyamaza kuheshimu ya mtu na mshtuko amepata ni muhimu.. Kila mtu anapokea taarifa za afya yake kitofauti

Kasema kajua hata masiku mengi hayajapita, mimi huwa sisomi threads zote ila nikivutiwa na hoja mtu ameleta naenda kusoma posts zake yeye moja baada ya nyingine. Kupitia kwake.. Naamini kama ungesoma aliyoandika zaidi kwa kujibu wadau basi UNGENYAMAZA KIMYA.

Kama unataka sana kujua, jitolee uende wodi hizo Ocean Road, DSM. UKAWAULIZE huku umeeapelekea mahitaji.
 
Ule uzi nimekosa cha kuandika..

Kama mtu ambaye nimeshuhudia Mgonjwa wa Cancer anavyoteseka tangu kupata taarifa....Na hatua zote za matibabu....

Namuombea Mungu tu amfanyie wepesi....Cancer siyo ugonjwa wa kuombea hata adui yako aupate.
Niliwahi kufika pale OCRI , Cancer ni noma, Kuna wodi nyingine ya watoto wenye kansa Muhimbili pale km una roho ndogo huwatazami hao watoto
 
Mkuu mbona mamkubwa joa kaeleweka kabisa,muhimu kumuombea tu n she is very strong maana ni wachache sana wa kuweza kuwa na nguvu ya kusema mambo ya kufa kwake maana Mimi ningewaandikia waraka wa kuomba michango tu niende India maana kufa naogopa mno nikiwaza mke wangu atavuliwa nguo na jamaa jingine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom