Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,749
- 16,797
Haujajibu swali, nimekuuliza hivi, mtu kupewa matumaini haitakiwi ? Hujui kusoma vizuri?Kama matumaini yangekuwa yanazuia kifo sawa ingefaa.
Haujajibu swali, nimekuuliza hivi, mtu kupewa matumaini haitakiwi ? Hujui kusoma vizuri?Kama matumaini yangekuwa yanazuia kifo sawa ingefaa.
NdioHaujajibu swali, nimekuuliza hivi, mtu kupewa matumaini haitakiwi ? Hujui kusoma vizuri?
Na akikojolea kaburi langu nitakutana nae usiku😂😂mgonjwa anazidi kuchafukwa, usije fanya wakojoe juu ya kaburi lako
Kwanini? Elezea.Ndio
Kama matumaini yangekuwa yanazuia kifo sawa ingefaa.Kwanini? Elezea.
Matibabu ya chemotherapy huwa yana target kwenda kuua cells ambazo zinakuwa kwa kasi , Basi cells za nywele ni moja wapo ya cells zinakuwa kwa kasi , hivyo wananyoa nywele ili zisiwe zinakatika wakati wa matibabu hayo . Hivyo tu mkuuHivi kuna uhusiano gani wa cancer na kunyolewa nywele
Hii siyo point ya msingi, una nyingine?Kama matumaini yangekuwa yanazuia kifo sawa ingefaa.
😆😆hivi vi kitu mbona kwenye simu yangu vimepinda au hili ni toleo jipya?
Mnamdekeza.mbona kajitahidi sana, kama ni kweli ana moyo wa kiume sana, wengi wangekuwa wanapepewa wanazimia na kuzimuka sahii
Kwa sasa mpeeni muda, akiwa tayari atashare
Hii ni kumpea presha ingine
Yupo kwenye menopause huyo.Sasa kama muhusika mwenyewe, hakuweka wazi kwenye uzi wake ni cancer gani inayomsumbua,unafikiri ndio atafunguka kwenye huu uzi uliouanzisha wewe?
Moderator please unganisheni hizi nyuzi.
Narudia...Niliwahi kufika pale OCRI , Cancer ni noma, Kuna wodi nyingine ya watoto wenye kansa Muhimbili pale km una roho ndogo huwatazami hao watoto
Dada Joa amesema atakufa ndani ya wiki 2...😆Sijaelewa mdau
🤣🤣🤣 hebu sasa ona nacheka wodini🫢Mnamdekeza.
Halafu disaini kama mnampa promo /kiki.
Sure dear...Ule uzi nimekosa cha kuandika..
Kama mtu ambaye nimeshuhudia Mgonjwa wa Cancer anavyoteseka tangu kupata taarifa....Na hatua zote za matibabu....
Namuombea Mungu tu amfanyie wepesi....Cancer siyo ugonjwa wa kuombea hata adui yako aupate.
Anayo haki ya kukasirika,Kutukana tukana sio sifa.
Wewe bila shaka unapitia maumivu ya mapenzi, stress zako unatuletea humu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dalili za Schizophrenia hizo.
Hapo unajiona una dushe , kumbe una kipapa tu.
Anayo haki ya kukasirika,
kumuanzishia huu uzi na kuuliza swali ambalo hakutaka kulijibu kwenye uzi wake,huoni kama huo ni ujinga? Hii JF kuna vijitu vina kimbelembele sana kufungua vinyuzi vyao visivyokua na kichwa wala miguu,
Tena mleta mada anasema kabisa Jo hajataka kujibu hilo swali kwenye uzi wake,halafu anamfingulia uzi na kuuliza swali lile lile!
Asitupangie vya kuuliza.Anayo haki ya kukasirika,
kumuanzishia huu uzi na kuuliza swali ambalo hakutaka kulijibu kwenye uzi wake,huoni kama huo ni ujinga? Hii JF kuna vijitu vina kimbelembele sana kufungua vinyuzi vyao visivyokua na kichwa wala miguu,
Tena mleta mada anasema kabisa Jo hajataka kujibu hilo swali kwenye uzi wake,halafu anamfingulia uzi na kuuliza swali lile lile!
Jamiiforums sio kwa ajili ya watu dhaifu, ungetaka watu dhaifu ungeenda FB .Imagine!!
Jamiiforums ina watu ambao kuna namna tu wanamtafutia mtu ubaya