Maswali kibao kuhusu taarifa ya Joanah

Maswali kibao kuhusu taarifa ya Joanah

Status
Not open for further replies.
Narudia...
Cancer siyo Ugonjwa wa kuomba hata adui yako aupate...

Mimi Dada yangu amekatwa hadi ziwa....Bado anaendelea na matibabu wanamcheck tena wanamwambia imehamia kichwani😭😭
DOh kwaiyo wakate kichwa
 
Narudia...
Cancer siyo Ugonjwa wa kuomba hata adui yako aupate...

Mimi Dada yangu amekatwa hadi ziwa....Bado anaendelea na matibabu wanamcheck tena wanamwambia imehamia kichwani😭😭
Mhhh dada angu alikufa jwa huo ugonjwa na yy ulihamia kichwani na titi lilikua lishakatwa mweeee poleni sana alikua anapitia maumivu ya kichwa analia kama mtoto
 
Sasa mbona unaact kama wewe ndo unamiliki kipapa?

Usiniambie kitendo cha mimi kushare nakufa hivi karibuni unaona wivu....wanawake bhana!
Wamekufa mitume na manabii sembuse wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unaweza kuamua kuwa humble tu

Sio lazima kila ishu ujipitishe bila sababu ili mradi uonekane ulikuwepo, hizo tabia hazikusaidii kitu
Nakushauri hizi nyuzi wala usiwe unaingia kubishana na mtu,unaweza kujadili kwenye ule uzi wako tu,

Kubishana nao hapa ni kuwapa tu nguvu kwa wanachokifanya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom