Mastaa wa bongo: JK amwita Diamond ikulu

Mastaa wa bongo: JK amwita Diamond ikulu

Status
Not open for further replies.
Mkuu umesahau waficha fedha za nchi yetu Uswizz, SA Caymans Islands wakati walimu madaktari watumishi kibao wanadai maslahi wanaambiwa serilkali haina fedha! Hawataki kurudisha hizo fedha zifanye kazi ya maendeleo na mkubwa wa nchi kakaaa kimya tuu utadhani hasikii.

Nchi imeharibika watu wakidai haki wanapelekwa Mabwepande, wanapigwa risasi za moto wakiwa na mabango na matawi ya miti, halafu wanakanusha kuwa wao hawajaua mtu yeyote, hii ni hatari saana hii.

 
Hivi hii kazi ya upromoter si angemwachia hata Nape!

Kweli kuna viongozi hawashauriki lakini jk kiboko yao, yani hatuliii hata kidogo hata upromoter ana dandia!
 
Alijenga nyumba duuu!zilizoachwa na wakoloni na kutaifisha za wahindi,?! eti alikemea rushwa aaaaaah alikua anafanya kuwahamisha ukila huku unaamishiwa kwengine

Ustaadh unajiona umeongea point eeh?!
 
Huyu alitakiwa aimbe taarabu,angekuwa maarufu kuliko hata mzee yusuf.
 
Kwani kazi ya upromoter nani anatakiwa kuifanya ndani ya chama chetu cha ccm?

Nadhani hii ni biashara mpya ya jk!

Unanikumbusha Nyerere alivyompeleka Mzee Morris Japan 1970 (expo 70) na kundi lake zima. Kuwaonesha maajabu ya kipofu anapiga ngoma kumi wakati dunia nzima wamepeleka bidhaa za ku export Nyerere akampeleka huyo mzee na Mbaraka Mwinshehe na bendi yake nzima na kundi la wachezea nyoka wa kinyamwezi na kisukuma na bendi ya polisi ya gwaride (brass band).

Tanzania tuna viongozi wa ajabu sana, ukiuliza ile ilisaidia nini, mpaka leo hakuna mwenye jibu linaloingia akilini.

Kwi kwi kwi teh teh teh!

Sijui hujui kuwa Leticia Nyerere alichukuwa mwana mziki akashindwa kumlipa? yeye nae promoter? sijui hujui Sugu alipelekwa na chadema kutumbuiza? umeona ya diamond tu na Kikwete?
 
Nahisi hii ni biashara mpya pale ikulu ina bidi ikiwezekana tumshauri mwenyekiti wetu wa chama hili kazi hii ampe Mkama maana Mkama hana kazi, kazi zake zote zimechukuliwa na Nape!

Mkuu chama,
Hizo porojo kuhusu kumponda JK humu JF tumeishazoe kuna watu humu kukwama kwao kimaisha hasira zao zinakwenda kwa JK..
 
Last edited by a moderator:
Nahisi hii ni biashara mpya pale ikulu ina bidi ikiwezekana tumshauri mwenyekiti wetu wa chama hili kazi hii ampe Mkama maana Mkama hana kazi, kazi zake zote zimechukuliwa na Nape!

Mkuu chama,
Hizo porojo kuhusu kumponda JK humu JF tumeishazoe kuna watu humu kukwama kwao kimaisha hasira zao zinakwenda kwa JK..
 
Last edited by a moderator:
Unanikumbusha Nyerere alivyompeleka Mzee Morris Japan 1970 (expo 70) na kundi lake zima. Kuwaonesha maajabu ya kipofu anapiga ngoma kumi wakati dunia nzima wamepeleka bidhaa za ku export Nyerere akampeleka huyo mzee na Mbaraka Mwinshehe na bendi yake nzima na kundi la wachezea nyoka wa kinyamwezi na kisukuma na bendi ya polisi ya gwaride (brass band).

Tanzania tuna viongozi wa ajabu sana, ukiuliza ile ilisaidia nini, mpaka leo hakuna mwenye jibu linaloingia akilini.

Kwi kwi kwi teh teh teh!

Sijui hujui kuwa Leticia Nyerere alichukuwa mwana mziki akashindwa kumlipa? yeye nae promoter? sijui hujui Sugu alipelekwa na chadema kutumbuiza? umeona ya diamond tu na Kikwete?
Mkuu Zomba kweli wewe ni wa ajabu saana, kazi alizozifanya Nyerere unaweza kuzifananisha na huu mdundiko unaoendelea hivi sasa???? Kama hujui au labda una issue ya kumchafua Marehemu Mzee wetu Nyerere basi huna sera kalale!!!

 
Raisi atakaefuata baada ya JK atakuwa na zake za mwendo mdundo !!
 
Dk ndevu hujaacha mambo yako ya kiini macho na huyo malinda uliye mtuma huchoki sio ok dawa imeiva
 
HonorableMP

Wewe unayejiita Hon. Member of Parliament (CCM) una habari kuwa nyie wabunge wa CCM mmelichafua sana Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mnalitumia vibaya mkiongozwa na yule speaker wenu mliyempachika bila kujali uwezo wake hafifu akisaidiwa na manaibu wake wasiokuwa na akili timamu? Nyie si ndiyo mlimzomea Mnyika aliposema huyu mwenyekiti wenu wa chama ni dhaifu?

Badala ya kuangalia jinsi Ikulu ilivyochafuka kwanini nyie wabunge wa CCM msiangalie kwanza jinsi mlivyolichafua Bunge kwa mambo yenu ya kipuuzi. Kwa mtazamo wangu Rais anawapa watanzania kile walichokichagua. Huwezi ukamchagua kondoo halafu ukatarajia afanye mambo yanayofanywa na simba. &*..!%$#&!@
 
Last edited by a moderator:
This president is a joke.

Sikuwahi kumfuatilia kabisa hata alipochaguliwa. Baada ya utumbo mwingi ie ufisadi kuanza kwa kasi. Nikaona humu watu wanavyoponda. Nikasema huyu ngoja nimfwatilie kidogo labda wanamwonea.

Matokeo yake yalinisikitisha sana. Nikajiuliza ilikuwaje akachaguliwa kuwa rais? Nikaja nikapata lile jibu la wanamtandao na alivyomwua muislam mwenzake Salim eti mwarabu wa Hizbu! Hakuingia kwa merits za uchapaji kazi ama atawafanyia nini watanzania zaidi ya slogan ya kitapeli ya "maisha bora kwakila mtanzania"

This president ni janga kubwa la Taifa na madhara ya utawala wake yatabaki for decades if not generations.
Mkuu jmushi ulikuwa hujui, hebu jiulize mbona kanyamaza kimya fedha zetu zilizo fichwa huko njee, Uswizz, SA, UK, OffshoreAccts sijui tusemeje?

Mpaka tufike wakati wa uchagizi hawa watu wanazidi kuiba na kuficha zaidi fedha zetu, haya mambo yako wazi labda CHADEMA iunde kitengo cha wanasheria kudai fedha zetu huko ulaya!
 
Kwa taarifa tu ni kuwa mama Banda alimzimikia jk ile mbaya kwa usanii wake. Hajawahi kukutana na Rais joker na handsome kama jk. Na ndivyo wanavyosema kina mama wa nchi hii, 'bora kuwa na Rais handsome...' mengine yatajibeba... Na wanaume waliompa je? Tuwaweke kundi gani?
Wacha uongo wako Mama Joyce Banda ni mtu wa maombi( prayer lady) hawezi kubabaishwa na sura ya mtuu!! Watanzani wanajuta sasa hivi kosa la kuchagua sura, hata kina mama waulize kama huamini angalia matokeo ya chaguzi ndogo!
 
Rais aliyezoea kula bata hata kabla ya kuingia ikulu.huyu si alikuwa anapiga modal za jeans tangu akiwa waziri? Nakumbuka mwaka 2000 aliwahi kuja Pugu sec amepiga modal na shati la kisharobeeeng
 
Jk has done almost everything for the nationals. What remains to him is to socialise. You people gave him another term and therefore you should swallow the consequences. Wimp are those who think they cannever do anything without him
 
images
images
411114_10150952304684016_639734015_9985961_1532000628_o.jpg


Kwa taarifa yako chama!


hapo chacha!
Nadhani ni makabizio ya mkataba!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom