Nyie mnakula bata huko kwa kodi zetu lazima mtumie nguvu kubwa sana kumtetea lakini mwisho unakaribia hata mfanyeje wabinafsi wakubwa! Ukipita Dodoma ukiona hizo nyumba utalia miaka 50 wananufaika wachache Kama wewe halafu unataka kuleta jeuri ohooo!!!!! Huo usultani utaisha tuu.
Tukubali tu kuwa tumepoteza miaka 10 kwa nchi bila kiongozi.
This president is a joke.Sikuwahi kumfuatilia kabisa hata alipochaguliwa.Baada ya utumbo mwingi ie ufisadi kuanza kwa kasi.Nikaona humu watu wanavyoponda.Nikasema huyu ngoja nimfwatilie kidogo labda wanamwonea.
Matokeo yake yalinisikitisha sana.Nikajiuliza ilikuwaje akachaguliwa kuwa rais?Nikaja nikapata lil
e jibu la wanamtandao,na alivyomwua muislam mwenzake Salim eti mwarabu wa Hizbu!Hakuingia kwa merits za uchapaji kazi ama atawafanyia nini watanzania zaidi ya slogan ya kitapeli ya "maisha bora kwakila mtanzania"
This president ni janga kubwa la Taifa na madhara ya utawala wake yatabaki for decades if not generations.
Sawa endelea kuamini kuwa Kikwete kafanya udalali agawane pesa na Diamond. Hata babu wa Loliondo aliaminiwa watu wakafunga safari ndefu kumfuata...
Hamuishi uzushi hizi picha Loveness hakuwa peke mh. Raisi alipiga picha mojamoja na wajumbe wote ziweke na hizo nyingine ili udhihirishe uzushi wako; hivi ikitokea mama yako kapiga picha na mh. Raisi utasema naye katambaliwa?
Chama
Gongo la mboto DSM
and these were three different occassions right?
we kweli una mahangaiko ya nafsi na akili; umeona kokote nimezungumzia udalali na pesa???? hivi because you are a mercenary masi unadhani kila atumwaye hutakiwa kuleta cash??? the mission could be clear... politics and helping yule dada wa DMV anayepambana ndani na nje ya chama chenu, na ana direct access na le prez. hivi wewe na akili yako ya abeecheee tu, with all the scandals za multimillion dollars unadhani kuna haja ya kutafuta dollar elfu ishirini za dogo anayeimba playback??
and ... goodness gracious, how did babu wa loliondo popped up here??
Mimi naamini kabisa, una masumbuko fulani yanakuletea shida sana kiasi kwamba sometimes unarespond kwenye kisichokua hata kwenye discussion....
Unatoa mifano ya tembo na chura...hawaendani hawa
Kwa hiyo Rais anatakiwa kudeal na maprofesa tu? Wanamuziki hawatakiwi Ikulu!!! Nimeona watu mnalalamika hata kitendo cha Rais kushirikia mazishi ya Kanumba. Kumbukeni kuwa Urais haumfanyi mtu aache kuwa binadamu wa kawaida. Mmenikumbusha wafanyakazi wa White house ya Marekani wanavyomlalamikia Michelle Obama kuwa tangu ameingia Ikulu kuna wageni wa hali ya chini wengi wanakuja, wakati wamezoea kuona White hause wanaalikwa "watu bora".
Huyo Loveness kama kila kitu alichowaambia mmemwamini hamuwezi kuweka lawama kwa JK. Ni jukumu lenu wenyewe kutafuta ukweli.
Ili kufahamu zaidi tamaduni za kualika watu mbalimbali Ikulu za nchi mbalimbali tazama hapa:
Barack Obama Invites Damian Lewis, Idris Elba To White House Dinner For David Cameron (VIDEO, PHOTOS)
Michelle Obama invites TV host Jimmy Fallon in for a White House gym session | Mail Online
Carla Bruni welcomes Russian president to state dinner in a daringly tight dress ~ Beauty Care
Angela Merkel would like to dine with Vicente del Bosque
Ukiwa mzushi mwongo mnafki ni mbaya zaidi ya Mchawi.Kwani usiwe mwanaume wa kuachana na mambo ya ki...mnatuboa.Mpelekee shigongo mahadithi yako ya kipuuzi.Labda umemfananisha na club owner