zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Mkuu Zomba kweli wewe ni wa ajabu saana, kazi alizozifanya Nyerere unaweza kuzifananisha na huu mdundiko unaoendelea hivi sasa???? Kama hujui au labda una issue ya kumchafua Marehemu Mzee wetu Nyerere basi huna sera kalale!!!
Kazi zipi za maana za kuuwa nchi na kupeleka wacheza ngoma Japan?
La Mzee Morris ni sifa la Diamond sifa mbaya. What a way of thinking.
Niambie ni kipi hapo nilichokisema kwenye nyuzi ambacho si kweli?