Nope connection ya mke wake wa pili tafazaliakiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Mzee chini kutakuuwa😀Nope connection ya mke wake wa pili tafazali
Hapana. Nataka tu nimsomee duaMzee chini kutakuuwa😀
Naona unataka kufungua madarsa ya duaHapana. Nataka tu nimsomee dua
UmenenaBig mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Poleakiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Mtazamo wako umekaa kihusda sana, kwanini uwawazie hao wake zake kua wanazini???akiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo
Hata akiwa mkoja bado wahuni wanapita nae tu.Ndio maana wahuni hawaoi, wewe unao wanne sasa masela si wanaponea humohumo.
Mitume na manabii walikua na wake zaidi ya wanne.Kasema hivii hutosheki na mmoja,una uhakika ukipewa 10 utatosheka?.. ndoa sio sex peke yake, ndoa ipo kuanzisha familia, kuanzisha familia na wake wanne utapata wapi nafasi ya kulea wanao vyema? ,,,ningekua nina akili za kusoma ningependa kujua watoto wa ndoa za mitala malezi yao yanakuwaje? Je hawaathiriki kisaikolojia na huu mfumo?
Aisee hata me nashangaa hivi mwanamke unakubalije kufanywa mke wa pili na kuendelea??Wanawake wana kazi sana, huyo dada anatabasamu pamoja na kuolewa mke wa nne, kweli tumetofautiana
Anyways, hongera sana kwake kwa kupata ndoa na kua mke namba nne, tunamtakia kila la heri
Ni ujinga Sana,Mtazamo wako umekaa kihusda sana, kwanini uwawazie hao wake zake kua wanazini???
Acheni hizo tabia mbaya.
Huna ulijuwalo, ni bora ungeuliza uelimishwe.Big mistake. Kwa umri alionao kipanya 50 wallah bed perfomance ipo low sana. Na ukute huyo mke ni under 35 jasho litamtoka. Atoe huduma kwa nyumba nne! Wallah lazima apewe tough na masela.
Fact ni kwamba ili wanawake wote duniani wapate waume ni lazima angalau kila mwanaume aowe wastani wa wake si chini ya watano.Wanawake wana kazi sana, huyo dada anatabasamu pamoja na kuolewa mke wa nne, kweli tumetofautiana
Anyways, hongera sana kwake kwa kupata ndoa na kua mke namba nne, tunamtakia kila la heri
haimzuii mwanaume wa kislam kuoa wake wanne, la msingi awe financially stable.akiwa na mke wa kwanza....
mke wa pili watatu na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa pili.... wa kwanza, watatu na wa nne wanakamuliwa
akienda kwa watatu: wa kwanza, wa pili na wanne wanakamuliwa
akienda kwa wa nne: wa kwanza, wa pili, na wa tatu watakamuliwa
halafu wakeze walivyo pisi sasa......
kuna watu watafaidi sambamba nae.......
NB
ni mtazamo wangu, povu kafulieni nguo