Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Unaemtukana nani!!!!!!!!!why cant u argue WISELY..........

JF imekuwa home of great Sinkers

My dear, nahisi hizi ni hasira tu za watu (though haijastifai kutukana)....manake hata sioni ni nani anarushiwa hilo tusi...walioleta habari au wale waliowatoa (manake hao ndio waliostahili labda)...
 
Umeliona hili eee? mimi vyeti nalalia kwenye godoro na vingine vimepauka kwa kutundikwa ukutani. Bora kujifanya f.a.l.a. kumtumikia kafiri tupate mradi wetu mkuu!!!
Tunapiga kelele kumbe siyo cocaine ni "ephedrine".
na "piritones"! Wacha tupige mzigo na sisi bana!

Tustuane mkuu ukisikia tenda inatangazwa ya kusaplai piritones za mabilioni....bora wote tuwe mafamasisti, manake huu ukatibu muhtasi haunilipi.....
 
My dear, nahisi hizi ni hasira tu za watu (though haijastifai kutukana)....manake hata sioni ni nani anarushiwa hilo tusi...walioleta habari au wale waliowatoa (manake hao ndio waliostahili labda)...

huyo tumeachana nae mwaya ngoja tujadili mambo ya msingi
 
Nazidi kuamin nyuma ya Agness kuna mkubwa.. tena makubwa SANA TU.........

Hiv Mwakyembe na mbwembwe zote zike hadi kuwafukuza kazi wale watu Looh
yaani kushinda kote humu..?bado huamini kuwa wako na back up ya kutosha?..polee eeh..
 
Pole sana Mkuu, ila wahuni zaidi ni mimi na wewe tulioichagua serikali hii. Next time 2015 tusirudie kosa hili
Kama utakumbuka vizuri uchaguzi uliopita ulikua wakibabe hatukuwachagua hawa bali walilazimisha kuwa madarakani na hata kura zao hazikutosha walilazimishisha. Nina mashaka hata na huo uchaguzi ujao kama utakua tofauti na uliopita tumuombe Mungu tutaona.
 
Tustuane mkuu ukisikia tenda inatangazwa ya kusaplai piritones za mabilioni....bora wote tuwe mafamasisti, manake huu ukatibu muhtasi haunilipi.....

Aha aha aha aha aha......... sawa mkuu nitakupa feedback!
 
Bonge la movie, wote tumebaki midomo wazi maana tukitafakari yaliyosemwa, waliotajwa, waliokurupuka kwendak kuzima so .... serikali iko kimya, waliofukuzwa kazi airpot la la lalalaa = full confusion:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: hii ndio Tanzania bana!
 
Kama utakumbuka vizuri uchaguzi uliopita ulikua wakibabe hatukuwachagua hawa bali walilazimisha kuwa madarakani na hata kura zao hazikutosha walilazimishisha. Nina mashaka hata na huo uchaguzi ujao kama utakua tofauti na uliopita tumuombe Mungu tutaona.

Ubabe wanafanya kwenye baadhi ya miji michache yenye wenye ufahamu mkuu. mingine yote ambayo ndiyo yenye kura nyingi wanapeta tu. wao ni kugawa kofia, khanga, blouses, na elfu 10.
 
Umeliona hili eee? mimi vyeti nalalia kwenye godoro na vingine vimepauka kwa kutundikwa ukutani. Bora kujifanya f.a.l.a. kumtumikia kafiri tupate mradi wetu mkuu!!!
Tunapiga kelele kumbe siyo cocaine ni "ephedrine".
na "piritones"! Wacha tupige mzigo na sisi bana!

Kuanzia leo nataka anzisha genge la ujangiri kisha nijivunie na CCM ili nilindwe. Nimegundua kuwa hii nchi inabidi uwe ---- na jangili ndipo utanufaika nayo ila elimu si muhimu na ndiyo maana hata mashuleni hawaweki tena mkazo wa elimu, mfano ulio hai waziri wetu wa elimu. Hana kitu kichwani ila ni waziri wa elimu na anakula bata kwa sanifu yake na mkuu wa nchi. Dah, bongo majanga kweli.
 
Kuanzia leo nataka anzisha genge la ujangiri kisha nijivunie na CCM ili nilindwe. Nimegundua kuwa hii nchi inabidi uwe ---- na jangili ndipo utanufaika nayo ila elimu si muhimu na ndiyo maana hata mashuleni hawaweki tena mkazo wa elimu, mfano ulio hai waziri wetu wa elimu. Hana kitu kichwani ila ni waziri wa elimu na anakula bata kwa sanifu yake na mkuu wa nchi. Dah, bongo majanga kweli.

Aha aha aha aha.... nenda kajifunze kwa "weka mbali na tembo" mpaka upate uzoefu, then uanzishe la kwetu mkuu!
 
Soma kisa chenye cha bahati mbaya : Briton, 34, held in South African jail after his bath salts are mistaken for crystal meth


  • 9.5 kilos of bath salts found Peter Parnell's apartment
  • Londoner held in a crowded Cape Town jail for two weeks


Read more: Peter Parnell, 34, held in South African jail after his bath salts are mistaken for crystal meth | Mail Online.
19.Sept. 2013 Msanii Masogange, mwenzake wapata dhamana Afrika Kusini: Johannesburg. Watanzania Agness Masogange na Melisa Edward waliokamatwa kwa kutuhumiwa kubeba dawa za kulevya huko Afrika Kusini wameachiwa kwa dhamana.

Mkuu wa Kitengo cha Dawa za Kulevya Afrika Kusini, Kamishna Toto Mangaleni aliithibitishia Mwananchi jana kuwa watuhumiwa hao wameachiwa kwa dhamana,lakini wataendelea kubaki Afrika Kusini wakati kesi yao ikiendelea.

Mangaleni alisema wanawake hao ambao juzi pia walipanda kizimbani, walipata dhamana hiyo jana kutoka Mahakama Kuu ya Gauteng iliyoko eneo la Kempton Park jijini Johannesburg. Mamlaka yapinga uamuzi wa Mahakama
Msemaji wa Mamlaka za Huduma za Mapato Afrika Kusini(SARS), Marika Muller alisema wana uhakika asilimia 100 kuwa akina Masogange walikamatwa na dawa za kulevya.


“Timu yetu ilifanya kazi vizuri na ilitambua kuwa mzigo huo ulikuwa wa dawa za kulevya ila tunaiachia mahakama kuendelea na uchunguzi wake,” aliongeza Muller. Soma zaidi Source: Msanii Masogange, mwenzake wapata dhamana Afrika Kusini - Kitaifa - mwananchi.co.tz
 
Aha aha aha aha.... nenda kajifunze kwa "weka mbali na tembo" mpaka upate uzoefu, then uanzishe la kwetu mkuu!




Wazo zuri sana, na nitalishighulikia ila kwa baadaye maana nataka utajiri wa haraka haraka hii elimu yangu naona si ishu kwa sasa maana inanichelewesha mambo yangu. Hapa ni ujangili tu uuzaji unga basi then najiunga na CCM ili nilindiwe maslahi yangu. Yaani mburullaaaaa wa standard 7 tena failure ni bilionea sie tulisoma tunaonekana ma-alosto? Hii nchi inaangamia kiajabu, yaani fikiria mburalaaa wa darasa 7 ndio wanaoendesha uchumi wa nchi yetu kiaina huku wakilindwa na CCM.
 
Nazidi kuamin nyuma ya Agness kuna mkubwa.. tena makubwa SANA TU.........

Hiv Mwakyembe na mbwembwe zote zike hadi kuwafukuza kazi wale watu Looh


Sasa cha muhimu ni kusubiri hatua atakazochukuliwa Mwakyembe. Wengi tulijua kuwa hakuna kitakachofanyika, lakini for sure kutokana na "kosa" lake Mwakyembe sasa yuko kwenye kuti kavu.
 
Niambie kitu kimoja. Is Agnes a phamacist? Hizo dawa za Ephedrin mabegi sita alikuwa anapeleka wapi na alikuwa na kibali cha kuzisafirisha? Yaani despite her sweet words wengine hatudanganyiki kirahisi. Dawa za ephedrin zinatakiwa ziwe pharmacist na kama una order utazisafirisha ipasavyo na kuzideclare mapema. Kwanini hazikuwa declared na hazikupakiwa vizuri kwenye mabox? Dawa zinapakiwa kwenye mabegi suspiciously!!!! I am not convinced. convince me please. Unajua huyu Mungu watu wanamchukulia for granted. Yaani Mungu ndio kamsaidia Agnes? Agnes anaishi maisha ya kumtukuza Mungu kweli?? Wote tunajua maisha wanayoishi wasanii. Kwanza kitendo cha kuhusishwa na madawa ya kulevya kinaonyesha si muumini wa dini yeyote. Mbona wewe hujashukiwa?
wewe unaesema changa la macho ona twit ya masogange sasa....watu hawakurupukagi kutoa habaRi

IMG-20130918-WA0039.jpg


Bidada yuko huru chezea mabosi wa TZ
 
Na sijui wapambe wa Mwakyembe watasemaje?
Unajua hata waliofukuzwa kazi walionewa tu . Mwakyembe mwenyewe anajua mapapa wa hii biashara lkn akaamua kuwatoa kafara wale wafanyakazi. Hebu mkuu fikiria hata kama ungekua wewe ungewezaje kukaidi amri ya mkubwa.
 
Tanzania kweli tuna rais???????????
Hii nchi inatia hasira sana lakini sasa tumechoka,kwa ujinga kama huu hakuna atakayevumilia

THEY TAKE ENOUGH FOR THE OWNER TO NOTICE
 
Back
Top Bottom