Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Haya majnga.Wacha watoto wa walalahoi waendelee kufa kwa maslahi ya wakubwa.Maskini Mwakyembe analilia taifa wakati wenzake hilo hawataki kulisikia.Mwenyenzi MUNGU,tunusuru na janga la wakubwa hawa.AMENI.
Siku zote huwezi kupigana vita peke yako lbd kama vita yenyewe iwe ya kuingiliwa na vibaka kwenye banda lako . Sasa Mwakyembe hawezi kuipigana vita hii peke yake, lbd kwa miujiza ya Mwenyezi Mungu ataweza tusubiri.
 
endeleeeni kusema ccm hoyeeeeeee! c mwaipenda kwa raha za mwaka 1 alafu twateseka miaka 9. ndo govrnmnt yenu hyo najuuuuuuta kuifaham tanzania.
 
Soma kisa chenye cha bahati mbaya : Briton, 34, held in South African jail after his bath salts are mistaken for crystal meth


  • 9.5 kilos of bath salts found Peter Parnell's apartment
  • Londoner held in a crowded Cape Town jail for two weeks


Read more: Peter Parnell, 34, held in South African jail after his bath salts are mistaken for crystal meth | Mail Online.
Wanasheria mahiri wanaweza kutoa sababu mbalimbali kuwasaidia wateja wao kuwa mzigo ulikuwa zawadi ya chumvi toka nyumbani Uvinza,Kigoma au Bagamoyo, Pwani , soma kisa hiki cha ukweli hapo juu ndiyo maana hoja hii ya gazeti la Raiamwema inaweza ikawa kweli
 
Mabosi siku zote wanajulikana hawo wote wanaokamatwa ni vibarua 2 ndiyo maana wanafanyakazi yako kwa kujiamin kwani wanajua mabosi wao wapo tena wananguvu kushinda selikar
 
Changa la macho hilo!!!
Wana Jf habari ni kuwa wale vinara waliokamatwa na mzigo mkubwa wa sembe huko SA wenye thamani ya 6.8 bilion sasa wataachiwa huru kwani imeonekana kuwa mzigo huo haukuwa ni madawa ya kulevya bali ephedrine ambazo haziko kwenye kundi la dawa za kulevya

Habari zinasema ephedrine ambayo inasemekana ndiyo waliyoisafirisha akina dada hao inaangukia ktk kundi la vibashirifu yaani dawa ambazo malighafi yake inaweza kutumika kutengeneza dawa za kulevya.

Hivyo basi kesi yao haina nguvu tena na wanatarajiwa kupewa dhamana wakati wowote kutoka sasa.
Source:Gazeti la Raia Mwema Sep.18, 2013

Huu ni mweleka wa hali ya juu sana aliopigwa Dr.Mwakyembe!!
Hakika imeniacha na maswali mengi pasipo
majibu!!!

Ikumbukwe kabla ya taarifa hizo mkuu wa kitengo cha kupambana na madawa ya kulevya Alfred Nzowa alienda SA kwa kile alichodai kwenda kuangalia kama watanzania hao wanatendewa haki ktk kesi yao!!!
Mimi nikajiuliza hivi wako watanzania wangapi wanaotuhumiwa na sembe China, Hong Kong na kwingineko, kwa nini huyu mkuu aende SA tu?????

Ni Nzowa huyo huyo baada ya kutoka SA alisema kuwa watuhumiwa wamewataja watu waliowatuma mzigo huo na ni mnyororo mrefu sana. Hivyo ataufanyia kazi. Ina maana watuhumiwa walitaja majina ya wauza apples!!!!

Lakini taarifa za nyuma zilisema kuwa watuhumiwa waliingizwa katika chumba cha mateso baada ya kutoonyesha ushirikiano kwa polisi SA wa kutaja wahusika wa mzigo. Lakini baada ya kuingizwa ndani ya chumba hicho walisema kila kitu!!!!!
Najiuliza, inamaana watuhumiwa waliteswa kabla ya kuthibitisha kwa uhakika mzigo walioubeba ndani kulikuwa na nini?

Hakika vita ya kupambana na madawa ya kulevya ni ngumu mno. Wampambanaji ndio wanaomiliki,wanaoratibu,wanaosafirisha,wanaosimamia na kuendesha biashara hiyo ya sembe.

Ni lini Tanzania italivalia njuga kwa dhati tatizo la dawa za kulevya????
 
Am speechless,hii nchi ni ya wahuni sana kuliko tunavyofikiria

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Habari zinasema ephedrine ambayo inasemekana ndiyo waliyoisafirisha akina dada hao inaangukia ktk kundi la vibashirifu yaani dawa ambazo malighafi yake inaweza kutumika kutengeneza dawa za kulevya.


Mhh! Malighafi?? Hv kwa akir ya kawaida jamaani mhh acha tu nisitie neno mana tunaishia bwabwaja tu ...bwana yesu rudi utuchukue wanao dunia ishakua tambala b0v huku...
 
mkuu Tiba,huyu mzee haachi vitu hizi hata kama ni wa mkamo wa mwanae mwana mfalme!!!
1014432_509333492468693_1335700993_n.jpg

Ndugu kwa mapigo haya Mungu ndiye mnusuru
 
Ndugu Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo sasa ina maana hata waliofukuzwa kazi Airport hawana makosa itabidi warudishwe kazini pia wamshitaki mwajiri wao kwa kuwadhalilisha.
Hilo nalo neno, tena inabidi walipwe na fidia kubwa ya kuwachafulia jina mbele ya jamii.
 
Mh! Raw material then cyo dawa za kulevya wakati ndo itakayounda!!?
 
Back
Top Bottom