Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

Aisee.....

Sishangai sana maana JK mwenyewe ni kama kaihalalisha hii issue ya Sembe
 
Kuna haja serikali ya U.S kuingilia sakata la bwibwi duniani hususani TZ.
 
Ngoja tusubiri waje wafanye sherehe kubwa wakirudi nchini Kikwete akiwa mgeni rasmi pale Mlimani City. Jamani kwei rais tunaye, alighairisha safari yake BK na kuunganishia SA mara alipotonywa washikaji wa Ridhiwani wamekamatwa huko SA na anahitajika yeye aende kuwaokoa. Ngoja nami nimtafute Ridhiwani nijiunge na chama chake huku refa akiwa baba wetu wa huruma (taifa) JK.
 
Mbona watanzania wengi wanakamatwa nchi za nje kama china,hong kong etc LAKINI HATUJASIKIA SERIKALI KUSHTUKA AU KUFATILIA KAMA HILI LA MASOGANGE?what is soo special for the lady?
 
Kwa maoni yangu watumiaji na wauzaji wa poda wote wanyonge bila ya kuangalia sheria ya kubembezana! Nitakapo kuwa mjengoni wajue ndyo mwisho wao!
 
uwe macho tu na kampuni itakayokuajiri, vinginevyo utasota na kufia china/hongkong kama wenzio ambao wamepata ajira kwenye kampuni zisizo na hati miliki

Mkuu mi naitaka ya kina masogange. Hii ina back up kubwa sana hii
 
Ngoja tusubiri waje wafanye sherehe kubwa wakirudi nchini Kikwete akiwa mgeni rasmi pale Mlimani City. Jamani kwei rais tunaye, alighairisha safari yake BK na kuunganishia SA mara alipotonywa washikaji wa Ridhiwani wamekamatwa huko SA na anahitajika yeye aende kuwaokoa. Ngoja nami nimtafute Ridhiwani nijiunge na chama chake huku refa akiwa baba wetu wa huruma (taifa) JK.

Ukifanikiwa mkuu nijulishe na mimi mkuu! If you cant change the system then join it!
 
Msitoke povu tusubiri serekali ya south africa tuone wanasemaje gazeti limekuja na habari lakini tusubirini inaweza kuwa sio habari za kweli tuwe na moyo wa kusubiri
 
1235451_10151921330556810_1860796796_n.jpg
 
Nimechoka kabisa!!! ngoja niende cafeteria nikamalizie hasira zangu huko. Ndugu yangu mtanzania unayesoma uzi huu, wewe unaambiwa uwe mzalendo wakati hao hao wanaohubiri uzalendo wanashindwa kuishi katika maneno yao.

Tuishi kwa kuwasikiliza halafu tutende kama tunavyoweza na kama tunavyojisikia na pia kama ina maslahi upande wetu tu.
Ndugu Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo sasa ina maana hata waliofukuzwa kazi Airport hawana makosa itabidi warudishwe kazini pia wamshitaki mwajiri wao kwa kuwadhalilisha.
 
Kwa maoni yangu watumiaji na wauzaji wa poda wote wanyonge bila ya kuangalia sheria ya kubembezana! Nitakapo kuwa mjengoni wajue ndyo mwisho wao!
Wengi kabla hawajaingia kwenye system husema kama wewe lkn mara waingiapo huko hugeuka na kuwa watu tofauti lbd tumuombe Mungu wewe utakua wa tofauti.
 
Back
Top Bottom