zephania musse
Member
- Apr 6, 2013
- 74
- 14
Tanzania bila madawa haiwezekani kwa hali hii,kizibiti kimebadilishwa tu.CANT BELIEVE!!
Mwakyembe ajui alitendalo,kamati ya kitaifa ishaundwa kuwapokea zikiwemo vyombo vya habari.
Nani ana mzigo wake wa Ephedrine nimpelekee kwa mbeki? Kumbe haina noma!! Tulikuwa tunaogopa tu bure.
Hii movie hata Mel Gibson angechemsha......
Viongozi wa Tz ni ...........
Heri kama wamewadunga sindano za sumu wafe taratiiiibu.
Point yako nini hapa watu wanongelea Agness wewe unaleta habari za tindikali au unataka kusema Masogange yeye ndio muhusika wa tindikali?
the episode is over!
Mwakyembe awaludishe kazini wale aliowafukuza kwa issue ya masogange, awape na fidia kwa kuwadhalilisha.