Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
- Thread starter
- #21
We only live once,,at finally you will die.
Unafikiri kuzimu ya matajiri na Masikini ni ileile Mkuu?
We only live once,,at finally you will die.
Hakuna tajiri asiye na akili mkuu..kuwa na pesa na kuzibakisha usifilisike hio ni akili.Heri uwe maskini mwenye hekima na busara. Tajiri asiye na akili, hekima na busara km wewe ni bure kabisa!!
kumbuka hao matajiri wote walikuwa masikini, na wewe tajiri wa leo unaweza kuwa masikini wa kesho. utakuja uambiwe uondoke pia.Mungu akusaidie.Habari Wakuu!
Kama kichwa kinavyoeleza hapo, ingawaje Masikini naye mtu japokuwa hana kitu lakini hatuwezi kuukataa ukweli kuwa Masikini ndio mashetani yanayoishi na kuonekana live kwa macho yetu wenyewe.
Kuna watu hapa watasema nawasema vibaya MASIKINI, wengine watasema najisikia, nawadharau na kuwatolea maneno makali hao Masikini. Lakini nataka kusema hapa mimi mwenyewe ni masikini, hivi mambo niyasemayo hapa yananihusu hata Mimi.
Sisi masikini ni mashetani tunaoishi live katika macho ya nyama.
Tatizo la miji kuwa michafu, na watu kujenga pasipo mpangilio linasababishwa na Masikini. Unajua masikini ni mashetani hivyo hawanaga mipangilio, wapo rafu wanajenga hovyo hovyo.
Kama ingekuwa amri yangu, masikini leo hii wasingepewa ruhusa/kibali kujenga kwenye miji na majiji makubwa. Wakaishi huko porini huko kwenye mashamba wakalime.
Serikali kama inataka miji ijengwe kwa mpangilio mzuri basi lazima litolewe tamko kuwa Masikini hawatapewa kibali cha kujenga mijini, na mtu yeyote anayetaka kujenga nyumba mjini anapaswa awe na kiasi cha pesa kisichopungua milioni 50.
Masikini wawekewe sheria kali zitakazowabana ili wasilete ushetani wao Duniani.
Kama wanataka kuishi mjini basi serikali ijenge nyumba za kupanga, au mashirika na makampuni ndio yafanye kazi hiyo kujenga Apartments ili hao masikini wapange.
Matajiri sina neno nao, nafahamu wao wanamuwakilisha Mungu kwani Mungu ni tajiri, ndio maana matajiri hujenga na kuweka mambo/vitu vyao katika mpangilio mzuri.
Miji yote iliyotekwa na masikini lazima iwe michafu inayonuka, vijumba vimejengwa hovyo hovyo Kama takataka.
Masikini wajengewe miji Yao huko nje kabisa ya miji au maporini huko wakae wenyewe, au Kama wanataka kuishi mjini basi wapangishe nyumba zilizojengwa na serikali au matajiri.
Sitaki kuzungumzua habari ya machinga jinsi wanavyovuruga miji na kusababisha uchafu wakaapo barabarani.
Niishie hapa Masikini wenzangu wasije nipiga mawe, najua wataniona lakini ukweli nimewapa, wengine watanichukia lakini hilo halinipi shida kwani mashetani ni kawaida Yao kuwa na chuki.
Mashetani yakikupenda jua ni Kwa unafiki na yanakitu yanakihitaji kutoka kwako.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dodoma
Ubaya ni kwamba shetani hua halali anskusikiliza tu unavyo jisemesha ipo siku utsikumbuka hii kauli yakoYeyote akiwa masikini afukuzwe mjini au apange kwenye nyumba za matajiri.
Iwe Mimi au wewe au Yule.
Kama anaweza kujenga hata kama ndiyo unasema ni nyumba mbaya huyo siyo maskini maana kama ameweza kununua uwanja akapandisha mjengo huyo siyo maskini mkuu
kumbuka hao matajiri wote walikuwa masikini, na wewe tajiri wa leo unaweza kuwa masikini wa kesho. utakuja uambiwe uondoke pia.Mungu akusaidie.
Ubaya ni kwamba shetani hua halali anskusikiliza tu unavyo jisemesha ipo siku utsikumbuka hii kauli yako
Acha dharau wewe!
Umeongea ukweli kabisa..majiji yote tanzania serikali ichukue ardhi..kisha ijenge magorofa katika mpango mzuri wa mji..na kuyapangisha..yeyote atakaye taka kuja mjini haruhusiwi kujenga bali kuja kupanga..hapa serikali itapata pesa maisha yake yote.
#MaendeleoHayanaChama
Sawa maskini, njoo kwa mnama upate breakfast
Haya bwana maybe unaijua kesho yakoShetani si ndio hao masikini,
Najua hawalali huwaga wanasubiri anguko la tajiri au wanamfanyia hila ili aanguke, badala ya wao kuhangaika kuondoka kwenye huo umasikini walionao
Huyo Shetani ni boya Kama maboya wengine.
Wenye MUNGU wala hatusumbui
Du!!!Masikini ni mtu Aina ya Shetani.
Haya bwana maybe unaijua kesho yako
Du!!!