Machinga na biashara za mtaji chini ya million mia moja watolewe mjini

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,842
Namaanisha wafanyabiashara wadogo wadogo wasio kuwa na ofisi na wenye viofisi uchwara wote hawatakiwi kubaki mijini inabidi wawe sehemu za vijijini na wilaya za maporini huko kuepuka vibaka na uhuni wa kijinga

Lengo kubwa jingine ni kupendezesha miji, manispaa na majiji yawe masafi yenye mvuto wa viwango vya juu saana. Wananchi waishio mijini wenye nyumba mbovu serikali inunue ijenge NHC kama hawataki watoke Kwa nguvu kama wale wa jangwani

Sehemu yoyote Ile Duniani ndugu zangu mijini ni kwaajili ya watu matajiri tuu, masikini hukaa maporini ili kupata mlo wa hapa na pale nandopanawafaa, nenda China utaona hili, huwezi kukuta masikini anafika mjini unaenda kutafuta nini mjini?
 
Inawezekana Tatizo mazingira mengi ya vijijini si rafiki Kwa biashara

Ukizingatia Wamachinga Wengi familia zao wameziacha vijijini na mjini kunawafanya wapate chochote kitu cha kusogeza maisha ya familia zao .

Kijijini upatikanaji WA ela ulivyo mgumu ukiachilia mbali ubahili , wamachinga si wataweza kuchukua maamuzi ya hovyo kusurvive ?
 
Inawezekana Tatizo mazingira mengi ya vijijini si rafiki Kwa biashara

Ukizingatia Wamachinga Wengi familia zao wameziacha vijijini na mjini kunawafanya wapate chochote kitu cha kusogeza maisha ya familia zao .

Kijijini upatikanaji WA ela ulivyo mgumu ukiachilia mbali ubahili , wamachinga si wataweza kuchukua maamuzi ya hovyo kusurvive ?
Basi FIA huko huko usiende mjini kule hapakufai nikwamatajiri tyu
 
Huwezi zuia wakulima kuuza mazao Yao nje then utegemee machinga na bodaboda wasiwepo mijini ukitaka kuondoa machinga na bodaboda mijini usizuie kuuza mazao nje maana mazao Sio Mali ya serikali.
Kilimo kikilipa watarudi wenyewe vijijini
 
Mimi sina kitu kwa sasa ,ila kabla sijalala ,nawaombea matajiri , , umasikini ni mbaya sana , mashoga baadhi yao ni zao la umasikini na ukosefu wa ajira
 
Back
Top Bottom