Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Tatizo, hapa wengi wanaochangia hii mada wanasema kulingana na taarifa za magazeti, redio, TV na hata watu kama hii mada inasema chanzo ni wafanyakazi wa QG.

Laiti, kama moyo wa Manji ungekuwa kama kioo mkaangalia live ndiyo mngeelewa.
Sema kwa sababu, mioyo yetu ni siri zetu basi tutapinga kelele sana.

Ila kwa kifupi, serikali siyo wapumbavu kama tunavyofikilia na kuhukumu kwa yanayoendelea.

Naomba, niishie hapa maana ......
Wewe huijui serikali ya CCM, nyamaza Tu Mkuu.
 
Kadri siku zinavyoenda ukweli unazidi kujipambanua kwamba ile vita aliyoianzisha bwana "madereva" ilikuwa na visasi binafsi nyuma ya pazia.
 
Arudi India, hicho kipeperushi si ndio kilikuwa kimeanza kampeni ya kupambana na Makonda - Ndo yale yale ya WanaCUF wa DW kutaka kupambana na Magufuli wakati matangazo yao wanategemea kuyarusha kupitia Radio Free, na kilichotokea matangazo yao siku hizi yanakata kata sana hayana ladha, mwishowe hata hao mabosi wa DW Watawashtukia na vibarua vyao vitaota nyasi - Mimi ninachompendea Magufuli siyo mnafiki kabisa, Ukipambana naye, ni lazima naye atapambana nawe back "Battle - battle"
Maskini mna tabu

Ova
 
Arudi India, hicho kipeperushi si ndio kilikuwa kimeanza kampeni ya kupambana na Makonda - Ndo yale yale ya WanaCUF wa DW kutaka kupambana na Magufuli wakati matangazo yao wanategemea kuyarusha kupitia Radio Free, na kilichotokea matangazo yao siku hizi yanakata kata sana hayana ladha, mwishowe hata hao mabosi wa DW Watawashtukia na vibarua vyao vitaota nyasi - Mimi ninachompendea Magufuli siyo mnafiki kabisa, Ukipambana naye, ni lazima naye atapambana nawe back "Battle - battle"
Huna tofauti na kaburu we!
We instants nn cha maana,familia kula tu si ajabu ni shida

Ova
 
Halafu si walisema Manji kwa sasa hahusiki na QG kwa hiyo asiandamwe,mbona watu wamekuwa vigeugeu,sasa tushike lipi.


Ndiyo maana nnasemakuna siri kubwa ambayo mpaka sasa hatujaielewa.
 
Kwa maoni haya ya baadhi yenu humu, tusishangae kuyasikia ya watanzania msumbiji yakifanyika kwa wahindi hapa Tanzania!
 
Hivi MTU akifanya ufisadi aogopwe kwa kuwa ametuajiri? Wakati tunazungusha mikono kutaka mabadiliko si tulitaka MTU asiyewaonea aibu mafisadi? Ni nani ambaye hajui robo tatu ya majizi makubwa ni wahindi, Leo imegeuka imekuwa ni "kuwaonea wivu". Ina maana Leo watu Wa jf mumemsahau manji?

Tulisema Kikwete ni dhaifu kwa kuwa alikuwa anawaogopa watu kama hawa. Ni kiongozi gani bora nchi hii ambaye hakupambana na wahindi? Kumbuka Nyerere na sokoine waliwafanya nini
magabacholi. Leo watu wenye akili za kitumwa na ombaomba mnamtetea fisadi kwa nguvu zote. MTU Wa kwanza kutaifisha Mali za wahindi alikuwa JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Mkuu, watz wengi hawawezi kuona sentimita 10 mbele ya Macho yao.
Coments zao humu nyingi ni Pathetic.
 
Nakushangaa sana unaeshabikia jambo hili,nadhani ni vyema upimwe akili
 
Mzee anasafisha ule mtandao wa mabegi ya pesa kule dom.
 
We unafikiria kwa kutumia nn?
Mimi Nina jirani yangu anafanya kazi quality group hili swala limemuathiri moja kwa moja anaishi kwa madeni
... Wabongo wakisikia unaishi kwa madeni ndo Kwanzaa wanafurahi, utadhani income ikikata kwako inaongezeka kwao...
 
Tatizo, hapa wengi wanaochangia hii mada wanasema kulingana na taarifa za magazeti, redio, TV na hata watu kama hii mada inasema chanzo ni wafanyakazi wa QG.

Laiti, kama moyo wa Manji ungekuwa kama kioo mkaangalia live ndiyo mngeelewa.
Sema kwa sababu, mioyo yetu ni siri zetu basi tutapinga kelele sana.

Ila kwa kifupi, serikali siyo wapumbavu kama tunavyofikilia na kuhukumu kwa yanayoendelea.

Naomba, niishie hapa maana ......

Ni lini serikali za kiafrika ziliachana na Upumbavu hata utuase kuwa 'Tusidhani serikali ni wapumbavu'?
 
Arudi India, hicho kipeperushi si ndio kilikuwa kimeanza kampeni ya kupambana na Makonda - Ndo yale yale ya WanaCUF wa DW kutaka kupambana na Magufuli wakati matangazo yao wanategemea kuyarusha kupitia Radio Free, na kilichotokea matangazo yao siku hizi yanakata kata sana hayana ladha, mwishowe hata hao mabosi wa DW Watawashtukia na vibarua vyao vitaota nyasi - Mimi ninachompendea Magufuli siyo mnafiki kabisa, Ukipambana naye, ni lazima naye atapambana nawe back "Battle - battle"
Hivi ile kesi ya samaki nani aliibuka mshindi?
 
Back
Top Bottom