Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,249
- 98,243
SwadaktaBila shaka akaunti zake zilizofungwa ni zile za Facebook, instagram, whatsaap na Skype.
SwadaktaBila shaka akaunti zake zilizofungwa ni zile za Facebook, instagram, whatsaap na Skype.
Teh teh...Hayo ndio maandalizi ya viwanda
Eat[emoji533][emoji533][emoji533][emoji533][emoji533][emoji533][emoji533][emoji533][emoji533]Saaaaafi na mbado
Ukiwaza unaweza kulia sijui wabongo tumelogwa na naniHao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Watanzania hatuendelei kwasababu ya roho ya husda, tunafurahia kuona wote tunakua masikini. Hivi unaposema safi sana hufikirii wale wafanyakazi kua wanapoteza kazi ni mateso kwa familia zao pia. Sasa wewe hapo umeongezwa mshahara kwa Manji kufunga biashara au maisha yako yamekua bora zaidi au ni nini unachokifurahia?Saaaaafi na mbado
Ngoja membre stroke&mwasiti moja waje watupe JibuHivi ile kesi ya samaki nani aliibuka mshindi?
We mwenyewe mbaguziiSiwapendi Wa Hindi wabaguzi sana!! Kama vipi lifirisike
- Akaunti zake zote zimefungwa
- Mchapishaji wa Magazeti JAMANA PRINTERS kapigwa marufuku kuchapa gazeti la Jambo Leo. Gazeti halijaingia mtaani siku ya nne sasa.
- Watumishi wamekosa mishahara, waandishi wanahaha.
Kwa ujumla Quality Group ni kama imesimamisha shughuli zake
Chanzo: Watumishi wa QG
Sijui ndio athari za kupigwa hicho kipara!Saaaaafi na mbado
Sijui ndio athari za kupigwa hicho kipara!Saaaaafi na mbado
Ukiangalia michango ya watu humu ni kweli kabisa napata picha kuwa watanzania wengi wanafurahia sana mateso yanayowakuta wenzao (sadist). Nakumbuka kipindi fulani watu walikuwa wanashangilia sana watumishi kufukuzwa kazi kwa mtindo dhalili kabisa wa kutumia media bila kupewa fursa ya kusikilizwa, na sasa hivi bado wanaendelea kufurahia mateso ya wengine; kitu ambacho kwa watu wenye nyoyo safi za upendo na huruma lazima wangesema tusubiri mahakama iamue kwa haki, kisha hatua zichukuliwe kwa mujibu wa sheria. Binafsi simtetei yeyote bali cha msingi kwangu ni sheria izingatiwe na utu wa watu husika ingawa ni wakosaji uheshimiwe.Wabongo wote ni sadist in nature!...tunatofautiana kiwango cha usadist tu.
Unampima mtu akili kama huna uhakika kichwani zimo ama Maji ya dafu. Kama uhakika upo, haina haja ya vipimo. Mi nakuhakikishia, huyo jamaa hamnazo!Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Sikulaumu. Ndio uhalisia wa roho za wengi ktk chama chenu.Saaaaafi na mbado
Hebu tuthibitishie hili la kufoji.....Mbona alikuwa ashafoji mpaka hatimiliki halafu bado unasema alikuwa anataka kubadili mandhari
Hakika roho ya maskini mjinga itaendelea kuwa maskini mileleSaaaaafi na mbado