Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Umekosea. Ivi kwa ubongo wako sheria na kanuni zimewekwa ili zifuatwe au zivunjwe kwa kisingizio cha eti wanaonufaika ni watanzania
Wayahudi kuna farao aliwatumikisha na kuwadharau sana,,, walimpa jina la firauni kuonyesha hasira zao,,, hata mimi nina haki ya kukuita firauni pamoja na wenzio wenye mawazo yako.......
 
Saaaaafi na mbado
Jipime uzalendo wako kwa nchi yako.Hao watumishi wa Manji ni Watanzania wenzetu na wana familia zao.Wanao hapo ni Watanzania wenzetu na si Manji ambeye anauhakika wakula pesa yake hata miaka hamsini mbele.
 
HIYO INAITWA KUKOMOANA

OVA


Ndipo hapo penye siri, anakomolewa kwa lipi?

Kitu kimoja nilichojifunza awamu ya kwanza ambacho kinafanana kwa mbali na hiki, ni kisa cha Nyerere na Tiny Rowland. Ilikuwa kimchezo-mchezo kama hivi na Nyerere akasema harudi nyuma atageuka jiwe, mwisho wake ikawa majuto ni mjukuu.

Ni vyema siri ikawekwa wazi kwani uchumi wetu kwa sasa unategemea sana wawekezaji na mambo kama haya yanawatisha sana wawekezaji.

Kama Manji anauza unga na ndiyo sababu ya kufanyiwa yote haya basi ni bora iwekwe bayana la sivyo basi tunawatisha wawekezaji sana tu, wa nje na wa ndani ya nchi.
 
Akaunti zake zote zimefungwa
Mchapishaji wa Magazeti JAMANA PRINTERS kapigwa marufuku kuchapa gazeti la Jambo Leo.
Gazeti halijaingia mtaani siku ya nne sasa.
Watumishi wamekosa mishahara, waandishi wanahaha.
Kwa ujumla Quality Group ni kama imesimamisha shughuli zake

Chanzo: Watumishi wa QG
Si mlisema Manji alishajitoa uongozi wa QG na hausiki na chochote QG,sasa inakuwaje tena tunaambiwa QG imesimama shughuli zake?
 
Wabanwe tu make hawa wahindi tumewasema sana kwa kudhurumu na kuwaibia ndugu zetu. Saaafi sana!
 
Ndipo hapo penye siri, anakomolewa kwa lipi?

Kitu kimoja nilichojifunza awamu ya kwanza ambacho kinafanana kwa mbali na hiki, ni kisa cha Nyerere na Tiny Rowland. Ilikuwa kimchezo-mchezo kama hivi na Nyerere akasema harudi nyuma atageuka jiwe, mwisho wake ikawa majuto ni mjukuu.

Ni vyema siri ikawekwa wazi kwani uchumi wetu kwa sasa unategemea sana wawekezaji na mambo kama haya yanawatisha sana wawekezaji.

Kama Manji anauza unga na ndiyo sababu ya kufanyiwa yote haya basi ni bora iwekwe bayana la sivyo basi tunawatisha wawekezaji sana tu, wa nje na wa ndani ya nchi.
Halafu si walisema Manji kwa sasa hahusiki na QG kwa hiyo asiandamwe,mbona watu wamekuwa vigeugeu,sasa tushike lipi.
 
Hivi MTU akifanya ufisadi aogopwe kwa kuwa ametuajiri? Wakati tunazungusha mikono kutaka mabadiliko si tulitaka MTU asiyewaonea aibu mafisadi? Ni nani ambaye hajui robo tatu ya majizi makubwa ni wahindi, Leo imegeuka imekuwa ni "kuwaonea wivu". Ina maana Leo watu Wa jf mumemsahau manji?

Tulisema Kikwete ni dhaifu kwa kuwa alikuwa anawaogopa watu kama hawa. Ni kiongozi gani bora nchi hii ambaye hakupambana na wahindi? Kumbuka Nyerere na sokoine waliwafanya nini
magabacholi. Leo watu wenye akili za kitumwa na ombaomba mnamtetea fisadi kwa nguvu zote. MTU Wa kwanza kutaifisha Mali za wahindi alikuwa JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Nimesoma post nyingi ila yako tu ndo nimeiona ina mantic. Mmesahau manj alikuwa anaitaka coco beach sehem ambayo toka tupo wadogo tulikuwa tunaenda kufurahia weekend bila malipo yoyote. Anataka aipore ajenge hoteli ambayo ingeongeza kipato kwake. Sijui watanzania maskini wangeelekea wapi. Alijaribu hata kutunishiana misuli na mzee wa kaya. Nahisi baba mkubwa alichukia kuanzia hapo. Yaan wewe unabishana na mkuu wa kaya halafu una makandokando mengi tu. Ndo maana anamshugulikia bila aibu. Possibly hata ng, anda anasafirisha maana wahindi wana roho mbaya sana
 
Sitaki kuamini kama haya ni kweli lakini ikiwa ni ukweli Manji anaandamwa namna hii basi kuna siri kubwa ambayo sisi hatuijuwi.
Alikwisha "jihapiza" mbele ya kadamnasi ya kwamba, kuna magazeti mawili atayafungia, na pia kuna matajiri wataishi kama mashetani. Kwahiyo ni mwendelezo wa kutekeleza ilani ya chama kama mwenyekiti alivyoagiza.
 
Nimesoma post nyingi ila yako tu ndo nimeiona ina mantic. Mmesahau manj alikuwa anaitaka coco beach sehem ambayo toka tupo wadogo tulikuwa tunaenda kufurahia weekend bila malipo yoyote. Anataka aipore ajenge hoteli ambayo ingeongeza kipato kwake. Sijui watanzania maskini wangeelekea wapi. Alijaribu hata kutunishiana misuli na mzee wa kaya. Nahisi baba mkubwa alichukia kuanzia hapo. Yaan wewe unabishana na mkuu wa kaya halafu una makandokando mengi tu. Ndo maana anamshugulikia bila aibu. Possibly hata ng, anda anasafirisha maana wahindi wana roho mbaya sana

Michoro y'all Mandhari Mpya ya Coco beach iliwekwa hadharani na kila Mtu aliebahatika kuiona aliona.

Alitaka kubadilishana Mandhari iwe Kama ya Forodhani Zanzibar kwa aliewahi kufika anaelewa Hakuna anaezuiliwa kuingia kwa kuwa ni bure japo yeye angepata Mapato yake kwa wapangaji waliowekeza kuuza vinywaji na vyakula. Ingekuwa na Mandhari na hadhi Kama ya Forodhani lakin tumekataa tumebaki na Coco beach ambayo huwezi kwenda na Familia unasema unaenda Mapumziko kutokana na Mazingira yake korofi
 
Ndipo hapo penye siri, anakomolewa kwa lipi?

Kitu kimoja nilichojifunza awamu ya kwanza ambacho kinafanana kwa mbali na hiki, ni kisa cha Nyerere na Tiny Rowland. Ilikuwa kimchezo-mchezo kama hivi na Nyerere akasema harudi nyuma atageuka jiwe, mwisho wake ikawa majuto ni mjukuu.

Ni vyema siri ikawekwa wazi kwani uchumi wetu kwa sasa unategemea sana wawekezaji na mambo kama haya yanawatisha sana wawekezaji.

Kama Manji anauza unga na ndiyo sababu ya kufanyiwa yote haya basi ni bora iwekwe bayana la sivyo basi tunawatisha wawekezaji sana tu, wa nje na wa ndani ya nchi.
Hiyo inaitwa "mkora"mwanadam ukisha kuwa na tabia hizi ni tatizo

Ova
 
Michoro y'all Mandhari Mpya ya Coco beach iliwekwa hadharani na kila Mtu aliebahatika kuiona aliona.

Alitaka kubadilishana Mandhari iwe Kama ya Forodhani Zanzibar kwa aliewahi kufika anaelewa Hakuna anaezuiliwa kuingia kwa kuwa ni bure japo yeye angepata Mapato yake kwa wapangaji waliowekeza kuuza vinywaji na vyakula. Ingekuwa na Mandhari na hadhi Kama ya Forodhani lakin tumekataa tumebaki na Coco beach ambayo huwezi kwenda na Familia unasema unaenda Mapumziko kutokana na Mazingira yake korofi
Mbona alikuwa ashafoji mpaka hatimiliki halafu bado unasema alikuwa anataka kubadili mandhari
 
Saaaaafi na mbado
Wivu haukusaidii kuondoa dhiki zako, jitume na uhangaike kupata mkate wako, unadhani manji anashida? Ushaambiwa mishahara hailipiki na wanaoteseka ni waajiriwa wengi wao ni watanzania afu unasema na bado...
 
Kama yupo kwenye uchunguzi na tuhuma hiyo ni hatua ya kawaida tusubiri wamalize
 
Mbona alikuwa ashafoji mpaka hatimiliki halafu bado unasema alikuwa anataka kubadili mandhari

Acha Maneno ya Kwny Vichochoro!

Ile ilikuwa Joint venture, Manispaa ya Kinondoni inatoa Ardhi yeye anajenga Majengo sasa Kama angefoji Umiliki wa Ardhi Ina maana angemiliki Ardhi na Majengo sasa ule Mkataba wa Joint venture na Manispaa ungehusika vepeee hapo?

Sie ni Masikini kwa kuwa tunachukia Wenye Maendeleo na Maendeleo yenyewe!
 
Hapo sawa na bado huwezi kutoka huko sijui chooni sijui baani sijui wapi unasema kwa "nataka mnikodishie Yanga kwa miaka 10" ………… wakati wenzako wametumia miaka 60 kuijenga Yanga SC!. Acha dharau za ujuha rudi kwenu!
Umenena
 
Back
Top Bottom