WilliK10
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 601
- 283
Endelea kufurahi! Tena wewe uko banned! UnajijuaSaaaaafi na mbado
Endelea kufurahi! Tena wewe uko banned! UnajijuaSaaaaafi na mbado
kweli kabisa mkuuNi kichaa tuu atakayewekeza Kwa mazingira haya
Yote haya kayataka Makonda,Pole sana mlioajiriwa Quality Group
Kweli kabisa mkuu...Sasa akili zitawarudia. Ngoja hayo maneno yaendelee kuwakaa kichwani vizuri.
Manji kwa sasa anatumia pesa za babu yake, bado hajaanza kutumia zake binafsi na za baba yake.Income Yake haiyendani na fedha na Mali alizokuwa nazo
Point....Wamefungia na za nje?
Manji siyo TAJIRI wala MFANYABIASHARA - Ni mtu wa JANJA JANJA Nyingiiiiiiii kama MBOWEIncome Yake haiyendani na fedha na Mali alizokuwa nazo
Hao wana cuf wa DW watasababisha tuache kuwasikiliza katika local radioArudi India, hicho kipeperushi si ndio kilikuwa kimeanza kampeni ya kupambana na Makonda - Ndo yale yale ya WanaCUF wa DW kutaka kupambana na Magufuli wakati matangazo yao wanategemea kuyarusha kupitia Radio Free, na kilichotokea matangazo yao siku hizi yanakata kata sana hayana ladha, mwishowe hata hao mabosi wa DW Watawashtukia na vibarua vyao vitaota nyasi - Mimi ninachompendea Magufuli siyo mnafiki kabisa, Ukipambana naye, ni lazima naye atapambana nawe back "Battle - battle"
Kama unayoyasema ni ya ukweli basi suala la Mkuu wa mkoa wa Dar alishughulikie....... au unasemaje kwenye hilo?Arudi India, hicho kipeperushi si ndio kilikuwa kimeanza kampeni ya kupambana na Makonda - Ndo yale yale ya WanaCUF wa DW kutaka kupambana na Magufuli wakati matangazo yao wanategemea kuyarusha kupitia Radio Free, na kilichotokea matangazo yao siku hizi yanakata kata sana hayana ladha, mwishowe hata hao mabosi wa DW Watawashtukia na vibarua vyao vitaota nyasi - Mimi ninachompendea Magufuli siyo mnafiki kabisa, Ukipambana naye, ni lazima naye atapambana nawe back "Battle - battle"
Mkuu kuna watu wana akili kama za kuku, wametawaliwa na wivu wa kimasikini ..hufurahia mabaya ya wenzio hata kama hawapati faida yoyoteHao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Utakuwa na roho mbaya hata mchawi ana nafuuSaaaaafi na mbado
Makonda ni binadamu na ana matatizo yake - CHADEMA pia ina biff na Makonda tangu enzi za bunge la katiba. Kosa kubwa wanalofanya ni kujaribu kupambana na Makonda anapokuwa amewabana - Mfano kuleta hili suala la vyeti vya Makonda kwa sasa haliwezi kufanikiwa kwasababu hata Magufuli mwenyewe atajua ni mapigo tu na hujuma za watu waliotajwa kwenye orodha ya watumiaji wa madawa na atalipuuza suala hilo hata kama ni kweli - Poor timingKama unayoyasema ni ya ukweli basi suala la Mkuu wa mkoa wa Dar alishughulikie....... au unasemaje kwenye hilo?
Manji anatuhumiwa kwa KOSA gani?Umekosea. Ivi kwa ubongo wako sheria na kanuni zimewekwa ili zifuatwe au zivunjwe kwa kisingizio cha eti wanaonufaika ni watanzania