Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Masikini Manji, kabanwa kila kona!

Wanateseka watanzania wenzetu.
Hivi MTU akifanya ufisadi aogopwe kwa kuwa ametuajiri? Wakati tunazungusha mikono kutaka mabadiliko si tulitaka MTU asiyewaonea aibu mafisadi? Ni nani ambaye hajui robo tatu ya majizi makubwa ni wahindi, Leo imegeuka imekuwa ni "kuwaonea wivu". Ina maana Leo watu Wa jf mumemsahau manji?

Tulisema Kikwete ni dhaifu kwa kuwa alikuwa anawaogopa watu kama hawa. Ni kiongozi gani bora nchi hii ambaye hakupambana na wahindi? Kumbuka Nyerere na sokoine waliwafanya nini
magabacholi. Leo watu wenye akili za kitumwa na ombaomba mnamtetea fisadi kwa nguvu zote. MTU Wa kwanza kutaifisha Mali za wahindi alikuwa JULIUS KAMBARAGE NYERERE
 
Mi natumia Ubongo Mkuu
Basi fikiria nnje ya box mkuu sawa labda manji ni mchafu ahukumiwe kwa makosa yake

behind kuna watanzania wanaumia sio kwa mapenzi bali ni wale aliowaajiri Ku ban accounts sio ishu haswa za malipo ya mishahara
 
Wa Tanzania tuna ugonjwa wa kutokuwa na uwezo wa kuchanganua mambo. Na jambo hilo ni muhimili mkubwa sana ktk maisha. Kama tutakuwa tunaishi tu kama box za biskuti yaani inafika wakati mtu anaparamia tu jambo bila hata kuupa ubongo wake nafasi ya kulitafakari. Tunakokwenda mungu ndo anajua.
 
kama ni kweli ni uonevu na hasada ..na kama ni kwei tunaongozwa na visasi ...
 
Hivi MTU akifanya ufisadi aogopwe kwa kuwa ametuajiri? Wakati tunazungusha mikono kutaka mabadiliko si tulitaka MTU asiyewaonea aibu mafisadi? Ni nani ambaye hajui robo tatu ya majizi makubwa ni wahindi, Leo imegeuka imekuwa ni "kuwaonea wivu". Ina maana Leo watu Wa jf mumemsahau manji?

Tulisema Kikwete ni dhaifu kwa kuwa alikuwa anawaogopa watu kama hawa. Ni kiongozi gani bora nchi hii ambaye hakupambana na wahindi? Kumbuka Nyerere na sokoine waliwafanya nini
magabacholi. Leo watu wenye akili za kitumwa na ombaomba mnamtetea fisadi kwa nguvu zote. MTU Wa kwanza kutaifisha Mali za wahindi alikuwa JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Wivu tu unakusumbua, kwa hiyo taasisi zote sasahivi ndiyo zinaona madudu ya Manji? Mahakama ndiyo itasema Manji ni fisadi ama la.
 
Akaunti zake zote zimefungwa
Mchapishaji wa Magazeti JAMANA PRINTERS kapigwa marufuku kuchapa gazeti la Jambo Leo.
Gazeti halijaingia mtaani siku ya nne sasa.
Watumishi wamekosa mishahara, waandishi wanahaha.
Kwa ujumla Quality Group ni kama imesimamisha shughuli zake

Chanzo: Watumishi wa QG
Hivi tunasahau kuwa kuna Mungu wa wote? Mola atafanya miujiza siku moja. Familia zinakosa mkate wao wa kila siku shauri tunataka watu waishi km nini sijui. Wafanyakaxi jipeni moyo.
 
Hata jana mpirani hakuja, inasemekana uhamiaji walikuwa na mazungumzo naye, Sijui walihofia angeshangiliwa sana na washabiki wa Yanga?

Sasa kushangiliwa na mashabiki wa Yanga kunapunguza vipi machungu ya kuanza kufiliska?
 
Basi fikiria nnje ya box mkuu sawa labda manji ni mchafu ahukumiwe kwa makosa yake

behind kuna watanzania wanaumia sio kwa mapenzi bali ni wale aliowaajiri Ku ban accounts sio ishu haswa za malipo ya mishahara
Si mlisema manji alijitoa kwenye ukurugenzi Wa QL hivyo hahusiki na ajira za wahindi wasio na vibari, mkadai wala sio mjumbe Wa bodi, kwa hio QL inajiendesha yenyewe chini ya wakurugenzi na bodi yake ambayo manji sio member.

Sasa kufungwa kwa akaunti zake binafsi zinaathiri vipi mishahara ya wafanyakazi, unless anafanya hujuma!!!
 
Hivi tunasahau kuwa kuna Mungu wa wote? Mola atafanya miujiza siku moja. Familia zinakosa mkate wao wa kila siku shauri tunataka watu waishi km nini sijui. Wafanyakaxi jipeni moyo.

Hacheni kupotosha watu nyie vibaraka wa chadema....kusema watu wataishi kama mashetani hakuzungumzia watanzania wanaokula kwa jasho lao....alimanisha wakwepa kodi,wachumia tumbo kama UKAWA,mafisadi na wengineo aina kama yako wapenda mteremko.....ukianza pata uchungu na maumivu ya kutafta pesa kihalali ndo utajua alimanisha nini bro Magu?.
 
Aliposema matajiri wataishi kama mashetani, wakapiga makofi na vigelegele!
...walidhani maskini wataishi kama malaika..!?!!
Sasa akili zitawarudia. Ngoja hayo maneno yaendelee kuwakaa kichwani vizuri.
 
kabla yayote angefunguliwa kesi yenye uzito ili tujue kweli nimtu hatari lakini hizi ambazo wanafunguliwa watu kila leo hazijustify nguvu kubwa ya kumdhibiti.
Nafahamu anapenda kesi na figisu basi awe calm ajipange mahakamani adai fidia yaukweli sio mambo ya shilingi moja. Huwa kajeuri lakini katendewe tu haki
Hhahaa nimecheka sana koment yako! Imekaa kiutu uzima uzima yawezekana ww ni mtu mzima! Vihela vinaletaga ukorofi mdogo mdogo, kikubwa zaidi ufalme uliopita kina manji walikuwa final sayer, asipobadili style ya kucheza beat ataumia
 
Acha ajifunze kua ccm ni wanafiki.walikua wanajifanya fanya ni makada

Kuwa ccm na kuwa kada wa chama sio mwamvuri au pango la walanguzi.....ccm sasa ni chama cha wasafi.....kesi yake ikiisha akahamie Chadema....mana ndo mtaro wa kupokea waliopitiliza kwenye chujio la chama.
 
Yote haya kayataka Makonda,Pole sana mlioajiriwa Quality Group
 
Hao watumishi wanaoteseka ni watanzania wenzetu na familia zao wakati Manji hawezi lala na njaa. Tunahitaji kupimwa akili zetu hizi za chuki
Umekosea. Ivi kwa ubongo wako sheria na kanuni zimewekwa ili zifuatwe au zivunjwe kwa kisingizio cha eti wanaonufaika ni watanzania
 
Back
Top Bottom