Masikini kaka huyu

Masikini kaka huyu

kwa jinsi nnavyomuona huyo dada amekua frastruated sana kutokana na hiyo hali ndio maana amebadilika inahtajika counseling kubwa sana
ila jarbu kuongea na huyo kaka achukulie kama changamoto nyengne ampeleke huyo dada kwa watu wa karibu
pia swala jengne mtu gan wa familia ambae analijua hilo tatzo lake coz ni muhmu sana wajue lolote linaweza kutokea kwa huyo dada
nitajaribu muuliza rafiki yangu (kaka) kujua kama kuna watu wengine wanajua
 
ukimwi aliupata kabla ya ndoa au baada?
hapa hatujui ila hawakupima kabla ya ndoa .. imejulikana baada ya kubeba mimba na kuanza kuumwa ndipo hospital kuamua kupima na kugundua kuwa mke mwathirika mume ajaathirika ...
 
Jamaa alimuona Israeli....akapenya kwenye tundu la sindano....kunshauri arudi hapo panahitaji kazi ya ziada!

Inaonekana hawezi kuendelea kuishi naye....inabidi tu hiyo ndoa ivunjwe.

Huyo kijana either ni mpuuzi wa kuamini hovyohovyo au mwanamke alikua anaijua hali yake na alipandikiza hilo wazo la kutokupima. Both ways, huyo mwanaume ni sucker for love.

Sasa kijana umeamua kumuamini, stick with it!! Ndio uanaume....keeping your word hata kama ulikosea.
mmh si rahisi kijana kustick
 
sawa mkuu

kuna mtu mmoja humu alitoa mfano kwenye mada kama hii kuwa 'ukishituka usingizi ukakuta umemlalia nyoka na hajakuuma simama na chukua hatua mungu kakuamsha uchukue hatua...ila ukirudi kulala na ili hali huyo nyoka bado yupo hapo ukiamini Mungu aliyekulinda awali atakulinda tena huko itakuwa kumjaribu Mungu' utang'atwa tu hakuna namna nyingine...
 
kuna mtu mmoja humu alitoa mfano kwenye mada kama hii kuwa 'ukishituka usingizi ukakuta umemlalia nyoka na hajakuuma simama na chukua hatua mungu kakuamsha uchukue hatua...ila ukirudi kulala na ili hali huyo nyoka bado yupo hapo ukiamini Mungu aliyekulinda awali atakulinda tena huko itakuwa kumjaribu Mungu' utang'atwa tu hakuna namna nyingine...
point taken mkuu asante .. kiukweli kijana nacheza na mdomo wa mamba .. binti akiachwa chumbani anakuja sebuleni ni mitego na vilio anataka njunja
 
nimeisoma vizuri hii nyuzi
ila mpaka sasa naamini Mungu akiwa upande wako hakuna wa kupangua hilo

ila sasa je atamuachaje huyo mpenzi??
kama anampenda sasa itakuaje???
 
Afya kwanza haki ya ndoa baadae, anadhani jamaa akishaathirika ataweza hata kutoa hiyo haki ya ndoa anayodai? Huyo dada ni selfish na hamjali mwenzie hata kidogo anataka wote wawe kwenye safari moja ya kumeza dawa
 
Tatizo ninaloliona hapa ni unyanyapaa...Mume kamnytanyapaa mkewe...Na hilo ndilo litamuathiri zaidi

Baba ampende mke wake...alale nae kitandani...atumie Condom kwa uangalifu mkubwa.....kama anampenda atamtimizia....kabla ya kumuingilia ahakikishe amekuwa tayari haswa....

Wapo watu wengi wanaishi na wenza wenye Maambukizi ...Lakini hawawatupi wenza wao....

Dada anatakiwa kufanyiwa Counselling ya kufa mtu....amechanganyikiwa sana...anatakiwa ajikubali
 
Mkuu hapo jamaa amweke kitimoto huyo mchumba wake amuulize kavitoa wapi virus? Hicho ndo kiwe chanzo cha kuachana.... Akijifanya ana huruma atakwisha.
 
Tatizo ninaloliona hapa ni unyanyapaa...Mume kamnytanyapaa mkewe...Na hilo ndilo litamuathiri zaidi

Baba ampende mke wake...alale nae kitandani...atumie Condom kwa uangalifu mkubwa.....kama anampenda atamtimizia....kabla ya kumuingilia ahakikishe amekuwa tayari haswa....

Wapo watu wengi wanaishi na wenza wenye Maambukizi ...Lakini hawawatupi wenza wao....

Dada anatakiwa kufanyiwa Counselling ya kufa mtu....amechanganyikiwa sana...anatakiwa ajikubali
mwanume jamnyanyapaa ila kijana hana hisia ya tendo landoa dada anataka afanye tu na hataki kutumia ARV na hataki kutumia condom kwa iman kuwa ataponywa na Mungu ... mwanaume kachanganyikiwa haelewi
 
Tyta kijana ana moyo wa uvumilivu hata kuendelea kuishi naye ila binti kawa mkorofi analazimisha penzi na kilio juu.. mimi naona huruma sana kwa kijana analalamika maisha yake kaingiza doa japo kijana naye kafanya uzembe kuoana bila kupima

Yaan akifanya ujinga wa uvumilivu atapotea
 
Last edited by a moderator:
Ninavyojua kwa kweli hata huyo mmewe hataweza ku duu maana anajua kabisa pale maji ya shingo
:A S-baby::rockon:
 
Back
Top Bottom