Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,058
Yes ni Josephine ndio aliyekopa milioni 300 Bank iliyopo barabara ya sam nujoma....Hawa wanawake(Baadhi) wanalostisha sana ona Dr. Alivyompoteza.
Chanzo: Tanzania Daima.
Hawa wanawake hasa wa mjini(si wote) hatari tupu . Sasa ona Dr kaingia mkenge. Hela zote hizo sijui kwa mradi gani labda watalipa wafadhili wao wa wakati wa kampein