Masikini Dr. Slaa, Nyumba yake yapigwa mnada

Masikini Dr. Slaa, Nyumba yake yapigwa mnada

Anafanya usanii tu kutaka kutupumbaza watz hatutaongopeka this time...! They have money and they can pay off the loan. Shida moja ambayo hakuijua huyu bwana kaangalia teuzi zote hajaona jina lake akaanza usanii wa kutaka kurudi chadema, kwa ufupi mke hamfai hata kidogo, she is a bad influence. Kaa huko huko Ule mipesa ya usaliti. Tumeshakifuta kwenye history ya nchii
 
Huo ni utashi wa Dr Slaa mwenyewe, haingii akilini kama kweli alilinunuliwa na CCM how comes ashindwe kulipa deni la nyumba? Je huo mkopo aliuchukua kipindi gani-akiwa kanunuliwa CCM hii juzi au akiwa kwenye harakati za CDM na karatu?

CCM huwa hailipi madeni ya watu hata captain Komba marehemu asset zake zilipigwa mnada mbona hamshangai?

Mbona Machemli aliyekuwa chedema naye nyumba zake zipo sokoni? Mnaionea CCM jamani.
 
Kasome thread tena, halafu inaonyesha shule ilikupiga chenga hivi neno masikini!! hapo limetumika kufurahia au kusilitishwa...
Suala siyo kusoma thread, suala ni maidhui ya thread,

Kwa hiyo wewe shule haikukupiga chenga?

Andiko lako linatangaza kiwango cha upeo wako kifikra!
 
Kha
ha ha ha Dr alikuwa analindwa na usalam wa taifa kwenda kwenye hotel ya nyota tano.. leo nyumba yake inapigwa mnada..kweli kupanga ni kuchagua..sasa ushauri wa bure..mkae huko marekani msirudi..maana huku hamna chenu tena..


Kha ha ha ha haaaaaaaa!! Wamemlinda wakasahau ya kwamba alikuwa na mkopo ya bank!

Ajitokeze hadharani awaombe radhi Watanzania atakipiwa tu!
 
Moredekai alipofanya njama ya kuwaua wana wa Israel Kwa kisa cha kwamba eti ni wauaji kesi ilipofika Mbinguni, Mungu akamtuma Ester kuokoa jahazi

Katika kile kilichoonesha kuwa Mungu hadhihakiwi , Ester katikati ya sherehe akavamia Ikulu na kumuomba Mungu atoe adh
 
Ukiwa na ubongo ulio hai lazima utashangaa kwanini CCM ishindwe kumsaidia mtu aliyewasaidia kukidhohofisha chama chake mwenyewe, Dr Slaa hakuisaliti CHADEMA bali aliamua kusimamia kile anachokiamini.

Waafrika tuna shida kubwa ya kutokuwa na misimamo na ndio maana tumekuwa vigeu vigeu ktk mazungumzo na matendo yetu ya kila siku.

In fact hatujazowea kuwa na wanasiasa wanaosimamia kile wanachokiamini mwanzo mwisho,tumeshazowea uswahili uswahili na kwasababu hiyo basi wengi wenu mlitaka Dr Slaa afanye siasa za kiswahili swahili.

Dr Slaa angekuwa anafanya siasa za namna hiyo toka zamani nadhani CHADEMA wangepotea sana, ilihitajika kiongozi mwenye misimamo kama Dr Slaa kuweza kuivusha CHADEMA salama ktk misuko suko na dhoruba kali za kisiasa ilizokumbana nazo huko nyuma. Ila nyinyi wafuasi wa Mbowe hamuwezi kuyajua haya, very soon you are going to find out what you lost.
 
Sikuwahi kufikiria kwamba akina Crashwise watakuja kumkejeli Dr Slaa na kumuabudu Lowassa kwa jinsi ambavyo huyu mzee alitumia juhudi na maarifa mengi ktk kukiimarisha hiki chama.

Mara hii wamesahau yote mazuri ambayo Dr Slaa aliyafanyia CHADEMA, eti wanamwita msaliti,mtu aliyekaa na CHADEMA kwa zaidi ya miaka 30,akikihudumu chama kama katibu mkuu kwa zaidi ya miaka 20 leo asiaminiwe halafu kuaminiwa mtu ambaye maisha yake yote alikuwa na CCM,kwa zaidi ya miaka 40. Kajiunga juzi tu na CHADEMA mara hii yeye ndio limegeuka kuwa Mungu ndani ya chama, kila goti la mfuasi, kada na mwanachama wa CHADEMA kwake litapigwa.

Kweli fedha ni sabuni ya roho, ukiwa mpigania uadilifu na ukweli kama Dr Slaa utadharaulika, ukiwa mtu mwenye tuhuma nyingi za ufisadi kama yule jamaa yetu maadamu una pesa basi hata magoti utapigiwa.
 
msema kweli Mshahara wa dhambi ni mauti. Kutokulipa madeni siyo moyo safi. Dr. Kakwepa kulipa mkopo wa Bank kawa jipu na Bank wakaamua kulitumbua. Kumsaidia Lowasa au kutomsaidia havina mahusiano na deni la Dr.

POLISI na TISS njoo msaidie usalama wa nyumba ya Dr. maana ndo imekwenda hiyo hamna namna nyingine.
 
Mr Technologia, hakuna anayemdharau Dr. Swala hapa ni yeye kulipa deni la Bank na faini kurejesha heshima yake maana mtu mzima bila makazi yake ni taabu kidogo.

Pili kumbuka kuwa Dr aliamua kutokubaliana na mikakati ya CDM akaungwa mkono na CCM, TISS, Humphrey Polepole and others. CDM wakaendelea walipo kila mtu anajua.

Waliomuunga mkono wanatakiwa kumuunga mkono kwa hali na mali kama CDM ilivyomfadhili hadi hapo alipoona haihitaji tena.
 
Tunakumbuka haraka zake na mchango wake kwa familia za kimapinduzi hapa machinists hasa za Arusha pole kwa janga la Deni
 
Back
Top Bottom