Mashtaka dhidi ya Kampuni za Mawasiliano yanawezekana

Yaweza isijengewe hoja ila inatosha kufikirisha. Alijihakikishiaje kwamba ni lazima atapata 200M
Ni jukumu la mlalamikiwa kujenga hoja ili kupangua madai yake ya msingi, kupata milioni Mia mbili inaweza kuwa ngumu lakini pia rahisi. Yawezekana mteja wake ilikuwa ni kampuni let us say yenye mtaji wa billion mbili na endapo angefanikisha deal malipo asimilia kumi,
Ama Tu assume ni ajira ambayo ingemlipa mshahara wa milioni mbili Kwa mwezi X 12 ni 24M, achilia mbali hela ambayo angechangiwa na mwajiri kwenye mfuko wa Hifadhi ya jamii, hiyo kazi angeifanya miaka kumi Tu tayari angeweza kupata hiyo milioni Mia 200, wao wamesababisha amepoteza, unajua athari alizopata kisaikilojia kutokana na kukosa hiyo kazi, athari za kiuchumi na kijamii na kuonekana jobless, pengine hata mchumba amemtosa Kwa sababu ya kutokuwa na kipato. Hii kesi mwamba anatusua. Hata kama siyo hiyo Mia 2 wanaweza negotiate mkeka ukarudi na Mia 1. Haja sukuma vx ya mtumba, hahahaha nawatamani mno hawa.
 
Hakuna logic ya kumlazimisha mtu kukopa wakati tayari umechukua mali yake. Kumbuka mkopo una riba hivyo kwake ilikuwa ni hasara nyingine.
Kuacha kazi ya milioni 200 kisa unaogopa riba ya shs.1000/= amabyo unaweza kuja kuidai kama anavyofanya ni kitendo kinacho defy logic. Ni kama kufa kiu Jangwani huku maji safi ya kunywa yapo Kwenye chupa kisa tu unaogopa utaumia wakati wa kuyafungua.
 
Ni ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Hii ni sawa na bank kukata mshahara wako kimakosa kisha wakuambie ukonane na afisa mikopo akusaidie
 
Back
Top Bottom