Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Masauni humjui labda. Hata ukuu wa wilaya tu h awezi
Soma vizuri nilichoandika. Sikusema anaweza. Nimesema anaaminiwa
Masauni humjui labda. Hata ukuu wa wilaya tu h awezi
Hizi chuki,Masauni humjui labda. Hata ukuu wa wilaya tu h awezi
✓Magereza wanazidi Traffic police kwa upigajiKama agundua kuwa kuna viongozi wengi waso waadilifu kwanini asiwaondoe au kuwadhibiti?
Magereza ni moja ya vyombo ambavyo kuna upigaji hivyo mwache achape kazi aishughulikie.
Hatujaelewa wengi apaInasemwa CDF ni ally wa JK hivyo (labda kama kuna ulazima wa kumbadili) ataendelea nae.
Magereza asimtoe Cgp Selemani Mzee kaliweza jeshi la Magereza kweli kweliKama agundua kuwa kuna viongozi wengi waso waadilifu kwanini asiwaondoe au kuwadhibiti?
Magereza ni moja ya vyombo ambavyo kuna upigaji hivyo mwache achape kazi aishughulikie.
Sasa inakuwaje unaaminiwa kufanya kitu ambacho hukiwezi?Soma vizuri nilichoandika. Sikusema anaweza. Nimesema anaaminiwa
Acha kuwatetea mapolisi wakati wanamzunguka akiwa naibu hawakujua atarudi et eeeh wizara hii imejaa watu wa dhuluma sasa kaja asiependa dhuluma mtulie vibwengo vyenu vitaondokaMasauni akiwa Naibu waziri aligombana na karibia viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi vilivyopo Wizara ya Mambo ya Ndani.
Tulimwona kwenye TV akigombeza askari bila kujali vyeo Wala umri wao. Leo amepewa full minister, hatuwezi kutegemea jipya zaidi ya kwenda kupambana Mhe. RAIS awafute kazi wakuu wa vyombo waliopo au wapangiwe KAZI nyingine then apendekeze watu wake.
Kwa ufupi Masauni ana ujana mwingi, dharau na ukubwa mwingi, tathimini hii nafanya wa kuangalia historia yake kwenye TV. Siamini kama ipo tofauti kati ya Masauni na Kangi Lugola. Wizara Hii wizara Ina madili mengi na haikupaswa kumweka mtu asiyefanya analysis before decion ataumiza watu. Otherwise Mhe. Masauni kachape kazi usipambane kuondoa watu ofisini maana ujui utakutana nao Wapi.
Aiseee !!Masauni akiwa Naibu waziri aligombana na karibia viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi vilivyopo Wizara ya Mambo ya Ndani.
Tulimwona kwenye TV akigombeza askari bila kujali vyeo Wala umri wao. Leo amepewa full minister, hatuwezi kutegemea jipya zaidi ya kwenda kupambana Mhe. RAIS awafute kazi wakuu wa vyombo waliopo au wapangiwe KAZI nyingine then apendekeze watu wake.
Kwa ufupi Masauni ana ujana mwingi, dharau na ukubwa mwingi, tathimini hii nafanya wa kuangalia historia yake kwenye TV. Siamini kama ipo tofauti kati ya Masauni na Kangi Lugola.
Wizara Hii wizara Ina madili mengi na haikupaswa kumweka mtu asiyefanya analysis before decion ataumiza watu. Otherwise Mhe. Masauni kachape kazi usipambane kuondoa watu ofisini maana ujui utakutana nao Wapi.
Unawezaje kumuamini asiyeweza ?Wizara ya ndani ni Wizara nyeti. Kawekwa hapo sababu anaaminiwa. Sio kwamba anaweza!
Masauni akiwa Naibu waziri aligombana na karibia viongozi wengi wa vyombo vya ulinzi vilivyopo Wizara ya Mambo ya Ndani.
Tulimwona kwenye TV akigombeza askari bila kujali vyeo Wala umri wao. Leo amepewa full minister, hatuwezi kutegemea jipya zaidi ya kwenda kupambana Mhe. RAIS awafute kazi wakuu wa vyombo waliopo au wapangiwe KAZI nyingine then apendekeze watu wake.
Kwa ufupi Masauni ana ujana mwingi, dharau na ukubwa mwingi, tathimini hii nafanya wa kuangalia historia yake kwenye TV. Siamini kama ipo tofauti kati ya Masauni na Kangi Lugola.
Wizara Hii wizara Ina madili mengi na haikupaswa kumweka mtu asiyefanya analysis before decion ataumiza watu. Otherwise Mhe. Masauni kachape kazi usipambane kuondoa watu ofisini maana ujui utakutana nao Wapi.