Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

Kuhangaika kote huko mwisho wanaaweza hata wasipate data za kuwasaidia sana ndani ya hiyo simu....
 
How does iPhone data encryption mechanism work to ensure almost perfect data security?

simplemind There is no such thing as "perfect data security", however, the encryption that uses passcode is a badass one. Not easy to crack, furthermore there is a feature that erases data completely if the passcode is guessed more than ten times, especially when using brute-force.

But this scenario here, for American top notch hackers and crackers wasn't a big deal, there are many ways that damn phone could have been cracked.
 
sasa kumbe unajua hawawez kusem hadharan mkuu..nashkuru kwa kujijibu.....

Naam, hivyo ndivyo nijuavyo.

Watakuwa wapumbavu wa mwisho kabisa kuutajia ulimwengu au watu waliowafungulia hiyo simu.

Lakini pia, wewe hii kauli yako hapo chini chanzo chake ni kipi? Manake umesema kabisa, tena bila qualification yoyote ile kuwa "ni muisrael ndo aliowasaidia kufungua".

Nilipokuomba unipe chanzo au vyanzo vya ulipoitoa, ukanipa chanzo kimoja ambacho hata hakisemi ulichokisema wewe hapo chini.

Sasa unaandika kushukuru mimi kwa kujijibu mwenyewe, kwa hiyo unakiri kuwa umechemsha ulichokiandika hapa chini?

ni muisrael ndo aliowasaidia kufungua lakini kusema kama myahudi au nan inakuwa ngumu..maana kuna waisrael waarabu na warusi wengi tu,webgbe waisrael wamarekani na vitu kama hvyo

Bado hujanipa chanzo kinachosema hicho ulichokidai wewe.
 
Mkuu wala sio mamluki wao ila ni Waisrael ndio inasemekana wanaouwezo huo na tayari fununu zilishaanza kuenea kwamba Waisrael hao wataibutua simu hiyo kiulaini..na walivyoulizwa hawakubisha..walisema wanaweza
Jamani jamani kuna watu wana uwezo sana, Kuna mtu anaitwa chronic devo ni hatari, wapo wengi tu kutoka nchi ya romania ni wabaya sana katika software, kuna mtu alikuwa akiwafanyia mchezo wa kuzifungua wakamshitaki akaacha wakammnunua sasa hivi ni mfanyakazi wao, wapo wengi wataalam lakini FBI haikutangaza tenda ya kuifungua apple.
 
Hiyo ni janja tu ,huyu mtu atakua mamluki wa apple,wameamua kufanya hivyo ili kuto halibu biashara ya apple
Ndicho kilichokuja mawazoni kwangu. Itakuwa ni apple wenyewe lkn wamefanya kisiri ili kulinda reputation yao. Case na publicity ilikuwa ni kutengeneza mazingira ya kuaminika
 
Ndicho kilichokuja mawazoni kwangu. Itakuwa ni apple wenyewe lkn wamefanya kisiri ili kulinda reputation yao. Case na publicity ilikuwa ni kutengeneza mazingira ya kuaminika

Kwa hiyo unaamini hakuna wajanja [ambao si wafanyakazi wa Apple] wenye uwezo wa kuzifungua hizo simu?

Katika population ya watu wabunifu kama Wamarekani mimi naamini kabisa kuna wajanja wenye huo uwezo.
 
Umekuja kusaidia..ha ha ha....mwanaume kwa udhaifu bna...so unadhani utatunukiwa au

Nitunukiwe nini.? I am a man, ninajiamini na ninayoyafanya. Kama nataka kumtongoza mwanamke (awe yoyote yule) i go there straight. Sitegemei kuonewa huruma katika utongozaji na siyo muumini wa kuonewa huruma.

Ishu iliyokuwepo hapa ni wewe na hiyo shule yako unayojinasibu nayo kushindwa kusoma hivyo vimistari vichache na kuelewa point ndogo iliyojumuishwa humo.
 
Unless you know the ultimate and technical truth on this matter, ambayo sidhani kama ndio hii inayoletwa kwenye media, basi ukae kimya.
 
Unless you know the ultimate and technical truth on this matter, ambayo sidhani kama ndio hii inayoletwa kwenye media, basi ukae kimya.

We unajua? Manake we mwenyewe umeshindwa kukaa kimya...

Au ulimaanisha nini?
 
Ha ha ha...sio kila kitu cha ku comment bibie...we endelea kufuatilia habari za mtoto wa diamond na makalio ya wema huko ndo uko vizuri...hivi vitu technical tuachie tulioenda shule na kufaulu

ana haki ya kutoa comment yoyote ili ni jukwaa huru.
 
Aiseee najua kuna wachina nao watataka waifungue
 
Duuuh huyo mshkajui kaifunguaje yani, dah kweli nchi zingine tunasindikiza tu.
 
Back
Top Bottom