Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

Nakubaliana na wewe kabisa, hiyo ni kutaka kuonyesha kuwa Apple ni wagumu kuliko maelezo, kuwa wako tayari kufungiwa au kuchukuliwa hatua yoyote kuliko kutoa siri za mteja wake

Hapo kulikuwa na mutual agreement ya Apple na hao FBI kuwa Apple watafungua simu lakini promo ya kuwainua Apple iwepo pia
Umethibitisha kuwa wewe ni kituko kweli
 
ndo maana nimesema FBI sio kwamba wanashindwa kuifungua mkuu...hakuna kitu wanashindwa fanya kw National Security bro..ilikuwa ni bra bra tu za kufata sheria but wanaweza na wamewezaa...how sure kwamba walikuwa hawajafunguaaa coz hiyo habari yenyew ya kufungua wametoa wao...Inasemekana hiyo simu walishafungua na kwa sababu za.kiusalama na kisheria ilibaki siri kwanza...

Mkuu sasa saivi wamefungua hawaja vunja sheria??
Ina maana muda wote wanahangaika kufungua walikua wanavunja sheria??
Seems haujafwatilia this case tangu ianze na inawezekana hujui ni nini hasa FBI walikuwa wanataka from apple.
 
This is not the first time FBI wanaomba msaada kutoka apple ili kupata data za Kwenye simu.
Apple wamekuwa wana cooperate na security agencies tangu na tangu. Ila this case was a bit different.
Mwanzo waliomba ku access data zilizopo Kwenye simu hio husika 5c, na apple walishatoa engineers.
Kumbe FBI wao walisha hack iCloud ya FAROUK na baadaye wakaibadilisha password. Wangeweza kuunganisha hio simu to a known wifi then waka trigger back up( kumbuka the last back up ilikuwa 10 months kabla ya Farouk kufanya tukio) then wange retrieve data zote zilizopo Kwenye simu through hio back up file.
Ila FBI walibadilisha hio iCloud password so ili kufanya backup ilikuwa inabidi waingize hio password mpya Kwenye simu. Simu yenyewe ipo locked. FBI walijaribu kurudisha password ya zamani ila iCloud haikubali kurudisha the same password kabla mwaka haujaisha.
Hapo ndio FBI wakaja tena kwa apple ili apple watengeneze OS mpya ambayo ina bypass incription security.
Hii kitu ingeweza kufungua all apple devices. Ndio apple wakakataa kesi ikaenda mahakamani.
 
Mimi nakuambia hii kitu hata wangempa chizi wa Kariakoo angeweza kuing'oa,apple wameruka kijanja kwa sababu kama wangeendelea kung'ang'ania kuto toa wangepata mashala makubwa kibiashara
Acha kutangaza biashara zako za kitapeli hapa kiujanja ujanja ili watu waingie kingi uwatapeli na hao matapeli wenzako wa Sijui k/koo. Niletee hata simu moja hapa ambayo mmeishaitoa icloud hapo k/koo?
 
Apple wameifungua hiyo simu kutokana na kulinda soko lao wanajifanya hawahusiki.
 
Ha ha ha...sio kila kitu cha ku comment bibie...we endelea kufuatilia habari za mtoto wa diamond na makalio ya wema huko ndo uko vizuri...hivi vitu technical tuachie tulioenda shule na kufaulu
Sasa wewe uliyeenda shule mbona hujanielimisha?
Zaidi umeleta majungu zaidi ya shangingi mstaafu?

Wasomi hawako hivyo,hujibu hoja kwa hoja na ndivyo hudhihirisha usomi wao.
 
Hao ni Apple wamewafungulia,sasa naamini huu ni mchezo unaochezwa kati ya FBI na Apple kukuza soko la bidhaa zao.
Huyo mtu kama kweli kwanini asitajwe hadharani?
huoni kitendo cha kutangaza kuwa cm imefunguliwa na watu wengine apart from apple ndo kitaishushia soko mana inaonekana kuwa ecycription yao sio strong kama walivyodai ndo mana imefunguka? au unabase kwe point gan kuwa kufunguliwa kwa smu hiyo kuna boost market kwa apple?
 
ndo maana nimesema FBI sio kwamba wanashindwa kuifungua mkuu...hakuna kitu wanashindwa fanya kw National Security bro..ilikuwa ni bra bra tu za kufata sheria but wanaweza na wamewezaa...how sure kwamba walikuwa hawajafunguaaa coz hiyo habari yenyew ya kufungua wametoa wao...Inasemekana hiyo simu walishafungua na kwa sababu za.kiusalama na kisheria ilibaki siri kwanza...
Tetesi zilizoko ni FBI walishirikiana na engineer kutoka Jeshi la Israel wakafungua hyo simu.
 
Ha ha ha...sio kila kitu cha ku comment bibie...we endelea kufuatilia habari za mtoto wa diamond na makalio ya wema huko ndo uko vizuri...hivi vitu technical tuachie tulioenda shule na kufaulu

Unajiona umefaulu sawasawa.? Kwa kushindwa kuelewa alichokiandika bibie kunatia shaka na walakini huo ufaulu wako.
 
huoni kitendo cha kutangaza kuwa cm imefunguliwa na watu wengine apart from apple ndo kitaishushia soko mana inaonekana kuwa ecycription yao sio strong kama walivyodai ndo mana imefunguka? au unabase kwe point gan kuwa kufunguliwa kwa smu hiyo kuna boost market kwa apple?

Ni bora hivyo kuliko wangekubali kufungua wenyewe. Na wangeendelea na kesi nina uhakika asilimia mia serikali ya marekani ingeshinda na simu ingefunguliwa na wao wenyewe Apple. Maana hapo ishaingia ishu ya Ugaidi, Ushaingiza usalama wa taifa na raia wake. Come it may, kwa serikali makini, hiyo simu ingefunguliwa tuu.

Ukizingatia Apple ni nembo ya serikali na taifa la marekani, mimi naona hichi walochofanya FBI na Apple ni WinWin situation, Hapa tutegemee apple watakuja na excuse kuwa wataupgrade Os kuziba hizo flaws. Hakuna machine yenye 100% efficiency perfomance.

Na isitoshe, hata hao wateja wa apple wakisema kuwa apple siyo secure, ni wapi na kwenye OS platform gani watakwenda wapate security kuzidi hii wanayoipata kwa sasa wakiwa na iOs.? So hawana opion. Wataona ni bora wabaki iOs ambapo watakuwa wanadukuliwa kwa mbinde.

So katika 3D, ni kwamba wamewaongezea biashara apple.
 
Ni bora hivyo kuliko wangekubali kufungua wenyewe. Na wangeendelea na kesi nina uhakika asilimia mia serikali ya marekani ingeshinda na simu ingefunguliwa na wao wenyewe Apple. Maana hapo ishaingia ishu ya Ugaidi, Ushaingiza usalama wa taifa na raia wake. Come it may, kwa serikali makini, hiyo simu ingefunguliwa tuu.

Ukizingatia Apple ni nembo ya serikali na taifa la marekani, mimi naona hichi walochofanya FBI na Apple ni WinWin situation, Hapa tutegemee apple watakuja na excuse kuwa wataupgrade Os kuziba hizo flaws. Hakuna machine yenye 100% efficiency perfomance.

Na isitoshe, hata hao wateja wa apple wakisema kuwa apple siyo secure, ni wapi na kwenye OS platform gani watakwenda wapate security kuzidi hii wanayoipata kwa sasa wakiwa na iOs.? So hawana opion. Wataona ni bora wabaki iOs ambapo watakuwa wanadukuliwa kwa mbinde.

So katika 3D, ni kwamba wamewaongezea biashara apple.
ni kweli mkuu,ila nafikiri apple lazima wata upgrade Os yao kwasababu moja ya vitu ambavyo vmefanya apple kutumiwa na watu weng hata wakiwemo hao terrorits ni uimara wa encycription yao kama vile magaidi wanavyotumia sana telegram badal ya whatsapp..all in all wenzetu wametuthibitishia kwamba kwao hakuna kinachoshndkana
 
Mkuu mambo ya taasisi za intelejensia ni usiri na kumaintain smarter status,huenda baada ya kugundua kosa lao wameamua kuutangazia ulimwengu taarifa ya uongo muone wao ni bora kumbe wametunza hadhi yao tu
Afterall unaweza kukuta hiyo simu haikuwa na taarifa zozote za maana na mhusika alishauwawa
 
kwani fundamental systems za computer na smartphone ni nani katengeneza kama sio muisrael?
Husomeki, basis ya mobile device ni integrated circuits na development kuanzia valve,triode valves; diodes; transistors hadi integrated circuits na logic gates ni matunda ya utafati ulaya na Marekani . Sioni sababu ya kusifia Wayahudi kwa hili.
 
Husomeki, basis ya mobile device ni integrated circuits na development kuanzia valve,triode valves; diodes; transistors hadi integrated circuits na logic gates ni matunda ya utafati ulaya na Marekani . Sioni sababu ya kusifia Wayahudi kwa hili.
ulukua unataka itengenezewe jerusalem ndio ujue ni myahudi?? haya na dell ni marekani so sio myahudi sio?
 
Seems issue wengi hawaelewi ni nini kinaendelea . What FBI wanted from apple is not to unlock the iphone.
The FBI wanted apple to create a new operating system ambayo ingetumika to unlock all iPhones. Ingawa wao FBI wanasema hio OS ingetumika Kwenye hio simu moja tu kitu ambacho sio kweli.
Technology kama hio is very dangerous Kwenye dunia ya sasa amabayo information is sought after kwa udi na uvumba. Kumbuka that tech is only as safe as the security around it.
What if that technology falls in the wrong hands??
Apple wapo very right kuwakatalia FBI. Mara Mia hio simu ifunguliwe kwa njia yoyote lakini sio through what FBI demanded from apple.
Apple bado wame win. Na ndio maana nasema game ndio inaanza. Apple will plug the flaw and FBI watarudi tena mahakamani with the same demand.
 
ulukua unataka itengenezewe jerusalem ndio ujue ni myahudi?? haya na dell ni marekani so sio myahudi sio?
ni muisrael ndo aliowasaidia kufungua lakini kusema kama myahudi au nan inakuwa ngumu..maana kuna waisrael waarabu na warusi wengi tu,webgbe waisrael wamarekani na vitu kama hvyo
 
Back
Top Bottom