maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
Yah inawezekana pia...japo wao Apple wanaamini kutotoa taarifa za mteja wao ndio kutunza reputation yaoHakuna mkuu kwa sababu karibu robo ya wafanyakazi wa apple ni waisrael na Wagiriki,likely huyo ni mamluki,apple kafanya hivyo indirectly ili kutunza reputation ya kampuni yao.