Haki Madhubuti
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 185
- 165
That's the truth bredren/sistren mimi tangu mwanzo nilikuwa najiuliza unaweza ibishia au igomea serikali hasa katika jambo la usalama Wa taifa?Hiyo ni janja tu ,huyu mtu atakua mamluki wa apple,wameamua kufanya hivyo ili kuto halibu biashara ya apple