Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,328
My dear,jaribu kusoma upya point yangu utaelewa nilikuwa na maana gani.huoni kitendo cha kutangaza kuwa cm imefunguliwa na watu wengine apart from apple ndo kitaishushia soko mana inaonekana kuwa ecycription yao sio strong kama walivyodai ndo mana imefunguka? au unabase kwe point gan kuwa kufunguliwa kwa smu hiyo kuna boost market kwa apple?
Ila ukikurupuka namna hii huwezi kuelewa nilimaanisha nini.
Ngoja nikufafanulie kidogo,nimesema huu ni mchezo wa FBI na Apple ili kukuza mauzo ya bidhaa za Apple.
Kama ingekuwa imefunguliwa na mtu mwingine kwanini wasimtaje huyo mtu?
Point kuu hapo ni kuongeza mauzo ya hizo bidhaa za Apple ndio maana hajatajwa huyo 'MTU'.
Au lah,huenda sababu za kiusalama zimetumika kutokumtaja huyo mfunguaji.