nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,408
- 8,223
mkuu tatizo kuna watu wabishi kinoma pamoja na FBI wenyw kusema still wanabishaHiyo simu imefunguliwa bila msaada wa Apple japo kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba imefunguliwa kwa msaada wa Apple
Hakuna siri dunia hii...