Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

Marekani yaifungua iPhone ya Mlipuaji

Hiyo simu imefunguliwa bila msaada wa Apple japo kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba imefunguliwa kwa msaada wa Apple

Hakuna siri dunia hii...
mkuu tatizo kuna watu wabishi kinoma pamoja na FBI wenyw kusema still wanabisha
 
Hiyo simu imefunguliwa bila msaada wa Apple japo kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba imefunguliwa kwa msaada wa Apple

Hakuna siri dunia hii...

Mimi siamini kabisa kuwa imefunguliwa kwa msaada wa Apple.

If anything, kufunguliwa kwake kumethibitisha kuwa bidhaa za Apple zinaingilika.

Jambo ambalo lina-debunk dhana ya kwamba bidhaa zao ziko imara kivile.

Sasa ishu ni je, Feds watawaambia Apple ni jinsi gani wameweza kuifungua hiyo simu au watauchuna?

Maana wakiwaambia, basi Apple walau watajua nini cha kufanya ili kuimarisha zaidi security ya bidhaa zake.

Lakini nina mashaka kama Feds watafanya hivyo.
 

Mkuu, nilichokuomba sicho ulichonipa.

Ulichonipa ni yaleyale niliyohisi tokea mwanzo: masadikiko tu kuwa huenda kuna kampuni ya Israel ndo ilikuwa hired ku unlock hiyo simu.

Feds hawajasema ni nani aliyeifungua.

Hivyo, hilo suala linabaki kuwa ni la kukisia tu.

Na naelewa kwa nini Feds hawajasema ni nani kasaidia katika kuifungua.

Hawawezi kuanika siri zao hadharani kijinga kijinga namna hiyo.
 
Mkuu wala sio mamluki wao ila ni Waisrael ndio inasemekana wanaouwezo huo na tayari fununu zilishaanza kuenea kwamba Waisrael hao wataibutua simu hiyo kiulaini..na walivyoulizwa hawakubisha..walisema wanaweza
we nae vipi na hao waisrael?
 
Mimi siamini kabisa kuwa imefunguliwa kwa msaada wa Apple.

If anything, kufunguliwa kwake kumethibitisha kuwa bidhaa za Apple zinaingilika.

Jambo ambalo lina-debunk dhana ya kwamba bidhaa zao ziko imara kivile.

Sasa ishu ni je, Feds watawaambia Apple ni jinsi gani wameweza kuifungua hiyo simu au watauchuna?

Maana wakiwaambia, basi Apple walau watajua nini cha kufanya ili kuimarisha zaidi security ya bidhaa zake.

Lakini nina mashaka kama Feds watafanya hivyo.
Apple walishaomba through their lawyers kuwa FBI wawaeleze jinsi walifungua simu.
Secondly juzi apple wame fanya update ya iOS 9.3 hivyo inawezekana walishagundua flaw na wamesharekebisha
 
Apple walishaomba through their lawyers kuwa FBI wawaeleze jinsi walifungua simu.
Secondly juzi apple wame fanya update ya iOS 9.3 hivyo inawezekana walishagundua flaw na wamesharekebisha

Regardless, the notion that Apple's products are as secure as advertised, goes out the window.

Which is a knock on their business side of things.

These products aren't made by a single solitary person.

A whole bunch of people are involved in the process of product development.

It's hard to maintain a secret in a situation like that.

And just when you think you are smarter than perhaps everyone else, there is always someone else out there who is probably ten times smarter than you.
 
hivi kuna mpumbavu yeyote anaeamini FBI walishindwa kufungua hiyo simu kweli?? jamani hawa watu siwapendi ila mjue kabisa hua hawafanyi kazi za kuchoma cd za bongo movie kariakoo.. hizo kelele zote na apple ilikua danganya toto tuu nao waonekane wanafata sheria
 
Regardless, the notion that Apple's products are as secure as advertised, goes out the window.

Which is a knock on their business side of things.

These products aren't made by a single solitary person.

A whole bunch of people are involved in the process of product development.

It's hard to maintain a secret in a situation like that.

And just when you think you are smarter than perhaps everyone else, there is always someone else out there who is probably ten times smarter than you.

Ila mbona long time njia ya kufungua hizo simu zinajulikana. Ila at a risk of losing data or not getting full data stored in a device
Mshikemshike wa apple na FBI wasn't about apple unlocking the phone. It wAs about FBI wanting apple creating a new operating system that bypasses encryption security.
 
Monday's news raises questions about the security of Apple's devices and how the Justice Department was able to break into the phone. The FBI hasn't said what company it's working with or what method it used to access the data.Cellebrite, a privately held Israeli company that specializes in transferring and extracting data from phones, has been named in some reports as the third party helping the FBI unlock the iPhone, but neither the FBI nor Cellebrite has confirmed the reports.
Chanzo.

Kuhusu nani kawasaidia Feds kuifungua hiyo simu, bado ni suala la tetesi tu.

Kwa sababu, Feds wenyewe hawajasema ni nani [jambo ambalo mimi naliona kuwa ni standard operating procedure].
 
Kilichokua kinahitajika ni Kuifungua simu bila kupoteza data yoyote, FBI walichokua wanahofia ni kufungua simu na kupoteza data
 
hivi kuna mpumbavu yeyote anaeamini FBI walishindwa kufungua hiyo simu kweli?? jamani hawa watu siwapendi ila mjue kabisa hua hawafanyi kazi za kuchoma cd za bongo movie kariakoo.. hizo kelele zote na apple ilikua danganya toto tuu nao waonekane wanafata sheria

Hahahaaa unajua hata mimi nasita kabisa kuamini kuwa FBI walishindwa kuifungua hiyo simu.

Jamaa wana resources za kutosha hususan kama ikija kwenye mambo ya homeland security.

Yaani washindwe kabisa kui-hack simu ya ghaidi?

Things that make you go hmm.......
 
Ila mbona long time njia ya kufungua hizo simu zinajulikana. Ila at a risk of losing data or not getting full data stored in a device
Mshikemshike wa apple na FBI wasn't about apple unlocking the phone. It wAs about FBI wanting apple creating a new operating system that bypasses encryption security.

Yeah...on that I side with Apple's stance.

Feds can't force them [Apple] to create such a system or program or whatever the hell else it's called.
 
Hahahaaa unajua hata mimi nasita kabisa kuamini kuwa FBI walishindwa kuifungua hiyo simu.

Jamaa wana resources za kutosha hususan kama ikija kwenye mambo ya homeland security.

Yaani washindwe kabisa kui-hack simu ya ghaidi?

Things that make you go hmm.......
Walikua na uwezo lakini njia yao waliamini inaweza kupoteza data wanazohitaji, so issue ilikua ni kufanikiwa kufungua simu bila kupoteza data.
Issue nyeti kwenye hii case ilikua ni DATA
 
Yeah...on that I side with Apple's stance.

Feds can't force them [Apple] to create such a system or program or whatever the hell else it's called.
The so thought firm to have helped the FBI had proposed a system of bypassing the code without trying to deduce the number but this doesn't give access to the full data stored in the phone.
 
Mkuu, nilichokuomba sicho ulichonipa.

Ulichonipa ni yaleyale niliyohisi tokea mwanzo: masadikiko tu kuwa huenda kuna kampuni ya Israel ndo ilikuwa hired ku unlock hiyo simu.

Feds hawajasema ni nani aliyeifungua.

Hivyo, hilo suala linabaki kuwa ni la kukisia tu.

Na naelewa kwa nini Feds hawajasema ni nani kasaidia katika kuifungua.

Hawawezi kuanika siri zao hadharani kijinga kijinga namna hiyo.
sasa kumbe unajua hawawez kusem hadharan mkuu..nashkuru kwa kujijibu.....
 
Sasa wewe uliyeenda shule mbona hujanielimisha?
Zaidi umeleta majungu zaidi ya shangingi mstaafu?

Wasomi hawako hivyo,hujibu hoja kwa hoja na ndivyo hudhihirisha usomi wao.
Kwann hujaenda shule?...tatizo langu liko hapo...
 
Back
Top Bottom