mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,040
Wamarekani ni wabaya! Wameamua kuingia vitani na Urusi kwa kutumia nguvu zao zote kwa maana ya zana za kivita na pesa, lakini hawako tayari kumwaga hata damu ya mtu mmoja wa Marekani hadi tone la mwisho la damu ya watu wa ukraine!!
Marekani hawajali Ukraine ikiangamizwa na Urusi, wanachohitaji tu ni kwamba wanajeshi wa Ukraine watumike kufikia malengo ya Marekani ya kuidhoofisha Urusi, bila kujali watamwaga damu kiasi gani cha watu wa Ukraine katika kufikia hilo lengo la Marekani.
Kwa mtazamo wa Marekani, damu ya askari mmoja wa Marekani ina thamani kuliko damu ya watu wote wa Ukraine!
Marekani hayuko tayari kupigana ana kwa ana na Urusi lakini yuko tayari kupigana na Urusi kwa kutumia damu ya watu wa Ukraine!! Kwa bahati mbaya sana rais wa ukraine hana jinsi ya kujinasua katika mtego huo!!
Marekani hawajali Ukraine ikiangamizwa na Urusi, wanachohitaji tu ni kwamba wanajeshi wa Ukraine watumike kufikia malengo ya Marekani ya kuidhoofisha Urusi, bila kujali watamwaga damu kiasi gani cha watu wa Ukraine katika kufikia hilo lengo la Marekani.
Kwa mtazamo wa Marekani, damu ya askari mmoja wa Marekani ina thamani kuliko damu ya watu wote wa Ukraine!
Marekani hayuko tayari kupigana ana kwa ana na Urusi lakini yuko tayari kupigana na Urusi kwa kutumia damu ya watu wa Ukraine!! Kwa bahati mbaya sana rais wa ukraine hana jinsi ya kujinasua katika mtego huo!!