GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Marekani ni nchi tajiri, hiyo inafahamika!
Pamoja na hayo, bado kuna raia wake wasiokuwa na makazi wala chakula, ambao wanaishi kwa kuomba omba.
Lakini ndiyo nchi inayoongoza dunianai kwa kutoa misaada.
Nini sababu ya Marekani kuzisaidia nchi zingine wakati kuna raia wake wanaohitaji kusaidiwa? Kuna namna inanufaika na huo ukarimu?
Tanzania inaweza kuuiga Marekani kwa kuzisaidia nchi zililzo chini kiuchumi kuzidi Tanzania, kama Burundi?
Pamoja na hayo, bado kuna raia wake wasiokuwa na makazi wala chakula, ambao wanaishi kwa kuomba omba.
Lakini ndiyo nchi inayoongoza dunianai kwa kutoa misaada.
Nini sababu ya Marekani kuzisaidia nchi zingine wakati kuna raia wake wanaohitaji kusaidiwa? Kuna namna inanufaika na huo ukarimu?
Tanzania inaweza kuuiga Marekani kwa kuzisaidia nchi zililzo chini kiuchumi kuzidi Tanzania, kama Burundi?