Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

Haaa, hapana, yuko Tegeta Ununio, karibu na Hotel ya Bahari Beach... nilimkuta mtandao wa Badoo... amekongoroka huyo, macho mekunduuu.. yaani maisha yamempiga, ni kachooka haswa, ni zaidi ya slut, hereni masikio hadi yanataka kuanguka, pua zimetobolewa hadi basi, macho na uso, kapauka, macho hadi yamekuwa kama paka.. kidogo tu nikimbie.. nilijikaza na nguvu ninazo za uhakika mascular with 6.6m.. ila nililegea.. wee.!!

Ila aliniambia kwao Tanga... wee acha, aliniacha hoi alivyoniambia yeye mara nyingi anatembea ucku, mchana hatokagi...!! oohh
Daaah ipo siku mtaopoa majini au akina ant bilal
 
Daaah ipo siku mtaopoa majini au akina ant bilal

Nasema kweli.. nilirudi wakati naendesha naangalia nyuma.. i was scared... yaani..!! Nilijiona mjingaaaaaa... na fala sana.. acha tu.. niliwaza sana, je ningechukua chumba..? Alafu picha totally sio yeye... nguvu ziliniishia..!!
 
Haaa, hapana, yuko Tegeta Ununio, karibu na Hotel ya Bahari Beach... nilimkuta mtandao wa Badoo... amekongoroka huyo, macho mekunduuu.. yaani maisha yamempiga, ni kachooka haswa, ni zaidi ya slut, hereni masikio hadi yanataka kuanguka, pua zimetobolewa hadi basi, macho na uso, kapauka, macho hadi yamekuwa kama paka.. kidogo tu nikimbie.. nilijikaza na nguvu ninazo za uhakika mascular with 6.6m.. ila nililegea.. wee.!!

Ila aliniambia kwao Tanga... wee acha, aliniacha hoi alivyoniambia yeye mara nyingi anatembea ucku, mchana hatokagi...!! oohh
haaaa eti hatembeagi mchana he usiku tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sema kuna watu humu wana maneno ya kujisex-isha hadi nshawajengea taswira kabisa kila nikiona IDs zao.
Mi mwenyewe kuna kadhaa humu wananisisimua sana kwa uandishi wao
 
Haaa, hapana, yuko Tegeta Ununio, karibu na Hotel ya Bahari Beach... nilimkuta mtandao wa Badoo... amekongoroka huyo, macho mekunduuu.. yaani maisha yamempiga, ni kachooka haswa, ni zaidi ya slut, hereni masikio hadi yanataka kuanguka, pua zimetobolewa hadi basi, macho na uso, kapauka, macho hadi yamekuwa kama paka.. kidogo tu nikimbie.. nilijikaza na nguvu ninazo za uhakika mascular with 6.6m.. ila nililegea.. wee.!!

Ila aliniambia kwao Tanga... wee acha, aliniacha hoi alivyoniambia yeye mara nyingi anatembea ucku, mchana hatokagi...!! oohh
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] eeeh Mungu ,ngoja nisiseme neno ,tuishie hapa hapa
 
Kweli kabisa...JF MMU is a world of its own.

Wakati mwingine unakuta kuna couples humu tena kwa hata miaka...lakini hata kukutana hawajahi.

Vituko vya humu bana...full burudani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] eeeh Mungu ,ngoja nisiseme neno ,tuishie hapa hapa

Haya mambo ya mtandaoni usiamini kabisa aiseee... hadi umuone mtu face to face, na umjue sasa...!! Hatari sana

haaa..
 
Wee..kuna mmoja, nilimfuata, nika drive hadi Tegeta, Dec 2015... picha kibaoo kanitumia... mtoto tako tako ktk picha, kiuno nyigu... wee nilichokikuta, siri yangu.. sisemi ng'oo... nilibakia kumwagizia Amarula nikabaki najichekesha mwanaume... nguvu zote zimeniishia..

Acheni tu... achaaa
hahaha!! Pole mkuu
mtu anajua kabisa picha alizokua akituma sio yeye halaf bado anaenda kwenye appointment anategemea nini,nikujiamini Sana au
 
Haya mambo ya mtandaoni usiamini kabisa aiseee... hadi umuone mtu face to face, na umjue sasa...!! Hatari sana

haaa..
Huyo uliye muelezea hapo juu ,kuna mwenzake sasa anapenda kukaa hapa posta Opposite na NBC kwenye uwanja wa wazi ule ,Ukipita asubuhi unamkuta kavaa baibui kakaa kwenye mabenchi yale halafu anaanza kujipodoa ,kila mtu anamshangaa sijui kama bado yupo ,Sijapita pande hizo siku nyingi

Mwenyewe mrefu halafu mweupe ,

Anaweza akajipaka aina 17 ya mafuta na kioo chake
 
Huyo uliye muelezea hapo juu ,kuna mwenzake sasa anapenda kukaa hapa posta Opposite na NBC kwenye uwanja wa wazi ule ,Ukipita asubuhi unamkuta kavaa baibui kakaa kwenye mabenchi yale halafu anaanza kujipodoa ,kila mtu anamshangaa sijui kama bado yupo ,Sijapita pande hizo siku nyingi

Mwenyewe mrefu halafu mweupe ,

Anaweza akajipaka aina 17 ya mafuta na kioo chake

Kuna majini mjini hapa aisee...!! ni kukaa chonjo sana..!!
 

Attachments

  • FB_IMG_1457995951815.jpg
    FB_IMG_1457995951815.jpg
    15.7 KB · Views: 48
Mie nilikuwa nafurahia kila siku mpk alipoamua kuhama nyumba kwa kukosa unyumba, kwahiyo nasikitika kukosa chatmate lkn mambo hayakwenda mramba mie, ila natoa wosia mkiwa mnaongea msiamini mno, ukikutana nami mie napenda kufurahia umahiri wa maneno, sina muda wa kukutafuta kugegedana.
hujakutana na mimi utaanza kunitafuta wewe
 
Ashakupga dawa yake inaitwa mvuto wa nzi maskini.
Badala unipende mimi we wampenda mshana hakawii kukupeleka gamboshi wewe[emoji23]
ha ha ha haaa...mkuu we nae wivu sana achagaaa!...nampenda hvyo hvyo hata gamboshi anipeleke!...japo naogopa ila mapenzi matammmmmm na mshana Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom