CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
sijapotea Dada yangu kipenzi sema vile Majukumu na makate wetu wa kila siku ...nawakosa sana..:smiling:
tumekukosa pia kaka yetu!!!
sijapotea Dada yangu kipenzi sema vile Majukumu na makate wetu wa kila siku ...nawakosa sana..:smiling:
Mama lazima x'mass hii wale majirani zako wakukome lol.kilililililili....aiaiaiaiaiaiai.... vigelegele vya kiuru! wanangu mabinti zangu charminglady, sweetlady na WiseLady naona mwataka nitokelezeee... na kaka yenu Davie S.M atampendezesha baba yenu watu8. Kweli mungu ni mwema!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka sana leo jamani....we ni mtambo wa nyuklia(sorry) sina neno zaidi ya hilo yani we ni noma.....nimecheka sana sana sana yani mnoooo kha!Me situmiagi.
Zinaniwashaga sana.
Me situmiagi.
Zinaniwashaga sana.
Me situmiagi.
Zinaniwashaga sana.
Sasa kama hutumii condom huwa unatumiaga nini? Puto au?
Bandeji . . . !! lol
hizo sio nzuri kama bareback au zile erotica.....au unasemea zile zenye vipelepele......?