Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
hah hah hah hah haaa! Mimi nataka kukuna ila si nje ya ndoa!
Last edited by a moderator:
hah hah hah hah haaa! Mimi nataka kukuna ila ni nje ya ndoa!
Hahahahahaha!
charminglady imagine umeenda pharmacy ukakutana na mama mtu mzima na heshima yake na una shida ya hayo makitu utathubutu kweli utaishia kuzuga eti unatafuta asprin
Watu wote humu ni wahuni sana...................
Inakuwaje wanadada wanawajibia kakaz??
Mleta mada ungewaambia dadaz nao watwambie
Ukweli kuhusu yale makitu yaitwayo
L a d y P e p e t a,
walete hapa watujuze...
N i m e m a l i z a.
unajua nilikuwa nazugaje... naangalia kwanza kitu ambacho nahisi hakipo ndo naulizia au naulizia dawa kisha bei afu nasema ntarudi kuchukua lol!!!!!