Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Wandugu n vigumu kuhukumu bila kuthibitisha....ukijiuliza kikamilifu unapata maswali mengi kuhusu inshu ya mzee kapuya,
 
kwa hiyo baada ya kuwatapeli wote wakamtafutia le profeseli ambake
 
Hii habari kama ni kweli, basi Washamuhonga hela ili akanushe ukweli...
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

profesa amekuma???? ebu wacha upimbi ngoja ifke mahakaman mbivu na mbch ztaonekana tu
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kapuya amekupa dola ngapi ili umsafishe?
 
Msipoteze mda

Jamaa mfuasi wa kapuya huyu ama nayeye anatumiwa kwa style zile zile

Kichefu chefu
 
Mmeanza kumsafisha Le plofeseli sio?!

Kwahiyo mtu akiwa tapeli hawezi kubakwa?!

Akiwa na majina saba au hata kumi ndiyo yanayomzuia kubakwa?!

Je akiwa na miaka 21 ndio kubakwa inashindikana pia au?!

Kajipange mkuu uje tena; Nlisahau kukuuliza, na namba iliyokua inajibizana nae kwa sms pia ni feki sio?!
yote yanawezekana kama ulivyoainisha hapo , lakini ametumia weakness ya muheshimiwa kumuadhibu hadi sasa naanza kuamini kapuya yupo salama ila tu anapambana na vita ambavyo hajui aanzie wapi , hatimaye jamii itaamini ni kweli kumbe wamemtega kwa uzembe wake , na kwa hili wataenda wengi kwani hayuko peke yake asilimia 50 ya waheshimiwa wana tabia chafu sana
 
attachment.php
Hii picha nilikuwa sijaingalia vizuri,hivi kumbe ina makubwa hivi???Huyu mzee ni balaa aisee.
 
Alhaji hii kitu wenzio wananunua kwa buku mbili pale Buguruni iweje wewe utoe benzi na lakhi saba kwa raundi mbili tu ? kwenye hili u prof. unakua wapi ?
 
Aliyekutuma aanze kufa alafu wewe ufuate. Huu uccm nchi mpaka lini? kama hata mnafika kutetea ujinga/uuaji kama huu. Inawezekana jamaa kaongeza dau nini kutoka buk7 kwenda 8

Umeshaziona picha za Lema?
 
Prof. unatia aibu. hufanani na taboa jii kwaumri wako. uprof wako. uwaziri wako hata uanandoa wako achilia mbali u Alhaji wako
 
Mtoa mada unaitwa ndiuka?that ni kijiji kipo iringa, na kijiji hicho the hero mkwawa katokea,unakidhalilisha ww,
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hahahahaah! acha uoga kubali matokeo tu kuwa na wewe uko kwenye chain ya maambukizi ya Prof, unataka kujipa moyo kwa kusema huyu binti ni feki ahahahaha kaanze dozi itakusaidia zaidi!
 
Back
Top Bottom