Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Binti Anayedai kubakwa na Kapuya

Incredible

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,031
Reaction score
1,604
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.
 
Huyu binti kama anayodai ni kweli lakini hana proof yoyote kama ya audio, hatakiona cha moto.
 
Arushaone, naomba unielewe. Simtetei Kapuya ila nakwambia huyu ni hatari. Nikwakuwa mimi nawewehatujuani lakini binti huyu hatari. Wewe subiri uone mwisho wake.
Le mutuz/william..kaja hapa anasema amefanya utafiti na binti anaitwa hamida...wewe unasema anaitwa amina!!! Sasa tumwamini nani? Hakuna mkweli hapo ila tu mnajaribu kumsafisha mbunge wenu!
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

mav! ya kuku.... unaangalia wajihi na kumaliza udadisi kwenye nchi ya zaidi ya watu milioni 40?? you must be a well below average thinker
 
Le mutuz/william..kaja hapa anasema amefanya utafiti na binti anaitwa hamida...wewe unasema anaitwa amina!!! Sasa tumwamini nani? Hakuna mkweli hapo ila tu mnajaribu kumsafisha mbunge wenu!

aliyewapa advance kawachanganya... le mutuz siku hizi anahemea kwa dada zake tu, mara NYC, mara kinyerezi, mara dodoma basi tabu tupu wacha nae avute za lumumba na akudo
 
Huyu binti kama hakumrecord Kapuya hatakiona cha moto.

Kapuya kwa kumtishia kumuua hilo ni kosa la jinai. Pia Kapuya hana moral authority kwakuwa atakuwa alitembea naye. Ila ninachosema huyu binti Amina siyo mwanafunzi, na hana miaka 16. Ni mtu mzima na ameolewa na wanamtoto mmoja. Sasa ninachoshindwa kuelewa huyo mume huwa anayachukuliaje haya matukio ya huyu mke? Ila kwenye kesi ya rafiki yangu, huyu mme alitusaidia sana maana alijileta mwenyewe mahakamani kutoa ushahidi.
 
Arushaone, naomba unielewe. Simtetei Kapuya ila nakwambia huyu ni hatari. Nikwakuwa mimi nawewehatujuani lakini binti huyu hatari. Wewe subiri uone mwisho wake.

Tumwamini nani!
Binti anaitwa hamida au amina!!
 
Tumwamini nani!
Binti anaitwa hamida au amina!!

Jina alilotumia kwenye familia husika ni Amina. Yawezekana anatumia majina mengi. Katika maelezo yake, mimi ninachoweza amini ni jambo moja kwamba Kapuya alitembea naye. Kisa cha kuamini hivi nikwasababu hata rafiki yangu alikuwa ametembea naye. Cha ajabu ni mwanamke ambaye hana mvuto hata kidogo hata sijui wanaume wenzangu wanafuta nini mle.

Ninachobisha mimi nikusema kwamba yeye ni mwanafunzi na ana umri wa miaka 16. Mimi nimemwona mwaka 2011 nyumbani kwao rafiki na alisema yupo form six. Je imekuwaje umri kurudi nyuma?
 
Arushaone, naomba unielewe. Simtetei Kapuya ila nakwambia huyu ni hatari. Nikwakuwa mimi nawewehatujuani lakini binti huyu hatari. Wewe subiri uone mwisho wake.

Hizi njaa zitawafanya mpaka muwauze wazazi wenu kama si ninyi wenyewe kuuzwa. Kwa shilingi ngapi ulizopewa hadi kukurupuka na uharo huu?

Nenda kafie mbele huko
 
Arushaone, naomba unielewe. Simtetei Kapuya ila nakwambia huyu ni hatari. Nikwakuwa mimi nawewehatujuani lakini binti huyu hatari. Wewe subiri uone mwisho wake.

At least ungetuambia kuwa huo utafiti umeufanya wapi, na kwa vipi. Habari za huyu binti zimeandikwa na kutangazwa kupiti Tanzania Daima.
1. Je, ulihojiana na waandishi wa Tanzania wa Tanzania Daima?
2. Huyu binti anasema kuwa alikuwa rafiki ya na alikuwa anasoma na mtoto wa aliyekuwa diwani sijui Sinza, na huyo ndiye aliyemtambulisha kwa Kapuya. Hadi sasa hatujasikia huyo aliyekuwa diwani akikanusha
3. Huyo binti anasema aliwahi kwenda polisi Oysterbay. Mbona utafiti wako haujahusisha maelezo toka kituo hicho.

Ndugu, naomba usicheze na watu wazima wenye akili zao... Kama kweli umeamua kufanya utafiti, basi fanya kitu kinachoeleweka ndipo ulete taarifa zako hapa... Mabinti aina za unaosema wamejaa mtaani maana hata mimi nilishakutana na binti kama huyo lakini yeye ni mweupe mfupi. Je, na mimi niseme tu kuwa huyo ndiye aliyebakwa na Kapuya?
 
Jina alilotumia kwenye familia husika ni Amina. Yawezekana anatumia majina mengi. Katika maelezo yake, mimi ninachoweza amini ni jambo moja kwamba Kapuya alitembea naye. Kisa cha kuamini hivi nikwasababu hata rafiki yangu alikuwa ametembea naye. Cha ajabu ni mwanamke ambaye hana mvuto hata kidogo hata sijui wanaume wenzangu wanafuta nini mle.

Ninachobisha mimi nikusema kwamba yeye ni mwanafunzi na ana umri wa miaka 16. Mimi nimemwona mwaka 2011 nyumbani kwao rafiki na alisema yupo form six. Je imekuwaje umri kurudi nyuma?

Yes nyote mmesema kuwa binti anatumia majina mengi ila kwa utafiti wenu hayo mliyoyataja ndio majina sahihi!ok lets assume kuwa kila mmoja utafiti umemwambia hivyo.
Wewe na William nyote mmekubali yawezekana kabisa mh ametembea na huyo binti,japo yeye kupitia kwa mwanasheria wake amekanusha kumjua huyo binti..sasa mpaka hapo waliomtuhumu wenda wakawa wakweli na kwetu tunasema mkubwa hashindwi na mdogo! Hapo majibu yamepatikana!!!
 
Inaelekea CCM weshapanga kila aina ya mkakati kutaka kumsafisha Kapuya.

Alianza afande Kova,licha ya tuhuma hizi zinazomkabili Kapuya za kubaka kuripotiwa kwenye kituo chake cha polisi cha Oysterbay,afande Kova alijegeuza chombo cha mahakama na "kuhukumu" kuwa Kapuya hana kesi ya kujibu,kwa kuwa suala hilo la kubaka,ni jambo binafsi,kati yake Kapuya na hako kabinti!

Jana amekuja Le Mutuz,naye amejigeuza mahakama,kwa kudai kuwa licha ya kuwa anao uhakika kuwa Kapuya alisex na hako kabinti,lakini akatoa hoja ya kuwa binti huyo wakati anasex na Kapuya,hakuwa na umri wa miaka 14,bali yeye ni mama mzima,ambaye tayari ana mtoto mmoja!

Tayari maelezo ya Le Mutuz,yanajikanganya na tamko,lililotolewa na Kapuya mwenyewe,kupitia kwa wakili wake kuwa Kapuya hamfahamu kabisa huyo binti,na hajawahi kukutana naye katika maisha yake yote!

Sasa ndiyo anakuja na huyu incredible,naye anakuja na story yake kuwa huyu ni binti hatari,ambaye ni mzoefu wa kublackmail watu!

Pamoja na Le Mutuz na huyu incrredible,kutoa hukumu kwa kumsafisha Kapuya kuwa hana hatia,lakini hoja za msingi kwenye kashfa,hawazitolei ufafanuzi.

Miongoni mwa hoja hizi ni kuwa licha ya kuthibitika kuwa meseji za vitisho zilizotumwa kwa binti huyo zilitoka kwenye namba iliyosajiliwa kwa jina la Juma Kapuya,ni kwa vipi wakili wa Kapuya adai kuwa ingawa ni kweli namba hiyo ilikuwa ya Kapuya,lakini alishaigawa miezi 6 iliyopita,jambo ambalo hata kama lingelikuwa la kweli,ni uvunjifu wa wazi wa sheria,kwa kuwa lengo la kusajili line,lilikuwa kuwa kuwabaini wahalifu wanaozitumia line zao kutoa vitisho kwa wengine.

Mkanganyiko.mwingine ni kuwa pamoja na Le Mutuz na huyo incredible kudai kuwa wakati Kapuya anasex na huyo binti hakuwa under 18,lakini na wao pia hawatwambii huyo binti kwa sasa ana umri gani,ili ijulikane wakati Kapuya anasex kwa mara ya kwanza,je alikuwa over 18 au under 18?!

Maswali haya ya msingi yanapaswa yakajibiwe mahakamani,na siyo kwa staili hii inayofanywa na maCCM,ili kutaka kuiokoa meli yao inayoelekea kuzama kutokana na kashfa hii nzito,inayomkabili kada mwrnzao Kapuya.

Ikumbukwe kuwa suala la kuelewekwa umri halisi wa huyo ni muhimu sana ukafahamike mahakamani,kwa kuwa sheria za ubakaji ziko wazi kuwa hata kama binti anaridhia mwrnyewe kufanya sex,lakini ikithibitika kuwa alipofanya hivyo alikuwa under 18,tayari hiyo inakutia hatiani kuwa umebaka!

Si mnakumbuka hata the former PM wa Italy,Berlusconi alivyotiwa hatiani baada ya mahakama kuthibitisha kuwa binti aliyesex naye,wakati anafanya naye alikuwa na miaka 17?

Kwa mazingira hayo sioni kitu gani jeshi la polisi linashikwa na kigugumizi kuifikisha kesi hiyo mahakamani,ili mbivu ikajulikane huko?

Kama jeshi la polisi linatekeza kikamilifu Katiba yetu kuwa wananchi wote wako sawa mbele ya sheria,basi kwa speed ile ile walivyoipeleka fasta fasta kesi ya babu seya na mwanae Papii Kocha,ambao kwa sasa wanatumikia.kifungo cha maisha kwa kutiwa hatiani,kwa kosa la kubaka,basi kwa speed ile ile waipeleke fasta,kesi hii inayomkabili Kapuya ya kubaka na kutishia kuua!
 
Umefanya research ngapi za watoto waliobakwa? Nini kimekutuma uhangaike na hii? Njaa au? Kwa maelezo yako unamaanisha Kapuya ashikwe ugoni kwa kulala na mke wa mtu? Je huyo mme wake alokujatoa ushahidi mahaksmani alieleza kufurahishwa na kitendo cha huyo Amina wako kulala na huyo rafiki yako? Mume alichukua hatua gani kwa mgoni huyo rafiki yako? Je kwa utafiti wako huyo mwanae anaitwa NANI? jibu plz!
 
Wanajamvi, nimefanya utafiti wakina kuhusu huyu binti. Kisa cha kufanya utafiti huu ni baada ya kuona maelezo yanayotolewa humu jamvini kuhusu huyu yanafanana kabisa na binti aliyemsumbua sana rafiki yangu mwaka jana. Nimefikia hata hatua ya kuuliza huyo binti umbo lake likoje.

Binti huyu aliwahi kuishi nyumba ya familia ya rafiki yangu mwaka 2011. Ni binti mwembamba na mweusi. Jina alilotumia ni Amina. Na alisema ni mtoto yatima na ansoma Sekondari huko Songea. Rafiki yangu alimpeleka hadi nyumbani kwa mama yake Kigamboni. Akidhani anamsaidia mtoto yatima. Binafsi nimewahi kumkuta pale nyumbani kwa mama wa rafiki yangu na katika maelezo yake alisema kuna mtu yupo jela kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kumbaka.

Wanajamvi, huyu binti alileta sokomoko pale Kigamboni kwa mama wa rafiki yangu, na details zake zipo polisi kigamboni, central na polisi Chang'ombe.

Ni binti hatari. Ana mtoto mmoja na anamume. Kama siyo mumewe kujakutoa ushahidi mahakamani, basi rafiki yangu angefungwa.
Kosa alilofanya rafiki yangu ni kulala na huyo binti. Hivyo basi kwakuwa Kapuya kalala naye basi kazi kwake.

Pale central police anafahamika kwani alishamtapeli hata mama Salma Kikwete. Yaani, Kapuya ajitahidi ampeleke tu pale Central Police basi kesi itaisha.

Kwakuwa binti mwenyewe ni huyu, basi hili jambo tulipe muda tu ukweli utajulikana muda mfupi. Mwisho naomba vyombo vya kutetea haki za binadamu, visaidie baada ya ukweli ukiwa wazi, basi wafuatilie yule aliyefungwa kwa kosa la kumbaka huyu binti atakuwa alionewa tu. Jamani binti huyu ni hatari, mengi sikutaka yaweka wazi ili nisimvue nguo rafiki yangu. Ila ushahidi ukihitajika nipo tayari kumleta huyu aliyesumbuliwa na binti huyu tapeli.

Hivi angekuwa ni mmoja wa viongozi wa chadema anaongelewa kuhusu ubakaji, ni kweli ungepoteza muda wako kufanya haya uliyofanya?

Muda wa kuita " chepeo kijiko kikubwa uliisha "
Poleni.
 
Lemutuz kachambwa mbaya. Soma hii hapa chini


user-online.png
Uhuru1
Nimesikitishwa sana. Nimepandwa na hasira mbaya sana na huyu mtu anajehita Lemutuz ambaye ni mzee kabisa miaka 55 kutetea uozo wa kulala na mtoto wa miaka 14, yatima na kumuita muongo huku akimtetea fisadi na mtu mwenye historia ndefu ya ngono na huyo si mwingine bali Juma Kapuya

Lumutuz aliondoka marekani baada ya kuhachwa na mkewe. Alikuwa anakaa sehemu moja inaitwa Mt. Vernon ambako shuguli yake ilikuwa ni kuendesha lori la takataka. Anao watoto wawili majini yao siwezi kutaja hapa, ila anaye teenager ambaye yuko high school mwigine ndio anamaliza middle school na sijui atajisikiaje akiambiwa kabakwa na mzee wa miaka 70

Ingawa kwa kipindi kirefu mwanamke alikuwa akihisi kwamba mumewe ni shoga (Gay) Miaka ya karibuni aliporudi kutoka kazini, alikuta “boxer” ya mwanamme kitandani mwake. Alishtuka na kunyamaza. Siku moja baada ya kutoka kazini, William alitumia computer na kujisahau. Baadhi ya wanafamilia wanasema kwamba huyu bwana ameanza ushoga akiwa baharia

Mwanamke aligundua kwamba mumewe alikuwa akifanya ngono kwenye mitandao na wanaume, wengine wakidiriki kuja nyumbani ambako alimkuta William Malechela kwenye kitando chao cha ndoa akikobolewa na mwanaume mwingine. William aliendelea na wanaume wengine waki wanatumiana picha ambazo alikuwa anasave kwenye computer. Baada ya haya kugundulika na kuwa mengi, mwanamke aliamua kuondoka na kumuacha huyu bwana

Baada ya kuhachwa, William alianza kumtishia yule mwanamke kwamba atamuua pamoja na watoto kisha naye ajiue. Vitisho vilivyozidi, mwanamke alibidi aombe msaada polisi. Ilibidi huyu Lemutuz azuiliwe kwenda kwa yule mwanamke na pia akapelekwa mahakamani kwa ajili ya child support. Siku alipotakiwa kwenda mahakamani, William alidanganya kwamba anaenda DC na ndo siku hiyo alipanda ndege na kuja Tanzania. Kwa ujumla William alitelekeza familia. Hakuna cha simu, hela wala usaidizi wa aina yoyote kwa familia.

Kwa sasa William anakaa nyumbani kwa babake. Ana ugomvi kila siku na mama Anna Kilango ambaye hamtaki pale nyumbani. William amegoma, haondoki pale. Kwa hiyo huyu mzee ni kula, kun.ya na kulala. Kazi yake mjini ni kuuza warembo. Wasichana wengi wanaowekwa kwenye blogu yake ni wa kupigwa bei.

Ukiona mwanaume anasifia sana wanaume wenzake, ujue kuna jambo. Ni kweli, mara mtasikia tajiri la ajabu, Super mogul, Mwenyekiti, Billionea. Hawa wote ni mabwana zake wanaomuweka mjini. Huyo anayeitwa Chicago sijui nini, ndo bwana alomnunulia gari aina ya Toyota Noah ya blue. Jamaa anagawa nyuma balaa......hadi kwa waarabu. Jestina George ameeleza wazi wazi jinsi huyu jamaa anavyokobolewa. Aliingia chumbani na Jestina mara akaanza, naumwa tumbo mara ikapanda ikashuka. Basi Jestina akaona hapo hakuna kitu akahachana naye . Kwa kifupi huo ndo ukweli kuhusu Lemutuz. Ningetitirika zaidi, lakini kwa leo nihachie hapa hadi pale atakapoleta za kuleta kama kawaida zake…..

Next time tutataja hadi na majina…………………………
 
Back
Top Bottom