Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Ndiuka...Ndiuka....wahi milembe akili yako haiko sawa. Leo hii umelipwa laki 7 next week mwanao tabakwa +HIV+Mimba na utarudishiwa hiyo laki 7. Malipo ni hapa2 duniani.
 
Umeshaziona picha za Lema?
Hivi Udaku hawajazipata picha za Mh Lema tuu?
turushieni basi hata huko Jukwaa la Mambo ya Kikubwa mbona hizi zipo?
attachment.php
 
ana miaka kumi na 16, ana soma turian secondary, cheti cha kuzaliwa anacho, ndugu yako kambaka na kumwambukiza Virusi vya ukimwi..acha ngonjera zako.

Wewe ndiye mwalimu unaemfundisha hapo tuliani. Inaelekea ulikuwa mlangoni wakati anabakwa na ulimpima ukimwi na kumuona anao
 
Teh teh teh!mmeanza swaga zenu za kisanii!Kapuya ni mtu hatari sana!
 
Hii movie itakuwa ya kihindi LE MUTUZ naye ameomba msamaha kwa Kapuya nasubiri nimwone sterlin mwisho. MUNGU IBARIKI TZ, MUNGU WABARIKI WATOTO WAKE.
 
leo ndio nimeamini ili uwe mwanachama wa ccm lazima uwe mtu usie na aibu wala soni usoni unaeweza hata kutetea ujinga na upumbavu kwa maslahi ya chama chako
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Yaani walikuwa wapenzi na mtoto wa form two?
Naona umeamua kuja kutoa ushahidi utakaomwangamiza mheshimiwa.
 
pumbafu zenu wote watoto wa majoka na baba yenu ibilisi mnaotumika kusingizia watu na kushabikia nyoko zenu mmeniboa mashetani wakubwa na gazeti lenu nasema nyoko wote
Niko sebuleni peke yangu ila nimecheka kwa sauti ya juu.
 
Kuna mijitu inaudhi yaani huwa inatumwa na inafanya ilichotumwa na kufanya watu hapa kama watoto wadogo,hebu usitupige mchanga wa macho,kampeni ya kusafisha mtu
 
Kuanzia wiki imeanza Kapuya kapuya, kesho ni nani? Kwa style hii umb.a hautokwisha, asiyejua kitu naye anajitahidi kuandika ili mradi aonekane kaandika. We have to change.
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Bongolala..
 
Kama kawaida yenu. CUF Imeingiza kontina la visu!!!
 
Sa mbona hujamwomba radhi Kapuya ka alivyofanya mwenzio. afu mbona habari zenu hazina sosi? Kuna chili tu!...
 
Nimefurahi kwamba hujasema Mzee Kapu hakumbaka huyu mdada. Kumbe hujui kuwa kumwingilia mkeo wa ndoa bila ridhaa yake ni kosa? Hata kama mna watoto 10 naye bado unastahili kifungo. Basi tutageuza mashitaka na kusema, kamtenza nguvu.
Kapu kwa usemi mwingine, hasafishiki hata kwa magadi. Mzee kama huyo kutajwa kwenye ujinga kama huu, enzi za mwalimu hapati kazi popote Tz. Tatizo nshasema hap jf kuwa hizi ni enzi za nani anajali?? But conscious itamhukumu Kapu.
Ati waziri mkuu ajaye, labda wamfanye waziri wa magereza ya wanawake Tz Shame on him. Kule kutajwa tu ni kuaibisha watu woote wazima.
Maccm kwa kujitetea hivi mnalipwa ngapi nyie
 
pumbafu zenu wote watoto wa majoka na baba yenu ibilisi mnaotumika kusingizia watu na kushabikia nyoko zenu mmeniboa mashetani wakubwa na gazeti lenu nasema nyoko wote

mmh sijui dada ako angekuwa kabakwa na kuunganishwa gridi ya taifa sijui ungeongea utumbo huu? vipi na hiyo namba ya simu ya huyo mumeo anayotumia kutuma sms za vitisho nayo ni uzushi?
 
Back
Top Bottom